Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kiwanja chenye nyumba na frem za maduka kinauzwa Igoma Jijini Mwanza Details Size: hatua 60 kwa 40 (hatua za miguu za mtu mzima) Huduma zote za kijamii zipo wakuu wangu. Eneo lilishaendelea...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Machine ya kuchanganya zege naiuza, crosca engine ina 10hp, inachanganya mifuko miwili ya cement. Bei 6,000,000TSH, negotiable. contact 0713737362 au 0679851483
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu waungwana, Nataka kutengenezewa kadi za kuomba mchango wa harusi. Je, ni wapi naweza kupata kwa bei rahisi? Nipo Dar
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Wana jamii kutokana na tatizo la ajira nimeamua kuwa mjasiliamali,kiofisi changu kiko hapo Giraffe hotel mbezi beach,tunafungua kuanzia saa 11 za jioni,karibuni mniunge mkono,tutaweza tu...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kwa yyt mwenye hilo side cover la upande wa gearliver naomba tuwasiliane nipo arusha kwa Whatsapp nnamba 0787803577.Nipo Arusha Natanguliza shukran kwenu
0 Reactions
0 Replies
416 Views
Inaprint : Black & Colored, Copy: Black & Colored, Scan: Black & Colored. Inakidhi kwa matumizi ya Ofisini na Stationery. Ni yangu, haina dalali. Bei: 240,000/-, Mawasiliano: 0778 179 575
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu... Nyumba ipo Tabata Kisukuru(migombani) Mita 200 kutoka barabara ya segerea -extenal kupitia jeshini Nyumba ina vyumba vi nne (viwili ni master)...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Nimeamua kumsapoti mfanya biashara mmoja aliyemo humu JF..Wenyewe wanasema charity begins at home Naomba kufahamishwa na ikiwezekana weka na location. Nikihitaji mawasiliano nitakufata PM..Karibuni.
1 Reactions
5 Replies
732 Views
Kulingana na utafiti uliofanywa, matatizo ya uzalishaji wa kuku ambayo wafugaji wa kuku wanakabilina nayo kwa kutumia mashine za kutotolesha vifaranga na huchangiwa na mambo yafuatayo: 1...
3 Reactions
93 Replies
63K Views
Kiwanja kinaunzwa Kipo karibu na barabara ya kuelekea goba Eneo ni mbezi louis Umbali kutoka barabara kuu ni mita 20 Kubwa square mitre 4,000 Eneo linafaa kwa biashara mbali mbali Bei milioni mia...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Mambo vipi wanaJF Mimi nahitaji fremu ya biashara ya kuweka Tigo pesa Mpesa na Airtel money, maeneo ni kuanzia Tabata Barracuda, Sanene, Tabata shule, hadi Segerea au Ubungo Riverside au Tabata...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Get 2 sheets + 4 pillowcases Only for 55,000 tsh. Deliveries in Dar and Outside[emoji736] If you really need jus call or check me WhatsApp now 0685269533.
0 Reactions
6 Replies
575 Views
Kuelekea msimu wa sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya, jipatie baiskeli za gia za watoto kwa bei nafuu. Tunapatikana Temeke jirani na Mahakama ya mwanzo. Mawasiliano 0769763538 WhatsApp 0769763538...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Nauza Wireless Earphone Zinakubali Simu za Android na ios Charge masaa 2-3 kwa earphone 1 Bei 15000 only Namba 0743579555
1 Reactions
2 Replies
979 Views
Engne 1g kavu Gari full Ac Njoo ukague gari Haina shida yoyote. Mahali iliko: kinondoni, Dar Call 0683011003
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu salaam, Natarajia kuanza biashara ya kuuza Rim, hasa zile za A4, huku mikoani zinasumbua kidogo. Naomba anayefahamu wapi karatasi hizi zinauzwa kwa bei nafuu aniambie hasa DAR. Asanteni.
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Habari ya asubuhi wakuu, Nina mgeni wangu week mbili zijazo anakuja kutembea naweza pata wapi Gari ya kukodisha kwa safari za mikoani. Gari itapita mikoa hii, Dar, Morogoro, Dodoma, Singida...
8 Reactions
124 Replies
13K Views
habari wakuu? Ninajihusisha na uagizaji wa Spea za magari ya Ulaya... Kwa muhitaji yeyote anaweza kuni PM au akacomment hapa nitakusanya request kisha nitareply kwa Bei zetu. Bei ni nafuu na...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Nahitaji Customer Software wapi naweza nikaipata. Msaada.
0 Reactions
1 Replies
668 Views
Niaje wadau viwana wenzangu naomba tupeane support kwenye utafutaji wa ridhiki zetu za kila siku mimi ni kinyozi nina uzoefu wa miaka mitano(5) kwenye kazi yangu naishi kigamboni, Dar es salaam...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…