Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habarini za majukumu wakuu!, Muhusika wa hii account ni mjasiriamali na mkulima mdogo ninae jihusisha na kilimo cha zabibu Dodoma kwa lengo kuu la kutengeneza Mvinyo (Wine) na wine hizo...
1 Reactions
30 Replies
5K Views
liko fresh na linapiga starter, gia 5 namba ARP. Ipo laela-sumbawanga hapa kutoka tunduma ni saa 1 tu. Mawasiliano: 0625522261
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari za Leo wana jamii forum Nina maeneo mawili nayauza yapo Kibaha Kiwanja kipo maili moja(35*25) eneo linaitwa Loliondo Karibu na stand mpya Bei ni 15M (maongezi yapo) Nyumba ipo kibaha(eneo...
0 Reactions
1 Replies
509 Views
Je gari yako([emoji594])imekua ikila mafuta isivyo kawaida([emoji618]), je imedabili mngurumo wake na inakosa nguvu kabisa? Hizo n dalili za gari kuibiwa masega.bas karibu tukuuzie vibuyu vya...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Mawasiliano 0628139218 SAMSUNG USED S6 edge 190000 S6 edge+ 230000 S7 edge 240000 S8 1 sim 290000 S8 2sim 330000 S9 1sim 320000 S9 2sim 340000 S8+1sim 350000 S8+2sim 375000 S9+1sim 365000...
3 Reactions
157 Replies
16K Views
Mashine ya Mazoezi ya Kukimbia kampuni ni HOMCOM,Inatumia umeme (Imetumika kidogo) Ina uwezo wa kuhimili hadi Kilo mia na kumi - 110KG. Bei ni TSH:1,000,000 Mawasiliano:0768960575 iko Dar es...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauza [emoji3053]Sandwich Machine kampuni ya Von. Ni mpya kabisa bei ni tsh 35,000 nipo Dar es salaam Mawasiliano yangu ni 0657438581. Karibuni! Nimejaribu ku upload picha hapa naona zinagoma...
0 Reactions
0 Replies
584 Views
Mashine mpya kabisa haijatumika full box 10kg Twin tab Ni halali sio ya magendo Bei 450’000 Mwanza mjini 0654447202
1 Reactions
2 Replies
389 Views
Sabufa zunne Offa 55k Moshi mjini 0744883353
0 Reactions
0 Replies
326 Views
Wanajf habari zenu bana?? Nimepata dharura naondoka mkoa huu nilipo(Arusha) na nauza vitu vifuatavyo. 1.Kitanda 5 kwa 6. Tsh 320k 2.godoro.comfy 5 kwa sita inchi 8 .Tsh 170K 3.SeaPeano..tsh...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Nauza programu ya Ms office 2021 pro+ kwa ghrama ya 20k. Napatikana Dar (Mwenge), karibu na kituo Cha mpakani Nitumie pm ujumbe
1 Reactions
1 Replies
481 Views
GETI UKUBWA: FUTI 8 ×7 BEI: TSHS 400,000 _______________________ MLANGO UKUBWA: FUTI 7×7 BEI: TSHS 500,000 _______________________ KWA HUDUMA YETU: 0716442950 MAHALI: MBEZIBEACH...
0 Reactions
0 Replies
883 Views
Kwa wale wanaohitaji baibui kwa jumla na rejareja kuanzia bei ya 8k, 10k nakuendelea tuwasiliane 0712094550 tunapatikana JENGO LA MACHINGA COMPLEX KARUME DSM. KARIBUNI SANA 0712094550
2 Reactions
2 Replies
2K Views
dryer ni 150,000. ina miezi 6 risiti ipo na boksi lake stima ni 80,000 imetumika kimtindo Viti viwili 100,000(vya kisasa) stendi ya kuoshea nywele 40,000 kabati la chini ya kioo 70,000...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tunafanya makazi kuitwa nyumbani[emoji3] Pendeza makazi yako, ofisi yako na Emperor wallpaper bora kabisa kutoka kwetu Wallpaper imara na zenye kudumu Utazipata roller kwa tsh 75,000 tu Roller 1...
0 Reactions
1 Replies
316 Views
Nauza pikipiki yangu, Aina: Sinoray Cc: 125.5 Muda: Nimeitumia mwaka mmoja kwa shughuli zangu binafsi, Ni nzima sijawahi kufungua engine Price: 900,000Tsh Location: Dar es Salaam, Mbezi
0 Reactions
3 Replies
774 Views
Nauza printer ya HP 1515 BEI TSH 40,000 IPO VIZURI Adapter yake haipo 0658 106 630
0 Reactions
1 Replies
542 Views
Punguza gharama za ujenzi kwa kununua vifaa vya bomba kwa bei ya jumla jumla. IPS, PPR, GS, PVC Gutter Karibu Gerezani, kariakoo Whatsapp +255 669 494650 Ukiitaji bei njoo whatsap au fika dukani...
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Magic remote inauzwa Bei Tsh 100,000 Serious buyer nichek 0652646722 Location Tabata
0 Reactions
6 Replies
587 Views
Habari wadau! Kuna BP Machine hapa mpya pamoja na medical equipment zingine mpya,zote kwa pamoja zinauzwa Tsh 70000/=tu, Mwenye uhitaji apige au atume what sapp kwenye namba hiyo +255682017479.
0 Reactions
0 Replies
406 Views
Back
Top Bottom