Kiwanja chenye nyumba na frem za maduka kinauzwa Igoma Jijini Mwanza
Details
Size: hatua 60 kwa 40 (hatua za miguu za mtu mzima)
Huduma zote za kijamii zipo wakuu wangu.
Eneo lilishaendelea...
Machine ya kuchanganya zege naiuza, crosca engine ina 10hp, inachanganya mifuko miwili ya cement.
Bei 6,000,000TSH, negotiable.
contact 0713737362 au 0679851483
Wana jamii kutokana na tatizo la ajira nimeamua kuwa mjasiliamali,kiofisi changu kiko hapo Giraffe hotel mbezi beach,tunafungua kuanzia saa 11 za jioni,karibuni mniunge mkono,tutaweza tu...
Kwa yyt mwenye hilo side cover la upande wa gearliver naomba tuwasiliane nipo arusha kwa Whatsapp nnamba 0787803577.Nipo Arusha
Natanguliza shukran kwenu
Inaprint : Black & Colored,
Copy: Black & Colored,
Scan: Black & Colored.
Inakidhi kwa matumizi ya Ofisini na Stationery.
Ni yangu, haina dalali.
Bei: 240,000/-,
Mawasiliano: 0778 179 575
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu...
Nyumba ipo Tabata Kisukuru(migombani)
Mita 200 kutoka barabara ya segerea -extenal kupitia jeshini
Nyumba ina vyumba vi nne (viwili ni master)...
Nimeamua kumsapoti mfanya biashara mmoja aliyemo humu JF..Wenyewe wanasema charity begins at home
Naomba kufahamishwa na ikiwezekana weka na location. Nikihitaji mawasiliano nitakufata PM..Karibuni.
Kulingana na utafiti uliofanywa, matatizo ya uzalishaji wa kuku ambayo wafugaji wa kuku wanakabilina nayo kwa kutumia mashine za kutotolesha vifaranga na huchangiwa na mambo yafuatayo:
1...
Kiwanja kinaunzwa
Kipo karibu na barabara ya kuelekea goba
Eneo ni mbezi louis
Umbali kutoka barabara kuu ni mita 20
Kubwa square mitre 4,000
Eneo linafaa kwa biashara mbali mbali
Bei milioni mia...
Mambo vipi wanaJF
Mimi nahitaji fremu ya biashara ya kuweka Tigo pesa Mpesa na Airtel money, maeneo ni kuanzia Tabata Barracuda, Sanene, Tabata shule, hadi Segerea au Ubungo Riverside au Tabata...
Get 2 sheets + 4 pillowcases
Only for 55,000 tsh.
Deliveries in Dar and Outside[emoji736]
If you really need jus call or check me WhatsApp now 0685269533.
Kuelekea msimu wa sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya, jipatie baiskeli za gia za watoto kwa bei nafuu.
Tunapatikana Temeke jirani na Mahakama ya mwanzo.
Mawasiliano 0769763538
WhatsApp 0769763538...
Wakuu salaam,
Natarajia kuanza biashara ya kuuza Rim, hasa zile za A4, huku mikoani zinasumbua kidogo. Naomba anayefahamu wapi karatasi hizi zinauzwa kwa bei nafuu aniambie hasa DAR.
Asanteni.
Habari ya asubuhi wakuu,
Nina mgeni wangu week mbili zijazo anakuja kutembea naweza pata wapi Gari ya kukodisha kwa safari za mikoani. Gari itapita mikoa hii, Dar, Morogoro, Dodoma, Singida...
habari wakuu?
Ninajihusisha na uagizaji wa Spea za magari ya Ulaya... Kwa muhitaji yeyote anaweza kuni PM au akacomment hapa nitakusanya request kisha nitareply kwa Bei zetu.
Bei ni nafuu na...
Niaje wadau viwana wenzangu naomba tupeane support kwenye utafutaji wa ridhiki zetu za kila siku mimi ni kinyozi nina uzoefu wa miaka mitano(5) kwenye kazi yangu naishi kigamboni, Dar es salaam...