Kutokana na kanisa Mary alikuwa na miaka kati ya 13 au kuminanne alipomzaa Jesus ,Je Joseph alikuwa na miaka mingapi ? Wakuu wakanisa wanatuambia alikuwa anapindukia miaka 90 ,sa inakuwaje...
Hello everyone...!
I hope you are doing fine..I am posting this thread because I believe there will be someone here who is dealing with this issue
My name is Festo Kaguo and I'm a freelancer...
Golikipa wa Klabu ya Simba na timu ya Taifa ya Tanzania, Aishi Manula hii leo amefungua duka lake la vifaa vya Michezo Kinondoni Morocco.
Hongera sana, AISHI ๐๐ฟ
๐ฅSEHEMU:-MLIMWA "C"
MKOA:- DODOMA MJINI
๐Kina fensi upande mmoja
๐UKUBWA WA UWANJA:-1,091 sq.m
โ BEI:- MILLIONI 50.
๐น๐ฟMAWASILIANO:-0622 599 002
Habari wakuu, kwa mwenye mahitaji ya kujengewa tiles, tarazo, mosaic, mable, tangastone na palving stones kwa mitindo wa kisasa na gharama rafiki na hata kwa malipo ya awamu kama huna cash...
Je unatafuta Fundi tiles (Fundi Vigae) (Fundi ceramics)?
Kwa design nzuri na ubora wa nymba yako, tonaoatikana Dodoma.
Tuna uzoefu wa miaka zaidi ya kumi
Tunakufanyia free consultation na...
Salaam wakuu,
Mimi ni kijana mpambanaji na mhitimu wa chuo nipo mjini Dar es salaam, katika kupambana na maisha na ukosefu wa ajira nimejitahidi kufanya biashara mbalimbali ambazo zimeweza...
Jaman Nina Safari ya kwenda Singida kesho
Tuko watu 3 na mizigo yetu
Tunaitaji gari la kutupeleka Tu
Mtu ambae Yuko interesting please nipm
Niko dar es salaam jaman sorry, swaumu Kali leo
Wakuu.
OFFER: Samsung galaxy S10e mpya imetumika mwezi mmoja tu inauzwa laki 3 na Nusu
Specification:
Kwanza kabisa ina wireless charging system
Yaani unaweza kuchaji kwa kuilaza juu ya simu...
JENGO LINAPANGISHWA KWA MATUMIZI YA HOSPITAL AU OFISI
___________________________________
MAHALI-CHIDACHI ST MARY (IRINGA ROAD)
-JENGO LINATAZAMA BARABARA YA LAMI...
LAPTOP HP 250 12th GEN-FOR SALE
Details with Specifications and pictures are attached-
In addition:500 GB
Reason of selling it:-
Double Gifts and is almost new
Price: Tsh:700,000 Net
Include:-...
habari nauza tv yangu mpya kabisa full box aina ya ALITOP inch 32 smart kwa bei ya kutupa kabisa bei ni tsh 200,000 namba ya kunipata 0753505115 au 0715505115
Habari! Mimi ni Julius Bwire, Mtaalamu wa Maendeleo ya Programu katika Sovereign Payment Solutions. Kwa wote wanaotafuta ajira na kukabiliwa na changamoto za kupata mwaliko wa usaili, mara nyingi...
Hosplan Clinic ikishirikiana kwa pamoja na hospitali ya โTiba Health Care Polyclinic โ wanawaletea madaktari bingwa kutoka INDIA kwa tiba za Uti wa mgongo, mifupa, ubongo na viungo . Madaktari...
Habari wakuuu!
Naomba kufahamishwa sehemu yeyote ambayo naweza kupata khanga za mombasa kwa bei ya Jumla nchini Tanzania. Kama una mtu unamjua anafanya hiyo biashara naomba kuunganishwa nae...
Basi lenye Terias injini ya scania 113 hoarse power 320 body limetengenezewa kenya linauzwa lipo katika hali nzuri na hivi sasa linatembea na injini yake haijawai kuguswa.bei yake ni rahisi ambayo...