Mashamba ya miti zaidi ya ekari 50 yaliyo mkoani Iringa-mafinga yanauzwa.
Miti ipo kati ya umri wa miaka 6-10 kulingana na shamba husika.
Bei ya shamba inauzwa kwa ekari/zima kulingana na shamba...
Kiwanja Kipo Oysterbay mita 50 kutoka Oysterbay Lodge, kipo jirani na kituo cha mabasi Oysterbay uelekeo wa UDOM upande wa kushoto kuna barabara ijulikanayo kama Oysterbay road. Kiwanja ni kizuri...
Habari wana Jamvi,
Mimi ni mmiliki wa kiwanja chenye boma ambalo halijaisha, kiwanja kipo Buhongwa centre na kimepimwa, kina ukubwa wa 40 kwa 30.
Bei mil.6.5
N.B Hakina dalali.
0687259290
[emoji3591]Wadau habari za jioni
Eneo linauzwa Dodoma mjini...maeneo ya kikuyu South extension.
[emoji3591]Eneo lina square mitre 373
[emoji3591]Lipo karibu kabisa na station ya treni ya mwendo...
Kiwanja kinauzwa goba tegeta A
Mtaa kazimoto street.
Sqm 360
Price 9.5m
Huduma zote za msingi zipo ikiwemo maji na umeme.
Gari mpaka kiwanjani.
Call: 0767507487
Kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 400 kinauzwa kwa shilingi Milioni 12.
Kiwanja kiko wilaya ya Kinondoni eneo linaloitwa Mivumoni pia kiwanja kiko mita 700 kutoka Mivumoni Senta na kiko...
Nauza eneo/ kiwanja kwa ajili ya ujenzi wa makazi.
Mahali:Nyashishi - Mwanza.
Kilometre 1.5 kutoka barabara kuu ya lami,
Mwanza - Shinyanga.
Aina: Tambarare,kubwa na zuri kwa ujenzi.
-Halina...
Viwanja vipo goba tegeta A ukivuka shule ya msingi kuelekea madawa.
1. 20/22meter kipo kazimoto street. Bei ni sh 13 mio mazungumzo yapo.
2. 20/30 meter kipo kazimoto street, kina kamtelemko...
Kipo mbezi njia ya goba. Kituo kinaitwa kontena karibu na kanisa katoliki.
Ni mbezi ya juu mtaa wa kunguru yalipo makazi ya mbunge Ester Bulaya ambayo ni opp na secondary ya sant Joseph.
Fika au...
Viwanja vya makazi ,vimepimwa vinauzwa kisongo ,matevez ,Arusha
Ukubwa ni kuanzia 20m× 20m kwa mil 6.5
10m× 10m kwa mil 1.5 .huduma muhim zote zipo umeme upo kwenye mradi tayari upo kwenye viwanja...
Mahali:Dakawa,km 7 kutoka barabara kuu ya Morogoro Dodoma
Ukubwa wa shamba ni heka 20
Shamba lipo pembezoni mwa mto Wami ambao unatiririsha maji mwaka mzima,hivyo linakupa option ya kulima mwaka...
Hati ya kiwanja ipo
Huduma muhimu za kijamii zipo; maji ya Dawasco, umeme, huduma za afya, maduka, shule havipo mbali.
Eneo ni tambarare halituami maji kipindi cha mvua
Eneo hili linafaa...
Ukubwa wa Kiwanja 1000 sqm.
Kipo Goba, umbali wa kilomita moja kutoka barabara ya lami.
Vimepimwa na kina hati.
Bei ni Tshs 60,000,000 ( 60 Milioni )
Wasiliana nasi - 0742141467
Eneo linauzwa na Mmiliki halali hakuna mgogoro wala changamoto yeyote.
Details za kiwanja
Plot No piga simu 0718436694
Block H
Chidachi west
Ukubwa sqm 600
Bei n Tsh Million 1 4,500,000/=...
Viwanja vipo goba tegeta A, karibu na kwa madawa.
Ukubwa ni 20/22m na kingine ni 30/20 vyote ni sh 13m lakini maongezi pia yapo.
Barabara inafika mpaka hapo, ujirani ni mzuri na mahitaji yote...
Beautiful plot Goba TegetaA near Kazimoto street. 35/30 Price 13m. Everything available water, electricity. Viko kwenye mchakato wa kupimwa. 0767507487
Njia safi mpaka kwenye uwanja.
Viwanja ni vikubwa 20*20
Bei kuanzia milion 1
Unapata kiwanja safi kabisaa
0715035758/0689244658
Karibu tukuhudumie
Mahali viwanja vilipo kuna usafiri wa bajaji 500 tu kutoka barabara ya lami.
Viwanja vimepimwa na mradi wa kurasimisha ardhi eneo la viwanja lipo kisongo matevez -Arusha
Ukubwa wa viwanja unaanzia 20×20 na 20×27 na kuenedelea kulingana na mahitaji ya mteja .BIE YA OFA NI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.