Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba Inauzwa Nzega.Bei-35m Ina Vyumba 2 (Kimoja Master), Sebure,Jiko,store ndogo.Ina Umeme na Maji ya Mamlaka ya Nzega (Nzuwasa).Pia kuna Kisima cha Kuhifadhi Maji ya Mvua cha Lita 15,000.Uwanja...
1 Reactions
5 Replies
842 Views
Mwenye connection ya sofa ya watu watatu nicheki chap nanunua .
5 Reactions
14 Replies
709 Views
Kampuni yetu ipo Arusha tunatengeneza vifuatavyo kwa ubora wajuu :- Tunatengeneza Website kwa biashara za aina zote Tunatengeneza mabango, tunaweka stika za magari, Tunatengeneza business...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Njoo nikupe nikuuzie laptop ya kusomea kwa binti yako au wewe mwenyewe. B Hp Probook X360 11 G2 EE *Processor:- Intel Core i5-7Y54 CPU @1.20GHz 1.61 GHz *Ram :- 8 GB *Storage:- 256 GB...
1 Reactions
0 Replies
550 Views
Nyumba inauzwa kimara Temboni. Bei milioni 30 tu. Vyumba vitatu kimoja master Sebule jiko na choo cha public. Ukubwa wa eneo mita 20 kwa 20 Ukishainunua una malizia kufanya finishing tu Ina...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa mbezi kibanda cha mkaa Nyumba ina vyumba vitatu,kimoja self Ina sitting& dinning room Ina kitchen na Public toilet Nyumba imeisha bado kufanya finishing tu kama utakavyohitaji wewe...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Nakodisha Frame 3 za biashara Katoro-Geita.Zipo Barabara ya CCM (Mkabala na Kituo Cha Afya Katoro),zinatazamq Rami.Ukubwa:Mbili zina Ujazo wa Meta za Mraba 26.5 na Moja ina Ujazo wa meta za Mraba...
0 Reactions
0 Replies
436 Views
Altezza inauzwa million 5, Dar es Salaam… mwaka wa kufosi huu lazma uwe na ndinga yako. Kwa mawasiliano 0612630936
1 Reactions
43 Replies
3K Views
ARROWS F-04K 💰235,000/= Sideway fingerprint 👎 32GB ROM 3GB RAM CAMERA 🔥 Tupo kariakoo aggrey na ndana Tupigie 0692690033 Karibu Maongezi yapo
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ninahitaji satellite dish ila liwe na brand name tofauti na DSTV, AZAM, ZUKU AU STAR TIMES. Yani nahitaji liwe la matumizi ya zile FTA Channels. Kama mtu analo jipya au lililotumika ila lipo...
0 Reactions
7 Replies
752 Views
Tunapenda kukutaarifu ya kuwa zile mashine za kupukuchulia mahindi tayari zimeshafika ofisini kwetu. (Maize sheller machine) ✓Inauwezo wa kupukuchua (GUNIA 25 KWA SAA) ✓Inapukuchua magunzi saize...
0 Reactions
1 Replies
701 Views
⚠️⚠️Je unatafuta vifaa vifuatavyo kwa ajili ya Laptop,Desktop,Tablet au Simu Yako?⚠️⚠️📌📌 ☑️Laptop Adapter ( Laptop & Macbook) ☑️Ram ya Laptop na Desktop ( DDR2,DDR3,DDR4 & DDR5) ☑️Laptop &...
0 Reactions
0 Replies
586 Views
BEI/PRICE:125M⚜️ Contact/☎️ LANDCRUISER 200 SERIES •YEAR:2008 upgraded TO 2010 •ENGINE CODE:2UZ-FE •ENGINE CAPACITY:4,663Cc •FUEL:pETROLEUM •AUTOMATIC TRANSMISSION •LOW MILEAGE •CREAM INTERIOR...
5 Reactions
2 Replies
323 Views
Samsung AC Inverter Samsung Ac AR12TVH (btu 12)........1,350,000/= Samsung Ac AR18TVH (btu 18) .........1,800,000/= Samsung AC AR24TVH (btu 24) - 2,100,000/=* 0713520180
0 Reactions
36 Replies
2K Views
Jamani naomba msaada wemu. Nitakuwa tanga mjini kwa muda wa mwezi 1. natafuta sehemu ya kufikia. Kwa anayefahamu naomba msaada. Mungu awabariki.
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Kama unahitaji huduma zifuatazo nichek 0747787410 kufungua akaunt za biashara mtandaoni, kufanya matangazo mitandaoni, kurekebsha akaunt zenye matatizo na madeni, kusajil jina la biashara, lesen...
1 Reactions
2 Replies
401 Views
Tangazo juu hapo inajitosheleza,nahitaji piki piki aina ya Honda au yamaha,kwa ajili ya folen i ya hapa na pale ndani hili jiji
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza gari yangu aina ya Subaru Forester(Non turbo) ya mwaka 2011. Bei 15m. Gari ipo Dar es Salaam, haina tatizo lolote. Kwa maelezo zaidi tuwasiliane: 0752357722
0 Reactions
3 Replies
880 Views
Basi linauzwa Scania F310 Namba DP Siti 52 Giabox ya gia sita Changamoto Matairi kufunga cylinder head(ilifunguliwa ili kubadilisha gasket) kuweka busta Bei Tzsh 39,000,000/= Ipo Dar...
1 Reactions
0 Replies
442 Views
Habari Wakuu, Nina Matank ya Maji 15 nauza, ni haya meupe yanayokujaga na bidhaa za viwandani kisha baada ya kushusha mzigo yanabadilishwa kutumika kama ma-tenk ya kuhifadhia au kusafirishia maji...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…