Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari waungwana nina milioni 1 cash nataka laptop yenye uwezo mkubwa kwa kazi za Graphic Design. Sifa ya kwanza iwe na SSD. Kwa mwenye nayo anishushie spec hapa chini, nitakayoikubali naichukua
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Wakuu samahani sana kwema! Wapi naweza pata zile boyfriend jeans za mtumba za kina dada. Wandugu napata wapi kiwepesi ziwe za kupoint kwa wenye mabalo msaada wenu tafadhali nina uhitaji nazo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
ELECTRONIC HEALTH RECORDS SYSTEM FEATURES PATIENT DEMOGRAPHICS Track patient demographics Primary information (name, date of birth, sex, identification) Marital status Contact information of...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu habari, nauza mafuta ya Nazi kwa kupikia, ni mazuri sana hayajachanganywa na chochote. Lita ni Elfu 30000/= Mawasiliano 0655800252 Unaletewa popote ulipo Tanzania
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari wadau wa JF. Natafuta suppliers wa mafuta halisi kabisa ya nazi (coconut oil). Ingekuwa vizuri kama unazalisha mwenyewe. Pia mafuta hayo lazima yawe kwenye quality ya juu kabisa na yasiwe...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mazda ya 2008, CC2000, KM 122000, Full AC, Insurance hadi February 2022, Tairi zote nne mpya zikiwa na sports rims, Full music system ikiwa na subwoofer ya 1800wts, Aplefire, Android na...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari ndugu, nina miaka 24, elimu yangu kidato cha sita, pia ni dereva nina leseni inamadaraja yote isipokua c kavu, nahitaj mwenye kujua boss au connection gar la uber/bolt naombeni msaada wanu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nakumbuka mwaka 2014 wakati nafanya biashara ya mtandao na kampuni moja kubwa tuu nilikuwa napata shida sana ya kuweza kuongea na wateja niliokuwa nawapata kupitia simu yangu. Unakuta unapata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
IST, YOM: 2004 CC 1290 COLOUR: silver Engine iko poa Some small scratches kwenye body hakuna changamoto zaidi. karibu tumalize biashara: 0683011003 0683011003
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari, natafuta safe box used kwenye nayo ani PM
1 Reactions
3 Replies
942 Views
ZIKO 5; KWA ANAEZITAKA PIGA 0784636291 DAR
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wanajamvi.Nilikuwa naomba msaada kwa yoyote mwenye namba ya agent wa freedom stationary kwa upande wa Tanzania au hata kama ukinipatia location ya ofisi zao kwa hapa Tanzania nitashukuru...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sofa set inauzwa ipo kwenye hali nzuri. Ipo Arusha. Bei 350,000 tshs.
0 Reactions
0 Replies
761 Views
Viwanja vilivyopimwa vinauzwa jijini mbeya. Maeneo ya Isyesye na Iwambi Maeneo ya karibu kabisa na City Center. Viwanja vipo vya matumizi mbalimbali kama vile makazi, makazi biashara, na biashara...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Wana JF Nataraji mumeamka salama. Naomba kufahamu upatikanaji wa hizi Pump na bei zake Shukran sana. Mbarikiwe
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kiwanja cha kwanza kipo mnada mpya barabara ya Singida Road kina ukubwa wa 39*36 hiki kinataka milioni 22mil kimepimwa hati bado. ______ Update Njoo ulipie 15mil badala ya 22mil Picha yake...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Habari ,ninauza mchele super kwa 1700, hakuna haja ya kuuchambua ni wakuosha tu na kupika ,pia unanukia na kuchambuka vizuri ukipikwa.Ninakufikishia mzigo kokote ndani ya dar es salaam kuanzia...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kiwanja kizur kipo location nzuri. Kima miguu 30*25 Bei milion 10 maongez yapo kidogo Call 0718 606739 0685 752509
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Shamba limelimwa mara mbili ni safi hati ipo ya kimila. kila eka ni laki 5 na nusu MAELEZO YA SHAMBA wilaya ya morogoro liko mvuha njia panda kusini kwenda ngerengere chalinze Dar Masaa ma4...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari Wakuu! Nahitaji Gari (SUV) preferred Toyota Rav4 J (zinajulikana zaidi kama Kill Time) au Nissan Xtrail.. Sina Cash ya kulipa kwa pamoja but nina uwezo wa kutanguliza 4M kwanza then niwe...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…