Habari, Natafuta bodi ya Suzuki carry au Daihatsu hijet truck; ikiwa na chasis itakuwa poa zaidi. Tafadhari kwa anaejua wapi naweza kupata ani PM. Natanguliza shukrani.
wakuu nauza modem ya voda aina ya k3573-z, nimeichakachua waweza kutumia laini yoyote kwa anayehitaji anitafute hapa 0715304808.Bei ni tsh.20,000/=.ila haina kamfuniko ka mbele kama inavoonekana
Kiwanja kizuri eneo la tambarare,kimepimwa,kina hati,umeme upo karibu,maji yapo yanapatikana,km 5 kutoka barabara ya morogoro,barabara inapitika muda wote,ukubwa wake ni hatua 70 kwa...
Sony Handy-cam DCR-DVD808 DVD Camcorder
Comes with battery
Own Original Bag
And Charger
With one free Recordable Disc
Very Good Condition
Give me your Offers!
+255 756 412 337
Wapendwa kuna kazi zingine ni rahisi sana kupata hela japo ni kidogo lakini unaweza kupata mpaka dola 200 kwa mwezi check hii link StartReferralJob.com Earn 50$ daily by referring link to your...
Sifa za simu
Internal 16gb
Micro SD up to 32gb
Speed up 42 Mbps
CPU Dual core 1.5 GHZ Scorpion
Camera
Primary 8 MP auto focus dual led-flash
Secondary 2 MP
OS Icecream Sandwich v4.0.4...
Nyumba ipo Kinondoni Manyanya ina hati kila kitu, ipo sehemu mzuri kwa biashara kwa hiyo unaweza kubomoa na kutengeneza ghorofa ambapo ukaweka hoteli, benk, bar nk. Bei Tsh 270ml
Natafuta mwezeshaji,nina eneo Morogoro ni zuri kwa kilimo, na nina idea ya kilimo kama tunaweza shirikiana pliz nicheki private, pia kuna eneo jingine bagamoyo, kilimo hakimtupi mtu...
Wakuu, natafuta Nyumba ya kupanga . Iwe na Master 1 na room 1 kawaida, iwe na choo,bafu,jiko na sebule pia iwe ndani ya fens. Hata kama ni shared fens. Maji yasiwe ya shida, imwe wilaya ya...
Buy the bluetooth Bracelet now at sabasaba. For only 65,000tshs. Saba Saba Offer. We are located behind Alhasan Mwinyi Hall. Call 0764 468420 for directions when you are there. After sabasaba...
Nokia C7 mpya kama uionavyo hapo juu, ina 8mega pixel camera, ina kamera 2, unapata na chaja na earphone, Ina 8gb internal memory, Bei ni laki 3 na elfu 20 cash. Piga ama sms namba 0756 41 75 04...
nyumba inapangishwa maeneo ya tabata liwiti barabarani .ipo ktk mazingira mazuri ya utulivu ina vyumba 3,jiko ,master,vyoo 2 vya ndani and bafu ukumbi mkubwa,luku ipo ,parking yakutosha and ipo...