Wandugu, Natafuta mahali ninapoweza kupata german shepherd mwenye umri usiozidi mwezi mmoja. Mwenye kujua mahali wanapopatikana anifahamishe na bei yake pia kwa mmoja. Nahitaji wawili
Ni Model ya mwaka 2000,
Imetembea Km 122,000.
Engine Capacity 1330 cc,
Number T BDU....
Gari inatembea, Iko Dar es Salaam.
Inauzwa Mil 6.5
Mwenye Offer PM tafadhali ...
Jenereta aina ya Honda, 2200GF2 Inauzwa kwa bei nafuu,Ipo kwenye hali nzuri,imetumika kwa mda wa mwezi 1 tu,kwa maelezo zaidi wasiliana nami kupitia 0659606000
Hallo,
Unahitajika Mkopo wa Bei Nafuu kwa ajili ya Kufanyia Finnishing Apartments 4.
Mradi Uko Ilala. 12.8Kms from the Heart of the City(Dar Es Salaam)
Muda wa kurejesha Mkopo Ndani ya Miaka...
za week end wandugu;
wajameni, nimeanza kukamata ngawira huku majuu na Mungu akipend nikitia mguu bongo nitaendesha kamashine kangu binafsi ka kwanza maishani mwangu. sasa naomba mnisaudie...
jamani kwa wale wapenz wa shisha kuna ambayo inauzwa bei maelewano alie tayar 0764606878. iko vizuri kutoka sauzi.. ni beep ntakipigia watu wangu wa nguvu...
Members kuna kiwanja kinauzwa maeneo ya Kwembe kijijini(Mbezi mwisho kwa mbele). Ukifika makondeko unaingia kushoto.Kina ukubwa wa 28x30.
Mimi sio dalali na wala sio muuzaji wa kiwanja ila...
habari zenu..
Nina agency ambayo nimekuwa nikifanyia kazi nyumbani for sometimes now..ila imeonekana ni vema nikawa na office. Hivyo naomba kufahamu kama kuna mtu anaweza kuwa na space ya kushare...