Plot4Sale Nauza Mashamba yangu yapatayo hekari 6 "Chalinze kwa mboga"

bampami

JF-Expert Member
Nov 5, 2011
5,697
4,107
Wadau!

Kama kichwa kilivyojieleza hapo juu, Nina hekari 6 zipo chalinze barabara ya kwenda moshi, unashukia kituo cha mboga, kutoka barabara kuu ni mwendo wa dakika 8-10 kwa bodaboda, kipo jirani na kiwanda cha matunda cha sayona(kama sikosei)

Bei:1100,000 kwa hekari

Eneo ni tambalale, na ni ardhi unayoweza lima: mihogo, ufuta, mahindi, papai nanasi n.k lipo jirani na mto

Nilinunua kwa lengo la kupanda maembe, migomba na machungwa kwa lengo la kuwauzia kiwanda (matunda) kwani bado wanahitaji sana.

Eneo lingine ni kwa ajili ya kupanda mihogo, na ufuta.


Dhumuni la kuuza: Nimehamishiwa Mbeya hivyo naona fursa ya kuyatunza sitoweza..

HAKUNA HELA YA UDALALI.

Kwa mawaziliano, Karibu inbox.

Ahsante!!!
 
Wadau!

Kama kichwa kilivyojieleza hapo juu, Nina hekari 6 zipo chalinze barabara ya kwenda moshi, unashukia kituo cha mboga, kutoka barabara kuu ni mwendo wa dakika 8-10 kwa bodaboda, kipo jirani na kiwanda cha matunda cha sayona(kama sikosei)

Bei:1100,000 kwa hekari

Eneo ni tambalale, na ni ardhi unayoweza lima: mihogo, ufuta, mahindi, papai nanasi n.k lipo jirani na mto

Nilinunua kwa lengo la kupanda maembe, migomba na machungwa kwa lengo la kuwauzia kiwanda (matunda) kwani bado wanahitaji sana.

Eneo lingine ni kwa ajili ya kupanda mihogo, na ufuta.


Dhumuni la kuuza: Nimehamishiwa Mbeya hivyo naona fursa ya kuyatunza sitoweza..

HAKUNA HELA YA UDALALI.

Kwa mawaziliano, Karibu inbox.

Ahsante!!!
Kwanini unakubali mwaajiriwa wakati unamiliki aridhi ambayo na ajira tosha.......acha kua tegemezi mtumishi jitowe mhanga uendeleze aridhi atakiwanda utajenga mbeleni
 
Kwanini unakubali mwaajiriwa wakati unamiliki aridhi ambayo na ajira tosha.......acha kua tegemezi mtumishi jitowe mhanga uendeleze aridhi atakiwanda utajenga mbeleni
Nimepata eneo huku kyela kama heka 3, huku ndiko nitautilise fursa ya kilimo.
 
Wadau!

Kama kichwa kilivyojieleza hapo juu, Nina hekari 6 zipo chalinze barabara ya kwenda moshi, unashukia kituo cha mboga, kutoka barabara kuu ni mwendo wa dakika 8-10 kwa bodaboda, kipo jirani na kiwanda cha matunda cha sayona(kama sikosei)

Bei:1100,000 kwa hekari

Eneo ni tambalale, na ni ardhi unayoweza lima: mihogo, ufuta, mahindi, papai nanasi n.k lipo jirani na mto

Nilinunua kwa lengo la kupanda maembe, migomba na machungwa kwa lengo la kuwauzia kiwanda (matunda) kwani bado wanahitaji sana.

Eneo lingine ni kwa ajili ya kupanda mihogo, na ufuta.


Dhumuni la kuuza: Nimehamishiwa Mbeya hivyo naona fursa ya kuyatunza sitoweza..

HAKUNA HELA YA UDALALI.

Kwa mawaziliano, Karibu inbox.

Ahsante!!!
linafaa kwa ufugaji? (ng`ombe na mbuzi)
 
Back
Top Bottom