Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tvs king Mc970bwa Year 2017 Bei ni milioni 4. Ipo dodoma. Haina tatizo lolote. Njoo na fundi na dereva unae mwamini. Mawasiliano zaidi.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Zamani walikuwa Mandela road. Nw wamehama. Anaefahamu walipoamia anisaidie plz. Maana nimejaribu ku-Google, sijawapata. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Chumba kimoja cha kulala ambacho ni master,jiko, ukumbi. Na ndan Kuna Min supermarket inajengwa . zipo nyumba Tisa sehem moja. Mazingira mazur, zinajitegemea maji na umeme. Kodi ni 200,000/= Kwa...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wadau, nimeshikwa na shida nauza kiwanja changu kilichopo Mwanzo mgumu chanika. Ukubwa hekari moja Bei 2.5m maongezi yapo Mawasiliano piga simu 0718658747
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa bukoba nyanshenye bukoba mjini kwa wazawa wa kagera. ~Size 20x40m ~Price milion 5 ~Negotiation is there. ~whatsap 0767579770
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Namtafuta supplier wa samaki aina ya sangara na sato kutoka Mwanza, nahitaji kufahamu mambo haya kutoka kwake 1. Bei ya kilo moja kwa sato na sangara kwa jumla samaki wakiwa mwanza ili na mimi...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
SMAI, is the one among of the leading e-logistic and e-commerce company based in Dar es Salaam offering a door to door delivery in Dar es salaam and upcounties (regions). we have branches in the...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari Jf. nauza hizi pavement blocks kwa Bei ya Hasara. viko 500. vinapatikana vikindu senta. Nilinunua 25,000 kila kimoja nikatumia vikabaki 500. vilivyobaki nauza 17,000 kila kimoja...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Piga.0652180400 Chumba kimoja cha kulala ambacho ni master,jiko, ukumbi. Na ndan Kuna Min supermarket inajengwa . zipo nyumba Tisa sehem moja. Mazingira mazur, zinajitegemea maji na umeme. Kodi ni...
0 Reactions
2 Replies
502 Views
Call/whatsapp 0788622610 Offer offer bei 195,000 tu Oven mpya ya umeme ya kisasa Ina plates 2 juu za kupikia chochote Ina ujazo lita 48 Ina grill pamoja na kuchoma mikate, cake, nyama, kuku etc...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Nauza simu bei poa Nimu ni Nokia original Model 1280 Nataka tsh 25000/= 0679 100 690
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Tunatoa huduma zenye kiwango katika kuprint jezi na aina tofauti tofauti za nguo, Karibuni sana. Tunapatikana Mianzini Mataa. kwa mawasiliano: 0752 466 942 0788 429 756...
1 Reactions
5 Replies
806 Views
Nyumba inauzwa kwa bei nafuu kabisa IPO Morogoro mjini- Mafiga yenye vyumba kumi na eneo la ziada Wasiliana nasi kwa namba: 0699366788
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Viwanja vinauzwa mkundi sheli vina sifa zifuatazo:- 1: vimepimwa 2: umeme upo karibu 3: vipo karibu na hospitali ya wilaya 4: vipo karibu na huduma za maduka makubwa 5: vipo karibu na mashule...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
رمضان مبارك Ofa ya ramadhani [emoji3059][emoji60][emoji3191][emoji287] Samsung S9 Ram 4 Storage 64 Price 390k Samsung S9 plus Ram 6 Storage 64 Price 450k Location kkoo near Infinix Whassap &...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari mzazi, Je, umekuwa na majukumu mengi na ukatamani upate mahali sahihi ambapo wanalea watoto wadogo wenye umri chini ya miaka miwili (2)? Ikiwa unaishi maeneo ya Bunju, Boko, Mabwepande...
0 Reactions
0 Replies
527 Views
Habari ya majukumu ndugu zangu, nmejikusanya kidogo kidogo nkafanikiwa kupata laki tano kwa ajili ya tv.. Nahitaji tv imara na nzuri, je naweza kupata kampuni gani na ni inch ngap? Ukiweza...
1 Reactions
3 Replies
743 Views
Ukiwa na kisima: ●unaweza kuuza maji yako na ukapata faida ●kama una shamba unaweza kufanya umwagiliaji ●Unaweza kunyweshea mifugo [emoji830]︎Nikushauri kitu mteja wangu usichimbe kisima bila ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari za mda huu Nipo Dar es Salaam Kigamboni, Kibada ... zipo matofali pis 2500 Ukubwa nch 5 , Location: Kibada ... bei maelewano haina dalali kabisa kama una uhitaji au maelezo zaidi 0742612561
0 Reactions
0 Replies
634 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…