Viko Mbezi Mpiji Magoe karibu na hospital ya mpiji Magoe vyote vinafikika kwa barabara Viko vya ukubwa mbalimbali kulingana na uhitaji wa mteja.
Bei kuanzia tsh 1.5m tu
Kwa taarifa zaidi piga...
Bestates Properties
Call/Whatsapp: 0786157788
kinauzwa • TSh milioni 2.2 • Chanika Nyeburu B • kilomita 1 baada ya Zahanati ya Buyuni na kilomita 2 kutoka barabara kuu ya lami
ina nyaraka toka...
Viko Mbezi Mpiji Magoe karibu na hospital ya mpiji Magoe vyote vinafikika kwa barabara Viko vya ukubwa mbalimbali kulingana na uhitaji wa mteja.
Kwa taarifa zaidi piga 0715338989
VIWANJA VINAUZWA.VIWANJA VINAUZWA.
VIWANJA VINAUZWA VIPO VIWILI KWA PAMOJA,KILA KIMOJA KINA UKUBWA WA MITA 16 KWA MITA 16.
KIPO MAENEO YA CHANIKA SHULE MPYA YA KABAKARI.
KILA KIMOJA KINAUZWA...
Mashamba yanauzwa, yapo maeneo mawili tofaut
Shamba la kwanza, lipo Mlandizi Makazi mapya, ukubwa wa heka tano, shamba lina miundo mbinu ya maji, kila baada ya mita 50 kuna bomba la maji...
Wadau amani iwe Nanyi.
Plot moshi inauzwa ipo Shia mjohoroni mbele kama una tokea kiborloni.
Ukubwa: 1ekari 150mita kutoka barabara kuu ya Moshi~Dar
BEI:50ml. hakuna udalali
Mimi ni mmiliki wa Kiwanja kilichopo Isaka kahama Barabara ya nne,
Kiwanja ni kikubwa cha kutosha hakijapimwa ila kipo kwenye ramani hakina mashaka kuna vitu vifuatavyo kwenye kiwanja kisima cha...
Wadau habarini za asubuh. Nauza maeneo yangu yaliyoko dege jiran na "magorofa ya dege" kigambon. Viko viwili sehem moja na kila kimoja kina ukubwa wa mita 23*25. Viko kama mita 60 kutoka barabaran...
Chanika Mjini(Videte)
50Ft X 50Ft,
Bei: 4.5M.
Umeme na Maji hapo hapo.
0.6Kms kutoka Barabara ya Lami.
1.7Kms toka Chanika Stand.
Pamepimwa kienyeji vizuri kwa Makazi Bora.
Kiwanja #29 & #30...
Nauza kiwanja eneo la kibada Block 7,kina ukubwa wa squremeter 1350 kimepakana na eneo la NSSF,Kimepimwa na kina hati,anae hitaji tafadhali ani PM au awasiliane kwa namba 0654274004.
Listing by: Bestates Properties +255786157788
Tunapenda kuwatangazia wananchi wote raia wa Tanzania, mwendelezo wa uuzaji viwanja kwa bei nafuu kwa kuzingatia viwango vya serikali.
Hati...
BEI: 300,000,000/- Maongezi yapo kwa mhitaji
MAHALI:TABATA RELINI(karibu na st.Mary chuo cha ualimu)
UKUBWA: SQUARE M 1600
UHALALI:KINA HATI AMBAYO INALIPIWA KILA MWAKA
Mhitaji anaweza kuja PM...
Eneo linauzwa mbezi beach barabara ya white sand jirani na shule ya English medium ya Elite eneo lina fance na nyumba ya nyumba vitatu Umeme na maji tayari limepimwa na lina hati ukubwa 4500sq m...
Kiwanja kinauzwa
Ukubwa 32*32
Kipo Dar es salaam eneo la
kinyerezi_Kifuru(hali ya hewa)
Umeme na barabara vipo
Bei: Tsh.15million maelewano yapo. Dalali haitajiki
Mawasiliano:
+255712264469...
Wakuu kiwanja kinauzwa Mbezi kwa Msumi.
Ukubwa ni 20 kwa 20.
Bei, kinaanzia milioni 5 (kwa mnunuaji mazungumzo yatazingatiwa)
Kiwanja kipo eneo tambarare na kipo jirani kabisa na barabara,pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.