Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

01.Kiwanja namba (plot No.) 647. Block .... Ukubwa wake SQM 880. Bei milioni nane (8Mil). Daladala inafika kwenye kiwanja Karbu njoo DM 02.kiwanja kingne kina ukubwa wa SQM 427 Plot No.119 Maji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kipo Chanika mwisho njia ya Mvuti (Kwa Bwaje) Ukubwa wa kiwanja ni 20 * 40 (sqm 800) Umeme na maji vipo karibu. Bei ni Millioni 4 mazungumzo yapo. Kiwanja hakina dalali ni cha kwangu...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Beach Plot No 1 kina Sqm 1,808 kinauzwa Tshs 100,000,000/ ila Hati bado inabidi kilipiwe kiasi na Hati ikitoka zinamaliziwa. Beach Plot No 2 kina 1,323 sqm kinauzwa Tshs 95'000'000/ kina Hati...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
VIWANJA KWA MALIPO YA AWAMU _______________________________ NIMEWALETEA VIWANJA KWA MALIPO YA AWAMU KATIKA ENEO LIITWALO MICHESE,NAOMBA TUIFAHAMU MICHESE KWANZA KWA KUSOMA MAELEZO HAYA...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Viwanja vipo Mtaa wa Kulangwa, Kata ya Goba, Manispaa ya Ubungo, Dar es Salaam. Ni karibu na Madale Mwisho. Viwanja vinne vipo km 2 kutoka Madale Stendi, na kimoja kipo karibu na Stendi ya Goba...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Plot is situated at KIMARA- TEMBONI , 3KM from Temboni bus stand . plot ni tambalale ukubwa wa kiwanja ni SQUARE METER 900 ( 30 METER * 30 METER) ... PRICE MIL. 12,000,000/= (negotiable ) . ENEO...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Shamba linauzwa Mkoani Morogoro, wilaya ya Mvomero, kata ya Turiani, kijiji cha Dihinda. Shamba lina mitiki ndani yake, minazi, michungwa na miembe. Shamba lina ukubwa wa hekari 60, lina bonde...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau wawekezaji tuna eneo geza ulole kigamboni linauzwa kwa heka kwa atayehitaji awe mwekezaji au mwananchi tu wa kawaida kuna heka zaidi ya 600/karibuni sana.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wadau! Nauza kiwanja changu mwembe mdogo kigambo mbele kidogo na ya Dege umbali kutaka Ferry nikama km 25 kufika kwenye kiwanja. 1.UKUBWA hatua 70 kwa 70 2.MUONEKANO...
4 Reactions
111 Replies
13K Views
Nauza kiwanja Kipo kinyerezi karibu na sheli ya Victoria Ni dk1 tu kutoka barabarani Bei mil 23 maongezi yapo Kina ukubwa wa Mita 45*35*25*10 Hata mwenye pesa pungufu anaweza kulipa Kwa awamu so...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kiwanja kizuri kinauzwa Mwongozo, Kigamboni karibu na nyumba za NSSF na NHC. PLOT DETAILS Plot no: 336, kinayo hati ya miaka 99 (attached) Location: Mwongozo, Kigamboni; Karibu na nymba za NSSF...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
A. Viwanja vimepimwa vipo Kibaha Visiga 3 kilometers kutoka Morogoro road. UMEME na MAJI vipo Barabara inayopotika bila tatizo hadi kwenye viwanja Bei ni 3 million kwa kiwanja cha sqm 400...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Viwanja vipo chanika mvuti manispaa ya ilala dar es salaam:+255 6 28 00 82 18 Kwa tshg million 1,000,000/= Ukubwa wa eneo mita 15 kwa 15 Wahi mteja vimebaki vichache sana kwa mhitaji piga...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tsh. 180 MILLION NEG, KIFURU HALI YA HEWA, NJIA YA KUELEKEA MBEZI LOUS SUITABLE FOR, school, hospital, yard 🎁2 Acre SIZE🗞️Surveyed Area with beacon☎️0767264754/0739441351
0 Reactions
2 Replies
988 Views
Kiwanja kipo Buhongwa kilomita 1.6 kutoka barabara kuu ya lami Mwanza-Shinyanga. Kiwanja kimeshapimwa na ukubwa wa kiwanja ni 20m*27m. Huduma zote za kijamii kama maji, umeme zipo pembezoni mwa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za leo wanajamiiforums? Nauza kiwanja Safari City Arusha, Kiwanja kina square meters 396 kila square meters moja ni =35,000 35,000×396=13,860,000 Kiwanja kimepimwa kulingana na mipango...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari wana jf nina kiwanja bei yake ni mil 7 ila bei inashuka unaongea una kiasi gani nina shida nauza hiki kiwanja ni changu mwenyewe Kiwanja ni changu mwenyewe sio dalali Kiwanja kipo...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
MAWASILIANO YANGU 0745298903 AU 0693084522 Bei yake 8,000,000 (maongezi yapo kidogo) Ukubwa SQM 678 sawa na Mita 23 Kwa 30 Eneo lipo sehemu nzuri na iliyopangika sawa na ramani inavyoeleza...
0 Reactions
114 Replies
12K Views
Tunauza viwanja vya makazi vyenye miundombinu yote muhimu ya kijamii umeme maji barabara viwanja vina ukubwa wa feet 40×50 viwanja vipo Kisemvule mbele kidogo baada ya mbagala rangi 3. Vipo vya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom