Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ukubwa wa kiwanja 1030sqm Kimepimwa Na kina hati safi Bei ni Tsh 55milioni More information- 0742141467
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Mashamba ya miti zaidi ya ekari 50 yaliyo mkoani Iringa-mafinga yanauzwa. Miti ipo kati ya umri wa miaka 6-10 kulingana na shamba husika. Bei ya shamba inauzwa kwa ekari/zima kulingana na shamba...
3 Reactions
11 Replies
5K Views
Kiwanja Kipo Oysterbay mita 50 kutoka Oysterbay Lodge, kipo jirani na kituo cha mabasi Oysterbay uelekeo wa UDOM upande wa kushoto kuna barabara ijulikanayo kama Oysterbay road. Kiwanja ni kizuri...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wana Jamvi, Mimi ni mmiliki wa kiwanja chenye boma ambalo halijaisha, kiwanja kipo Buhongwa centre na kimepimwa, kina ukubwa wa 40 kwa 30. Bei mil.6.5 N.B Hakina dalali. 0687259290
1 Reactions
11 Replies
1K Views
[emoji3591]Wadau habari za jioni Eneo linauzwa Dodoma mjini...maeneo ya kikuyu South extension. [emoji3591]Eneo lina square mitre 373 [emoji3591]Lipo karibu kabisa na station ya treni ya mwendo...
0 Reactions
9 Replies
861 Views
Kiwanja kinauzwa goba tegeta A Mtaa kazimoto street. Sqm 360 Price 9.5m Huduma zote za msingi zipo ikiwemo maji na umeme. Gari mpaka kiwanjani. Call: 0767507487
1 Reactions
1 Replies
850 Views
Kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 400 kinauzwa kwa shilingi Milioni 12. Kiwanja kiko wilaya ya Kinondoni eneo linaloitwa Mivumoni pia kiwanja kiko mita 700 kutoka Mivumoni Senta na kiko...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Nauza eneo/ kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa makazi. Mahali:Nyashishi - Mwanza. Kilometre 1.5 kutoka barabara kuu ya lami, Mwanza - Shinyanga. Aina: Tambarare,kubwa na zuri kwa ujenzi. -Halina...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Viwanja vipo goba tegeta A ukivuka shule ya msingi kuelekea madawa. 1. 20/22meter kipo kazimoto street. Bei ni sh 13 mio mazungumzo yapo. 2. 20/30 meter kipo kazimoto street, kina kamtelemko...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kipo mbezi njia ya goba. Kituo kinaitwa kontena karibu na kanisa katoliki. Ni mbezi ya juu mtaa wa kunguru yalipo makazi ya mbunge Ester Bulaya ambayo ni opp na secondary ya sant Joseph. Fika au...
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Viwanja vya makazi ,vimepimwa vinauzwa kisongo ,matevez ,Arusha Ukubwa ni kuanzia 20m× 20m kwa mil 6.5 10m× 10m kwa mil 1.5 .huduma muhim zote zipo umeme upo kwenye mradi tayari upo kwenye viwanja...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mahali:Dakawa,km 7 kutoka barabara kuu ya Morogoro Dodoma Ukubwa wa shamba ni heka 20 Shamba lipo pembezoni mwa mto Wami ambao unatiririsha maji mwaka mzima,hivyo linakupa option ya kulima mwaka...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Hati ya kiwanja ipo Huduma muhimu za kijamii zipo; maji ya Dawasco, umeme, huduma za afya, maduka, shule havipo mbali. Eneo ni tambarare halituami maji kipindi cha mvua Eneo hili linafaa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ukubwa wa Kiwanja 1000 sqm. Kipo Goba, umbali wa kilomita moja kutoka barabara ya lami. Vimepimwa na kina hati. Bei ni Tshs 60,000,000 ( 60 Milioni ) Wasiliana nasi - 0742141467
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Eneo linauzwa na Mmiliki halali hakuna mgogoro wala changamoto yeyote. Details za kiwanja Plot No piga simu 0718436694 Block H Chidachi west Ukubwa sqm 600 Bei n Tsh Million 1 4,500,000/=...
0 Reactions
0 Replies
956 Views
Viwanja vipo goba tegeta A, karibu na kwa madawa. Ukubwa ni 20/22m na kingine ni 30/20 vyote ni sh 13m lakini maongezi pia yapo. Barabara inafika mpaka hapo, ujirani ni mzuri na mahitaji yote...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Beautiful plot Goba TegetaA near Kazimoto street. 35/30 Price 13m. Everything available water, electricity. Viko kwenye mchakato wa kupimwa. 0767507487 Njia safi mpaka kwenye uwanja.
0 Reactions
0 Replies
449 Views
Viwanja ni vikubwa 20*20 Bei kuanzia milion 1 Unapata kiwanja safi kabisaa 0715035758/0689244658 Karibu tukuhudumie Mahali viwanja vilipo kuna usafiri wa bajaji 500 tu kutoka barabara ya lami.
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Viwanja vimepimwa na mradi wa kurasimisha ardhi eneo la viwanja lipo kisongo matevez -Arusha Ukubwa wa viwanja unaanzia 20×20 na 20×27 na kuenedelea kulingana na mahitaji ya mteja .BIE YA OFA NI...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom