wanajamvi habari zenu
Mimi ni kijana ambae natafuta wateja wa Asali
Asali hii ni ya tabora kwa wanaojua au kusikia kuhusu asali ya tabora wanajua ilivo haina uchakachuaji wowote ni asali halisi...
"TUNAUZA NG'OMBE TUPO ARUSHA SING'ISI TENGERU"
BIASHARA ZETU NI ZA ANA KWA ANA NA SIYO MTANDAONI. LAZIMA MTEJA AFIKE OFISINI NA SHAMBANI
(1) Tunao mitamba ambao hawajapandwa ila waweza pandwa...
Nyumba ina vyumba vinne viwili master , sitting, danning na jiko .
Nyumba ina uwanja mkubwa
Na ipo karibu na barabara ya rami dk 5
Nyumba ina fence ya kuingiza gari
Bei milion 65
Maongez yapo...
Nauza trekta, Massey Ferguson MF 185, 2WD, HP 75. Bei ni 18M (Mazungumzo yapo)
Na jembe pia lipo. disc 3 bei ni 2.5M.
0719070130 Whatsapp & Normal Call
Sent using Jamii Forums mobile app
Laptop aina ya Hp G4 inauzwa bei chee kabisa
Processor Core i5 7th generation
RAM 8 Gb
HDD 1Tb
Iko na GPU na Ssd slot
Bei TSH 540,000/=
Mawasiliano +255624852155
Location kwa sasa ipo Dar.
Habari wana JF
Naulizia bei ya mashine ya kushonea viroba vya unga na pia naweza kupata wapi viroba vya unga kwa bei ya jumla na unachukua kuanzia vingapi
Ningependa kujua kuhusu kuprint viroba...
Hii jukwaa ni kwa ajili ya TV used pekee
Mtu umenunu TV yako baada ya mda kidogo unataka kuuza kutokana na shida za apa na pale
Najua bei zitakuwa afordable kuliko kwenda dukan
Binafsi natafta...
Habari za kazi wakuu,
Kwa majina naitwa Hagai Anyimike, Ni Fundi Simu, Radio, Tv na vifaa vingine vya umeme, lengo la kuandika uzi huu ni ombi kwenu hasa wakazi wa Dar es Salaam ikiwa unahitaji...
salam za amani wana jamii,
Nauza Scania za mwisho mwisho, kila moja mil 37 C&f, ushuru unalipa mwenyewe. Karibuni sana
Scania114/380
Year 2003
Engine Cummins
WhatsApp Nr +255675308774