Lipo DSM,Wilaya ya Ilala,Kata ya Msongola,Eneo la Mvuti,lipo KM 2 Kutoka Barabara ya Chanika Mbagala,halijapimwa,lipo kando ya Barabara ya Mvuti Dondwe,lipo karibu na Sekondari ya Mvuti na...
Habari wana Jf ninashamba langu mwenyewe binafsi sio dalali ninaliuza.
Mahali lilipo shamba ni mkoa wa mtwara, wilaya ya masasi katika vijiji vya mikangaula.
Ukubwa wa eneo ni ekari 25.
Bei ni...
Kiwanja kinauzwa kina ukubwa wa 25x25 bei ni million 22 maelewano yapo..
kipo mbezi luis njia panda ya kwenda goba kuna lami na umeme, eneo ni tambalale kinafaa kujenga nyumba bila garama ya...
*HABARI NJEMA*
VKP (Real Estate) Company (yenye usajili no. *299964*) iliopo mbezi beach tang bovu ina huduma zifuatazo;
kukopesha mashamba na viwanja kwa bei nafuu bila riba wala dhamana...
Kiwanja kipo eneo zuri maji ..barabara na umeme ni uhakika..kipo eneo la kisasa radio mwangaza Dodoma mjini..kina square mtre 2800 ..bei yake ni 30 million top..call/watsapp kwa maelezo zaidi
Offer ya kiwanja kwa siku tatu tu Mwembe mtengu kwa shillingi millioni moja na laki mbili ukubwa wa miguu 27 kwa 23 ila hati bado haijatoka ina makabidhiano ya serikali ya kijiji...mwenye...
Nauza kiwanja jijini Mwanza kipo maeneo ya Nyamhongoro majengo mapya. Kina eneo la 487 za mraba kiko prime area. Bei ni shilingi 10/=mil. Kina documents zote. Kwa mawasiliano piga 0784933374
Habarini za usiku wa Leo.kiwanja chenye title ya industrial kinauzwa kunduchi kama unaelekea bahari beach karibu na chuo cha usalama.kina sq m 7400.ambae atapenda kukiona au kujua bei anicheki
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nauza kiwanja cha heka 6 kilichopo kata ya Kiromo wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani.
Kwa atayehitaji kukatiwa ruksa, sema kuanzia heka moja na...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nauza kiwanja cha heka 6 kilichopo kata ya Kilomo wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani.
Kwa atayehitaji kukatiwa ruksa, sema kuanzia heka moja na...
Umuofia kwenu!
Kiwanja chenye ukubwa wa Ekari 1.5 kinauzwa
Kiwanja kipo kijiji cha Mwakalundi,umbali wa kilometre 4 toka Buswelu Wilayani.Kimetizamana na barabara kuu na kinafaa kwa...
Nina eneo la ukubwa wa hekari 2 linafaa kwa makazi na si kilimo,lipo maeneo ya Kisemvule-Mpera wilaya ya Mkuranga,lipo barabarani kabisa usafiri wako binafsi unafika.
Bei 12 Milioni.
0712 318 315
Habari zenu wapendwa, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea na majukumu ya kusukuma gurudumu la maisha.
Nisingependa kuweka personal life yangu hapa, sema imenibidi kulingana na hali halisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.