Kuelekea pasaka Pata mchele safi kutoka mbeya wenye viwango vya Ubora, Weka order yako sasa tukufanyie delivery
Mchele safi kuanzia 1500 mpaka 2000 kwa kilo
Piga 0715169679
Wasalamu.
Nipo mkoa jilani na Dar huku kuna fursa ya upatikanaji wa maziwa kwa wingi. Nahitaji mtu mwaminifu ambaye naweza fanya naye kazi walau aweze kuchukua litre 200 kwa kuanzia per day.
Wadau jf habari za humu ndani kuna eneo kigamboni linauzwa gezaulole lina ukubwa was heka 600 kwa wawekezaji au watu makampuni ya kupima viwanja na kuuza fursa hii au makumpuni makubwa kuweka kiwanda
Naomba kuwajulisha kuwa Nauza nyumba Ipo Kiharaka ukipita daraja la Bunju unapinda kulia ilipo kambi ya jeshi sasa kabla ya kufika Nyumba ipo hapo Serikali za mitaa.
Ukubwa wa Nyumba ina vyumba 3...
Mahali: Mbezibech Shule
Bei: Tshs 250,000 Kwa Mwezi
Nyumba ina vyumba viwili, choo cha public ndani, na Sebule.
Haina jiko ila ina kibalaza unaweza kutumia kupika.
Maji ya dawasa yapo, parking...
Chumba na Sebule, Choo cha nje.
Mahali: Mbezibeach Kwakomba.
Bei: Tshs 100,000 kwa Mwezi.
Ina: Fensi ns geti, Maji ya dawasa masaa 24, Parking ya Usafiri, Dakika nne kwa mguu hadi kituoni...
Vijana mliopo mitaani na wale ambao mmemaliza vyuo vikuu lakini bado hamna kitu cha kufanya tunawakaribisha katika mafunzo ya ufundi pikipiki kwa mda wa miezi miwili ada ni laki mbili...
Elimu ya...
Viwanja vipo Dar es Salaam Kigamboni mwembe mdogo karibia na chuo cha Kigamboni College of Health and Allied Science,
mita 35*35
Bei Mil 5.5
Karibuni sana
Kama kichwa cha habari kinavyosema nipo tayari kulipa 10,000 kwa siku na biashara yangu ikichanganya tunaweza kuongeza dau.
Machine iwe kwenye hali nzuri inayotumia umeme wa nyumbani.
0624792393
Habari zenu ndugu jamaa na marafiki.
Huu ni wakati sahihi wa kumiliki kiwanja chako kwa bei nafuu pia ulipaji wake ni wa awamu yaani kidogo kidogo.
Viwanja vipo karibu na barabarani na...
INAPANGISHWA NYUMBA
Nyumba ya Vyumba 3 (1Self), pamoja na Sebule, jiko na Choo cha Kuchangia.
Nyumba ipo yenye kwenye uzio.
Mahali: Mbezibeach Samaki, nyuma ya shamo tower. Upande wa Kulia kama...
APPLE ARTISTS GROUP[emoji327]
Inawatangazia kwa wasanii ambao wanapenda kufanya sanaa ya uhigizaji na wasio wasanii ambao wao nao wanapenda kuigiza
Tunaitaji wasanii watakaopenda kujiunga na sisi...
Nakaribisha wateja Wa kutoka mikoani ,kuwa nauza karanga kwa bei ya jumla kabixa kutoka Urambo tabora,kwa Mteja Wa dar tunamfikishia mzigo ndio anatoa hela,au akipenda analipa kabixa,mikoa mingine...
Habari wakuu Ninauza Mashine nzuri simple ya kuua Mbuu
Namna ya kutumia mashine hii
Utaitumia wakati wa usiku unaingia chumbani kwako unazima taa funga mapazia chumba kiwe na Giza
Chomeka hiki...