Moja kwa moja
Deep freezer Kampuni ya Mo lenye ujazo wa lita 306 linauzwa.
MDA WA KUTUMIKA: Limetumika kwa miezi miwili na nusu (hadi wakati huu ninavyoandika.
CONDITION: liko vizuri sana...
SOLD
Nauza vitanda futi 5 kwa 6, mninga.
Bei ni sh 85000 kwa kimoja.
Vipo Sinza
kwa atakaye hitaji tuwasiliane 0625758699.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauza kitanda cha mbao na godoro lake vyote kwa pamoja kwa 160,000
Kitanda ni mbao na ukubwa wake ni 5*6
Location: Riverside, Ubungo
Contacts: 0693855083
Sent using Jamii Forums mobile app
StarX inch 32, Tsh 270,000/=
Samsung Galaxy J7 prime duos, Tsh 220,000/=
Subwoofer Sea piano, Tsh 80,000/=
King'amuzi startimes Tsh 50,000/=
Stand ya Tv Tsh 30,000/=
Vyote bado viko katika...
Nawasalimu watu wote, baada ya salam nijielekeze kweny kichwa cha habari kama kinavojieleza, Lina uzwa duka la vipodoz lipo mitaa ya Segerea stendi duka lina makabati 2 ya ukutani kwa ajili ya...
Ipo Kinyerezi haina shida yoyote inagandisha fasta.Mwenyewe ana uhitaji wa fedha ya haraka.
Bei laki moja na themanini elfu.
Ni Hot Point.
Sent using Jamii Forums mobile app
full ac
3rz ingine
automatic gear changes
mwaka 2005
ipo nyumban tu haitumiki
bei 13m
nipigie 0652472486 kwa mteja serious tuuu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Habarini wakuu.
Kabati la mbao linauzwa ( sio mchina).
Receipt ipo.
Jipya kabisa, kwaajili ya utunzaji mzuri.
Linapatikana kimara mwisho.
Bei ya mwisho 220k.
Picha zipo chini.
Ukilipenda...
Ram 6GB
Storage 128 GB
Battery 4000mAh
Imenunuliwa July mwishoni.
Kila kitu kipo utapewa mpaka risiti.
Haina scratch yoyote.
Bei 600,000 Tsh.
Sababu ya kuuza: Nataka hela nimefulia.
Simu iko...
Gari inauzwa Noah toyota voxy T 703 DDP gari limetembea kilomita 131152 lipo kwenye hali nzur sana
Gari linapatikana mwananyamala manjunju
Bei ni shilingi million 6 kamili.
Mawasiliano
0719590756
RAM 2GB
Processor (intel) DUO CPU 1.40GHZ
HDD 100GB
WINDOW 7 installed
MODEL : eliteBook 2530p
Bei: 180,000
DVD WRITER
Battery TIME up to 4HRS
IMESHAUZWA
Nawaamkia wanajamii forum. Kama ulikuwa na hamu ya kumiliki gari, nafasi hii apa. sina mengi nipo Dodoma nauza gari langu T 456 BEA, M5 Gx 100 kwa shilingi 2.7 milioni. Gari lipo vizuri...
Nauza Playstation 3 yangu
Price: 250,000/= FIXED
Inakuja na games, ndani yake kuna PES 2018, FIFA 18, Mortal Kombat, NFS, GTA 5
Comes with 2 Gaming Pads
Unapata the game,the pads na power cable...
Powershots sx400
Ipo kwenye good condition
Location:MWANZA
Price 340k. Or exchange with OPPO f3 or Samsung s6 edge
Contact. 0674250886 whatsup tu
0735607699 SMS tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.