Habari
Kampuni mpya ya jaha kutoka china imeleta bajaji mpya zinazotumia umeme, bajaji hizi ni bajaji za abiria na mizigo
Bajaji ya abiria
Bajaji za abiria zipo za aina mbili kuna kubwa na ndogo...
Wakuu nauza pikipiki yangu kwa 300k tu, nimepata dharura na mfukoni siko vizuri. Pikipiki ni Yamaha tatizo lake ni kabuleta tu, njoo uichukue kwa hiyo bei mwenyewe nimeridhia kwa moyo mkunjufu...
Viwanja viwili vinauzwa mpigi magoe
Unashuka kituo kinaitwa Machimbo
Ukubwa Mita 20/20 vipo viwili
Kila kimoja bei Mln 5.5
Kipo kiwanja kingine
Cha Mln 5.5
Maongezi yapo kidogo
0775 179905
Kuna dereva anatafuta bajaji ya kuendesha ya mkataba kwa maeneo ya dar es salaam..
Yupo tayari kufanya kazi mahali popote ndani ya dar es salaam.
Ni dereva mwaminifu.
Terms na vigezo vya mkataba...
Habari zenu
Frida insurance agent tunakata bima za magari ya aina zote chini ya taasisi ya bima ya taifa NIC
Malipo ni kupitia control number unapata cover note yako ndani ya dakika 10
Tunatoa...
Habari.. karibu kwa elimu na huduma ya bima za magari, BAJAJI, PIKIPIKI malipo ni kwa control number unapata cover note yako ndani ya dakika 10
Linda chombo chako cha moto na NIC insurance
NIC...
Nauza ac ya hisence used still new btub18000 kwa bei ya kutupa
Wazee huu ndio msimu wa joto sasa usikubali ofa kama hii ikupite hii ni ac dual inveter btu 18000, nimeitumia kwa miezi 9 na sababu...
Habari wana jamii forum,sisi ni wataalamu na wabobevu wa uchimbaji wa Visima vya maji kwa kutumia mitambo maalumu
Tunachimba visima virefu na visima vifupi
Pia tunafanya Underground water survey...
Habari wanajanvi
Naomba niwapeleke Moja Kwa Moja kwenye lengo husika kama kichwa kinavyosema.
Kuna hii fursa ambayo sisi tumeona tuiite fursa mpya kutokana na uhitaji mkubwa ulionao na...
Habari wakuu.
Nyumba hiyo inauzwa ipo Tandika Sokoni inaukubwa wa sqm 350.
Hii nyumba ina jumla ya Frem30
Mchanganuo wake ni kama ifuatavyo hizo Frem za mbele kodi yake ni sh.150,000.hizo za...
Kama umechoka kuandika kila kitu kwenye daftari, unakosea bei kila siku, au hujui biashara yako ina faida au hasara – hii software ni yako!
Inaweza Nini?
Inaangalia biashara yako mwanzo hadi...
Habari maboss
Nyumba inauzwa Msasani karibu na kituo cha standi ya daladala.
Kituo kinautwa macho bila Shaka ni standi maarufu sana msasani.
Nyumba inaangalia barabara ya Lami.
Kiwanja cha...
Mashamba kwa ajili ya kilimo cha Nanasi/mahindi/migomba nk yanapatikana,Bago,kiwangwa na Talawanda..Na mashamba pori yanapatikana pia.
Bei rafiki. .Simu 0626431257
VIWANJA VINAUZWA
Kibaha Kwa Mathiasi Nyumbu Jeshini 20x20 Milion 7
Kibaha Maili Moja Mwanalugali 20x20 Ml 7
Kiluvya Kwa Komba 20x20 MLN 16
Kibamba Kibwegere Kwa Kinega 20x20
Milion 7...
Kama una Laptop/Desktop mbovu na unahitaji fundi nichek. Pia nauza Accesdories za computer kama..
Battery za Laptop/Mac
Keyboard za Laptop/Mac
Chargers za Laptop/Mac
Vioo vya Laptop/Mac
Ssd/Hdd &...