MAHALI: Kisarawe Km 35 toka Airport
UKUBWA: Heka 17
SIFA: Lina Hati , kuna Nyumba kubwa Pia Kuna Mazao Kama Mitiki, Michungwa,Mikaratusi
Bei: Tsh Milioni 800
aliyesirias Anakaribishwa kuliona Pi...
Habari wa ndugu
Nauza kiwanja kipo Tabata - Bonyokwa kisiwani karibu kabisa na shule ya Mesodonia, upande mmoja kinapakana na barabara ya Ole Meikoki inayoelekea chuo cha Masanja. Kina ukubwa...
Viwanja vipo Mkuranga mjini.Ni dakika30 kutoka Mbagala,na nauli ni elf moja tu kwa daladala,na ni kama km30 au zaidi kidogo kutoka Mbagala.
Eneo lipo mita500 kutoka barabara kuu ya lami.Eneo ni...
Kuna viwanja vinauzwa Chanika zingiziwa 20x20 vipo eneo zuri mkabala na zahanati ya serikali kiasi kwamba vinafaa hata kujenga kitega uchumi kwa wanaoelewa fursa zipatikanazo maene jirani na...
Kipo Tegeta-Madale Dar es salaam. Karibu na Flamingo. Kina ukubwa wa mita 20×25. Msingi wa vyumba 3. Vyoo vya ndani 2, sitting & dining rooms. Mawasiliano:- 0788886038.
Viwanja hivi vipo Msalato njia ya Kondoa - Arusha kimoja kina ukubwa wa zaidi ua eka moja na ramani ya mchoro tayari imeshapitishwa na Mamlaka husika
Viwanja vingine vipo Nala Mizani njia ya...
Square Feet/Meters: 164,042 ft2/50,000 m2/12 acres
Zaidi ya viwanja 50 vinauzwa Kigamboni Mwasonga,Karibu na Mradi wa Real Madrid soccer Academy na Nssf.
Umeme na maji vipo.
Bei ni tsh 10,000 kwa...
Kiwanja kinauzwa kipo Kinyerezi Kibaga ukubwa wa 35m kwa 45m kipo kando ya barabara ya lami kuekuelekea mitambo ya gesi mita 20.
Bei tsh mil 25 mazungumzo yapo.
Piga simu 0754/0715 472414
Nina Viwanja vilivopimwa na venye hati maeneo ya Kibaha Bagamoyo na Kigamboni kama unahitaji nicheki 0718161656 au nifollow kwenye mitandao ya kijamii @dalalimsomi [emoji65]
Viwanja vinapatikana kigogo fresh maeneo ya pugu karibu na kwa waziri mkuu mstaafu mizengo pinda.ukubwa ni miguu 20x20 bei milioni tatu tu.nb umeme upo.mawasiliano 0755221899
Nauza Plot TABATA segerea eneo halijapimwa lina ukubwa wa sq metre 589 urefu 27 upana upande mmoja ina 18 mwingine 22 bei ni 20 million mazungumzo yapo umbali toka kituo cha daladala hadi kwenye...
Wakuu hodi humu ndani..nauza kiwanja mbezi makabe ni kizuri tambarare ukubwa wake ni 20* 20 bei poa..
Samahani sina picha zake nilipoteza simu na picha zote lkn ni kizuri kama mtu anauhitaji wa...
Habari... Jamani nina viwanja na shamba maeneo ya mkuranga nauza kwa bei nafuu,, au kama kuna madalali wanaweza kunisaidia naitaji msaada wenu pia mawasiliano 0716927850
Kiwanja kipo Mbezi Malamba mawili, njia ya kwenda kinyerezi.
Ukubwa wa 520 sqm
Bei ni 12,000,000
Malipo ni cash
Umeme na barabara ni hapo hapo
Kinafaa kwa matumizi ya makazi na biashara kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.