Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kiwanja kinauzwa kipo Madale mkoroshini karibu na barabarani kina ukubwa wa square 625 bei million 23 no:0756855563
0 Reactions
2 Replies
819 Views
Kiwanja kinauzwa kipo Madale Mkoroshini, karibu na barabarani Kiwanja kina ukubwa wa square 625 Bei ni Tshs million 23 Mawasiliano: 0756855563
0 Reactions
0 Replies
785 Views
Kiwanja kinauzwa kipo Madale kwa Kawawa ni karibu na barabarani kina ukubwa wa square 1500 bei million 15 no:0756855563
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kampuni ya uuzaji na upimaji wa viwanja ya MAKAZI SOLUTION iliyopo Kinondoni TX inapenda kukutangazia kuwa vuwanja vya mkopo wa kuanzia mwaka mmoja na nusu vinapatikana kwa maeneo ya...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Kimepimwa (surveyed) 400 meters kutoka baharini 3 kilometers kutoka Dege Eco Village Barabara nzuri inapitika muda wote Kumeendelea (kumejengeka) Kiwanja square meters 574 Bei ni Tshs 9,000,000...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Eneo: goba kibululu , km 1 kutoka goba centre Eneo limepimwa so upatikanaji wa hati ni rahisi sana na pia ni eneo ambalo tayari kuna makazi ya watu pamoja na huduma zote (maji na umeme)...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salaam, Kiwanja kinauzwa kipo Tegeta wazo (mji mpya) Kutoka njia panda wazo ni km 6 Kiwanja kipo kwenye mtaa mzuri na uliopangika Ukubwa wa kiwanja ni sqm 1200 Kiwanja kipo full surveyed Bei: 35m...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
  • Closed
Habari wakuu! Kiwanja chenye ukubwa wa square meters 600 kinauzwa Tshs 6,500,000. Kiwanja kimepimwa na Manispaa ya Morogoro na hati ipo hatua za mwishoni kutolewa. Kiwanja kipo Kingolwira karibu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kipo kitungwa$ bear nanenane) nyuma ya like gorofa kubwa linalojengwa pale. Kina hati Square meters 876. 15M. Takribani meter 300 kutoka barabara kuu ya Moro -Dar. Njoiin vo
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wadau nauza Kiwanja changu, kipo wilaya mpya ya Kigamboni, Kimepakana na viwanja vya Kisota. Kiwanja kinaangalia barabara ya kutoka Ugindoni kuelekea Kisota. Kipo sehemu tambarale hakuna maji...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
eneo ni kubwa kwa ajili ya matumizi ya sheli limekuwa surveyed na lina hati location: njia ya goba kwenda mbezi barabara imechangamka sana na ina lami..traffic ipo ya kutosha mawasiliano...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza kiwanja Kiluvya njiapanda ya kwa Sumaye. Kiwanja kinaukubwa wa nusu heka, kimewekwa mawe bado hati tu. Kipo karibu na miundombinu yote barabara na umeme Bei ni milioni 13 Kwa mawasiliano...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kiwanja kinapatikana BUNJU B njia ya kuelekea/kwenda mwabepande. Ni karibu kabisa na kota za TIB 2km kutoka BAGAMOYO road Kiwanja kina hati miliki. Ukubwa wa kiwanja ni sqm 1608 Huduma muhimu zote...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Nauza kiwanja chenye ukubwa mita 50*40 Kiwanja kipo umbali wa km 2 kutoka barabara kuu ya kuelekea Mbande Kiwanja kipo eneo linaitwa Kitonga Mbagala. Kiwanja kinauzwa kwa bei ya Tshs mil 4 Kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana JF nauza eneo lipo michese dodoma KM 6 kutoka soko la majengo miundo mbinu iko mizuri. ukubwa wa eneo ni sqm 2162 au tulio zoea hatua ni miguu 57 kwa 52. bei milioni 4 karibu PM wanunuzi.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
-ukubwa wa eneo ni 25m *23m square meter 575. - eneo lipo kwenye mradi wa urasimishaji ardhi - barabara ipo ya mtaa hadi kwenye kiwanja - eneo lipo karibu na shule ya msingi kifuru (malamba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja Kinauzwa Eneo: Salasala Mwisho,baada ya Ukivuka Mto. Ukubwa: Kiwanja ni 25M Kwa 20M [500Sqm] Bei : Tshs 15Milioni [ Mazungumzo] Mawasiliano: 0675107182
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Pata kiwanja kwa Bei chee Mwembe Mdogo Kigamboni 696 square meters Kimepimwa +255714908121 Bei (3700000)
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau! Kama kichwa kilivyojieleza hapo juu, Nina hekari 6 zipo chalinze barabara ya kwenda moshi, unashukia kituo cha mboga, kutoka barabara kuu ni mwendo wa dakika 8-10 kwa bodaboda, kipo jirani...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom