Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wandugu, Natafuta mahali ninapoweza kupata german shepherd mwenye umri usiozidi mwezi mmoja. Mwenye kujua mahali wanapopatikana anifahamishe na bei yake pia kwa mmoja. Nahitaji wawili
0 Reactions
0 Replies
963 Views
Visit this link for more info http://StartReferralJob.com/index.php?refcode=128899
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni Model ya mwaka 2000, Imetembea Km 122,000. Engine Capacity 1330 cc, Number T BDU.... Gari inatembea, Iko Dar es Salaam. Inauzwa Mil 6.5 Mwenye Offer PM tafadhali ...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jenereta aina ya Honda, 2200GF2 Inauzwa kwa bei nafuu,Ipo kwenye hali nzuri,imetumika kwa mda wa mwezi 1 tu,kwa maelezo zaidi wasiliana nami kupitia 0659606000
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Generator. MOD.2200GF2 RATED VOLTAGE. 220V RATED FREQUENCY. 50Hz RATED OUTPUT. 2.0kw MAXIMUM OUTPUT. 2.2kw POWER FACTOR. 1.0 SINGLE PHASE GASOLINE GENERATOR
0 Reactions
0 Replies
759 Views
Gari aina ya suzuki inauzwa kwa bei poa kwa wale wafanya biasha inafaa sana,gari bado mpya kabisa ina plate # ya C..
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Hallo, Unahitajika Mkopo wa Bei Nafuu kwa ajili ya Kufanyia Finnishing Apartments 4. Mradi Uko Ilala. 12.8Kms from the Heart of the City(Dar Es Salaam) Muda wa kurejesha Mkopo Ndani ya Miaka...
0 Reactions
0 Replies
902 Views
Nokia hiyo inauzwa 2nd hand bei nafuu kabisa imetumika miezi mnne bado ina gar'nt ya miezi sita
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Make Scania Model 93 HP 280 Year 1994 Km 750.000 Configuration 6X2 Bei CIF Tsh Mil 33
0 Reactions
1 Replies
5K Views
za week end wandugu; wajameni, nimeanza kukamata ngawira huku majuu na Mungu akipend nikitia mguu bongo nitaendesha kamashine kangu binafsi ka kwanza maishani mwangu. sasa naomba mnisaudie...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
jamani kwa wale wapenz wa shisha kuna ambayo inauzwa bei maelewano alie tayar 0764606878. iko vizuri kutoka sauzi.. ni beep ntakipigia watu wangu wa nguvu...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Yeyote anayetengeneza chuma za mapazia Arusha ani PM please. Regards, Jonathan.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Members kuna kiwanja kinauzwa maeneo ya Kwembe kijijini(Mbezi mwisho kwa mbele). Ukifika makondeko unaingia kushoto.Kina ukubwa wa 28x30. Mimi sio dalali na wala sio muuzaji wa kiwanja ila...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
habari zenu.. Nina agency ambayo nimekuwa nikifanyia kazi nyumbani for sometimes now..ila imeonekana ni vema nikawa na office. Hivyo naomba kufahamu kama kuna mtu anaweza kuwa na space ya kushare...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kichwa cha habari kinaeleweka ni pm kama unayo au unajua ilipo
0 Reactions
39 Replies
7K Views
Blackberry bold 9780...ipo inauzwaa,mda wowote unaipataa ukiwa na pesa yako.. Unapewa na pocket case yake..!! ## ni pm tuongee biasharaa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza simu aina ya nokia asha na pia nauza jenereta la yamaha anaye hitaji anipm
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa mbezi beach - karibu na nyumba za nssf usd 800, pia zipo na za kuuza usd 180,000 mpaka 200,000.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
lina ekari 35, na kila eka ni sh. milioni 4. lipo umbali wa km 10 kutoka tumbi hospitali. KARIBU SANA
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…