Sony PlayStation 3 (PS3) inauzwa.
Imetumika kwa mwezi mmoja (1)
*Ina HDD yenye 250 GB.
*Inakuja na padi mbili (2)
*Inakuja na waya wa power, waya wa HDMI na nyaya mbili (2) za kuchajia padi.
*Ina...
Model: Creality Ender 3v2
Materials Supported
ABS, PLA, PETG, TPU
Number of Print Colors
1
Number of Extruders
1
Frame Design
Open
Printer tajwa hapo juu ipo sokoni, imetumika kidogo...
KUKU NA UMUHIMU WA MAJI SAFII
JEFF AGRICULTURE FARM tunakuletea NIPPLES zinazo fungwa kwenyee NDOO kwa jiri ya kukuu kunywa maji safiii na salama na kuepuka hasara ndogoo ndogoo na hii tumeleta...
Saa za rado ni 65,000 ni Original
Pia saa za navigate jipatie kwa sh 60k
Bila kusahau mashuka mazuri kutoka Uganda size 7×6 7×8, unapata mashuka mawili na foronya zake4, material: cotton, kwa sh...
Tunauza photocopy maahine aina za canon zenye uwezo tofauti tofauti . Tupo ilala Dsm amana .
Sio tu tunakuuzia pia tunakufundisha kuitumia na kuifanyia service mwenyewe bila kuita fundi kwa zile...
[emoji345]OFAA OFAA ya machine za kutotoleshea vifarangaa kuanzia mayai 16 mpaka mayai 30000 Nk
[emoji345]Baada ya kilio cha muda mrefuu kwa wafugaji na baadhii yao kukata tamaa na kushindwa...
Habari wakuu?
Karibu Oscar Outfits upate bidhaa za mavazi kama Mashati, Jeans, Sweet Pants, Boxers, Viatu vya kike/ Kiume, Saa, Mikoba, Cadets n.k kwa bei nafuu.
Tafadhali wasiliana nasi kupitia...
habari wana jukwaa
nauza vitabu vifuatavyo
1. business accounting 1 (11edition)
2. computing essentials
3. human and economic geograpgy. (advance level)
4. basic french (a course for beginners)...
Nauza sofa yangu ya spring 1.1M.
Nimekalia miezi miwili na bado mpya kabisa napatikana Mwananyamala karibu na hospitali nipigie 0688115131
\Nipigie 0688115131, mahali Mwananyamala karibu na...
Habari wanaJamvi,
Nauza mashine yangu ya kukamua mbegu zenye mafuta. Ina uwezo wa kukamua alizeti, nyonyo, karanga, nk. Inatumia umeme wa 3 phase model ggzx-80.
Technical details za mashine zipo...
Mashine ya kukamua juisi ya miwa
Mashine ya manual
Bei 550,000/=
Hii mashine unaweza kutumia binafsi kuanzisha biashara ya juisi ya miwa au ukaikodisha kwa mtu mwengine
Sifa za mashine
🔸️uzito...
Jali AFYA yako na familia yako kwa kumiliki kifaa hiki muhimu sana kwa bei rahisi sana ya Tsh 100, 000/= Tu , zilizothibitishwa na WHO (Dar Es Salaam Free Delivery).
Small body and Convenient...
Haya ni majiko ya kisasa yenye material maalum ya kuzuia joto lisipotee hivyo kukuwezesha kutumia mkaa kidogo tu kuivisha vyakula.
Unapewa pamoja na warrant ya mwaka mmoja. Kwa mkoa Morogoro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.