Samaritan Water Solution LTD ni suluhisho la tatizo la maji chumvi. Tunatengeneza machine bora kabisa za kuchujia maji chumvi na kuwa maji baridi zaidi hata ya maji ya DAWASA. Kutumia maji chumvi...
Habari
Nauza Tablet nzuri aina ya Samsung kwa beinya kutupa, bei ni Tshs 480,000 ila maongezi kdg yapo
Tablet hii imetumika miezi mitatu tu hivyo bado ni mpya kabisa na aina mchubuko wa aina...
Tank za lita 1000 zinauzwa. Zipo kwenye hali nzuri. Zipo zenye koki na zisizo na koki.
Bei 180,000/= (negotiable)
Njoo Godown, Temeke uchague.
Call/Whatsapp: +255 699 494650
Habari wakuu,
Natupa wanhoo toyo kwa bei ya sh 1.7m only. lina tatizo la plate clutch tu, gear namba moja ina shida ila linaondokea gear number 2.
Nauza kwa kuwa naenda mkoani soon, nilikuwa...
Printer Canon Multi Function3010 i- SENSYS 3 in 1 ( printing, Copy na scanning) black and white
Ideal kwa matumizi ya office, biashara na nyumbani.
Ipo katika hali nzuri
Bei 250,000
A 2000 ROJECTOR
Ina uwezo wa inch 24 hadi 80 .
Mwanga wa kutosha kuonyesha picha angavu ..
Inatumia HDMI cable , Flash Drive, Headphones,
AV in ,
Inthe package :-
HDMI, STAND , REMOTE...
Fridge la LG linauzwa. Lipo katika hali nzuri mno.
560ltrs
Opti fresh
Frost Free (linagandisha bila kuweka mabarafu.
Energy saving (linatumia umeme mdogo sana).
Linafaa kwa matumizi ya nyumbani...
Habari za jioni wakuu,
Nauza begi la laptop jipya halijatumika kabisa. Nipo DSM
Bei: 30,000
Value price estimated between 70,000 - 100,000
PM if you need. Photos below
Freezer 150Litres
Kwa Tshs 600,000/= tu
Warranty miaka 3 uhakika kabisa
Karibu tupo kariakoo dar es salaam
Wasiliana nasi
0712082915
Whatsapp
0684942062
KARIBU SANA
Mashine Iko Mpwapwa Dodoma
Ni mpya
Inatumia Umeme na Solar
Inahifadhi joto kwa zaidi ya saa6
Inafanya task zote Automatically
Bei ni 470,000/-
+255-(767)-11-222-1
Ni muuza magodoro hapa.
Nimefurahi kukutana nanyi jukwaani..
Nashukuru sana.
Karibu ujipatie godoro lako.
Tupo kariakoo dar es salaam
0712082915
Whatsapp
0684943062
KARIBUNI SANA
Tairi ni kama ifuatavyo:
2 pieces Pirelli P Zero (PZ4) size 265/45R 18
2 pieces Ironman iMOVE GEN2 size 245/50R 18
Rim size ni inchi 18.
Hizi tairi niliagiza brand new kutoka USA mwezi...
Hii PIKIPIKI IMESHAUZWA, IMESHANUNULIWA NINA WA SHUKURU WATU WOTE WA HUMU NDANI KWA USHIRIKIANO WENU HATIMAE NIMEUZA SIKU NYINGINE NIKITANGAZA BIASHARA MSIWE NA SHAKA WALA WASIWASI YOYOTE
Wakuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.