Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari za leo! Kuna shamba linauzwa maeneo ya Kiromo Bagamoyo kilomita 5 kutoka Bagamoyo road. Ukubwa wa shamba ni heka moja na limepandwa mihogo mwaka jana december. Bei ni million 7.5 na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Viwanja vinauzwa vipo Mita Mia tatu kutoka ziwa Victoria vipo maeneo ya Luchelele. Usafiri wa daladala Hadi kiwanjani kimepimwa na taratibu zote zimefuatwa. Bei ni mil 16 tu. Ukubwa ni square...
0 Reactions
0 Replies
994 Views
kiwanja kina ukubwa wa square meter 713 - kina hati miliki - kiko barabarani( barabara ya lami ya mbweni) - kimezungushiwa ukuta mrefu mpaka juu - bei maelewano (piga simu) Mawasiliano: 0765...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Nauza kiwanja Kigamboni - gezaulole kina hati miliki original kutoka ardhi kiwanja kimepimwa huduma za kijamii zote zipo bei mil 25 karibuni contact 0714787795 / 0743251666 Ukubwa wa energy ni...
0 Reactions
1 Replies
848 Views
PLOTS FOR SALE DAR ES SALAAM Location: [emoji810]MBEZI (kimara) Luguruni Viwanja viko nyuma ya chuo cha st. joseph mita 700 kutoka morogoro road kwa bei nafuu kabisa [emoji810]MBWENI Viwanja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza kiwanja-Vikindu kwa bei ya Tsh milioni tatu(3,000,000/=) ukubwa square metre 345 Mawasiliano 0752606075.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari, 0762987034 Kiwanja kipo Kigamboni maeneo ya Kimbiji , baada ya Kambi ya jeshi ya kimbiji Kiwanja kina ukubwa wa square meter 520 Umbali kutoka Feri ni kilometer 43 Umbali toka baharini ni...
0 Reactions
1 Replies
970 Views
Eneo kilipo: BUNJU B njia mwabepande umiliki: Kina hati( full titled) ukubwa: Sqm 1600 (53 kwa 30) bei: 35m (maongezi kidogo yapo) hakuna longolongo mawasiliano: kawaida : 0765 494 548 wasap...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1. Shamba la miti ya cypress lipo; Mkoa: Geita Wilaya: Geita Kata: Bukondo Kijiji: Lulama Ukubwa: hekari 4 yenye miti ya miaka mitano Bei:Tsh. 18,000,000/= Eneo lote la shamba linafaa pia kwa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Update: Biashara haipo tena!! Wakuu habari! Nina plot yangu yenye maelezo yafuatayo naiuza.
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Madale mwisho wa magari karibu na barabarani kina ukubwa wa square 600 bei million 8.5 no:0756855563
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Mkurumuzi Tanga Urefu 27m Upana 22m Malipo kwa awamu yanapokelewa kwa makubaliano maalum kiwanja bado hakina hati lakini kwa sasa kuna zoezi la urasimishaji viwanha ili...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naunza kiwanja changu kiko Mbezi Msakuzi kilomita 2.5 kutoka mbezi mwisho. Umeme upo palepale site na huduma zingine za jamii zipo. Kimeshafanyiwa preminary survey. Ukubwa: mita 20 kwa mita 21.Bei...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu Nauza kiwanja kipo chanika buyuni block 25 Kiwanja kina ukubwa wa sqm 316 Kimepimwa kina hati Urefu:30 Upana:10.5 Bei 2m maelewano Nb gharama za serikal ya mtaa unalipa wewe...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Mradi Mpya wa Viwanja Dar es Salaam!! Location/Eneo: Madale Mivumoni (Nyuma ya shule ya atlas madale campus) Distance/Umbali: 1.5 km kutoka barabara ya rami Price/Bei: Tsh 25,000 kwa sqm...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kiwanja ni kizuri kwa matumizi ya makazi Eneo kilipo: bunju B Umiliki: kina hati Ukubwa: 1048 square metre ziada: kimezungushiwa ukuta Price; milioni 30 (maelewano kidogo yapo ) Mawasiliano...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hiyo ndio March Price list ya viwanja vya Dodoma. Wahi Sasa ujipatie kiwanja kwa bei ya punguzo. Kwa mawasiliano simu au whatsap namba 0621399079. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Viwanja viko Nyashishi, kilomita mmoja kutoka stendi ya daladala nyashishi zinazofanya route ndani ya Jiji la Mwanza. Viwanja viko zaidi ya 50 na bei zinatofautiana kulingana na ukubwa pamoja na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
PALACE PROPERTY LIMITED Tunatoa Mikopo ya Viwanja na Mashamba bila riba wala dhamana. MIRADI YETU 1.MADALE MIVUMONI Viwanja vipo Kilomita 2 toka Goba Njia nne. -Mita 400 toka main road. -Huduma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom