Hand Mixer bomba ya keki
-Ni nzuri na imara sana.
-Hii ni Kenwood.
-Model ni HM800.
-Umeme ni 220V~240V,350W
50,000 TSh tu. [emoji336]WhatsApp / Call /sms+255713744304
Tunafanya delivery kwa Dar...
Habari za leo,
Nina vifaa vya kazi ya car painting na body work, Yani compressor ikiwa na pipe yake,na mitungi ya gasi na pipe na mikono ya kuungia.
Niliwanunulia watu wafanyie kazi lakini...
Sanitizer zinapatikana jumla tu
Bei rahisi sana Tshs 4000
Ukichukua nyingi bei inashuka
Mawasiliano: 0652472486
Ongeza la hii bei limetokana na uhaba wa ethanol sokoni
Ukichukua nyingi sana bei...
Kwa anayehitaji paypal account inapokea na kutoa pesa kupitia Mpesa (safaricom) unapata na line ya safaricom iliyounganishwa nayo.
Tuwasiliane: 0758593165
Habari wadau wa Generator,
Nauza Generator niliagiza Japan bado Liko vizuri sana, hp 1500 KVA 1.5 Sababu ya kuliuza nimeagiza kubwa zaidi ya hili kama unalitaka changamka dukani bei yake ni 2m...
Habari wanadau nina wheel chair mpya kabisa haijatumika naiuza kwa sh 250,000
Na pia nauza blood preasur monitor mpya kabisa 100,000 kama unauhitaji nicheck tufanye biashara
sent from toyota Allex
Machine ya kukoroga sabuni za Maji inauzwa. Ina uwezo wa kukoroha Lita 200 kila dk,15 bei ni sh million 5 tu. Sema nami namba hizo: 0784692584: 0715888376 welcome.
Nauza viatu vya Sperry Top Sider US Size 8.5M.
Viatu ni pair mojq tu na ni vipya kabisa bila boksi.
Sababu ya kuviuza ni kugundua viatu vina size ndogo baada ya kuwasili kutoka USA.
Bei...
Sale Sale
Bought new from Japan/
All in Good Condition/
Ni Vifaa vyote vya kufanyia kazi/
Vifaa vilivyopo;
-Tyre Changer,
-Compressor ujazo litre 500.
-Charge betri yenye uwezo wa kucharge...
Nunua raba aina ya platform sneakers, zina soli ya juu kidogo, ni nyepesi na imara
Pair moja utapata kwa 25000 tu
Wedge za kike utapata kwa 28000 tu
Napatkana mbezi luis dsm.
Mawasiliano ...
Leo nimechinja mbuzi kama 20, na nauza korodani zake, anaetaka tuwasiliane.
Angalizo: Kw wanaume, hakikisha mwenzio yupo karibu baada ya kula hizi kokwa
Jipatie viatu vizuri mno kwa bei nzuri
Sebago 48,000/= Slippers 18,000/=
Tunafanya delivery.
Tuko Dar es Salaam
Mawasiliano 0656838727
Sent using Jamii Forums mobile app
BEI YAKE NI 20000 TU
Kuna:
Chupa ya Chai
Hotpot
Sahani 2
Majagi 2
Bakuli 2
Kopo dogo
Glasi 1
Kwa kifupi vyote unavyoviona hapo 20000 tu.
Vipo Mbagala Zakiem
Piga simu: 0623717049
Sent using...
Jipatie asali bora kutoka Sikonge Tabora kwa bei poa....
Lita 1 = 10,000/= tuu.....
Lita 5 = 45,000/= tuu.....
Tunapatikana Dar na Tabora....
Mikoa mingine tunatuma pia....
Kwa mawasiliano tucheki...
Natafuta matank ambayo hutumika kuifadhia mafuta kama petrol , diesel au mafuta ya taa. Unaweza kuwa nayo wewe, rafiki yako, jirani au sehemu yoyote unayojua naomba uniunganishe, yanaweza kuwa...
wakuu, nauza water dispenser ndogo,
ni nzima kabisa haina tatizo lolote
BEI: laki mbili tu
LOCATION: Moshi Mjini
SIMU: 062 472 9398
Sent from my iPhone using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.