Je, wewe ni mmiliki wa shule, Kampuni binafsi au NGO,
Je, unahitaji kujipatia huduma mojawapo kati ya hizi au zote kwa pamoja?
Websites,
Android Apps,
Domain Names,
ERP system
Accounting system...
Fremu hizo moja 25,000/= ukichukua mbili 40,000/=
Fremu za A4 ni 15,000/=
Unafikishiwa Hadi nyumbani.
Lakini pia Kama unahitaji fremu ya picha tofauti na hizo. Unasema tunakutengenezea...
Wakuu, heshima kwenu, tafadhali naomba nisaidiwe kujua maeneo ambayo ninawwza kupata vocha za jumla za mitandao ya Tigo na za airtel.
Nilipata za voda zinazouzwa 500 nilipata kwa 450 na zile...
Sehemu :Bamba,Mwongozo Kgamboni,
kimepakana na nhc
ukubwa : 632sqm,
umiliki : Kina hati
Barbara inafikika mpaka kwenye kiwanja tambarale,
kilomita chache mpka bahari ya hindi
bei :17M
mawasiliano...
Unahitaji mashine ya kukatia nyama au samaki najidakia store tunakuletea zikiwa imara na ngumu TUPIGIE
0779593460
Unapewa warant ya mwaka mmoja gharama ya mashine ni millioni moja na laki tatu tu...
HABARI Najidakia store tunahusika na utengenezaji pamoja na uagizaji wa mashine mbalimbali kutoka china ofisi yetu inapatikana kariakoo mtaa wa msimbazi na store yetu ipo ilala
TUNAUZA MASHINE...
Mzani bomba kwa ajili ya biashara(duka, bucha, jiko n.k) unauzwa..umegongwa muhuri wa mwaka mzima, unapatikana na jiwe la kilo 2,kilo 1,nusu na robo...mpya dukani ni 120,000 mimi nauza Tsh 70000...
Nyumba inauzwa
Ipo Arusha moshono
Ni kubwa ina fens
Ina vyumba nane kwa vinne.yani kila chumba na seble.
Na chumba kimoja ni self yan chumba seble na choo ndani
Ina tyres nyumba nzima
Ina umeme na...
Mwenyekioo cha hii simu anicheki haraka, Kiwe used. Offer chini ya 100k. Maeneo ya Dar, Moro na Dom tunaweza kuwasaliana kwa haraka zaidi. Mawasiliano 0715175518.
Habari wanajamvi bila shaka Mungu anaendelea kumpigania kila mmoja wetu kwa namna ya pekee!
Niende kwenye mada moja kwa moja, ni hivi baada ya kuingia mzee baba nilishindwa kuendelea na biashara...
Habari zenu wakuu, Hope ur well
Nina fanya biashara ya car wash sinza....nimekua nikipata changamoto sana ya pressure washer hizi za kichina kufa kufa hovyo hasa rubber zake na vifaa vyake vya...
Picha za ukutani zenye upana wa 30 cm na Urefu wa 40 cm , au unaweza kusema A3. Gharama yake 25,000/=
A4 ni 15,000/=
Ukitaka picha yoyote ya ukutani special for you, pia tunakutengenezea...
Habari zenu, mwenye uzoefu na hizi machine za kufulia nguo, nahitaji kununua machine ya kufulia mwenye kujua, kampuni ipi ni nzuri, zenye uzito gani ni nzuri, na kadhalika sio ya kufanyia biashara...
Habari mwana jf,
Karibu ujipatie magodoro kwa bei zifuatazo;
NITAANZA BEI YA GSM;
3X6 inch 6 ni 90,000.
4x6 inch6 ni 130,000.
4x6 inch 8 ni 170,00.
5x6 inch 6 ni 145,000.
5x6 inch 8 ni...