Nyumba Inauzwa Nzega.Bei-35m
Ina Vyumba 2 (Kimoja Master), Sebure,Jiko,store ndogo.Ina Umeme na Maji ya Mamlaka ya Nzega (Nzuwasa).Pia kuna Kisima cha Kuhifadhi Maji ya Mvua cha Lita 15,000.Uwanja...
Kampuni yetu ipo Arusha tunatengeneza vifuatavyo kwa ubora wajuu :-
Tunatengeneza Website kwa biashara za aina zote
Tunatengeneza mabango, tunaweka stika za magari,
Tunatengeneza business...
Njoo nikupe nikuuzie laptop ya kusomea kwa binti yako au wewe mwenyewe.
B Hp Probook X360 11 G2 EE
*Processor:- Intel Core i5-7Y54 CPU @1.20GHz 1.61 GHz
*Ram :- 8 GB
*Storage:- 256 GB...
Nyumba inauzwa kimara Temboni. Bei milioni 30 tu.
Vyumba vitatu kimoja master
Sebule jiko na choo cha public.
Ukubwa wa eneo mita 20 kwa 20
Ukishainunua una malizia kufanya finishing tu
Ina...
Nyumba inauzwa mbezi kibanda cha mkaa
Nyumba ina vyumba vitatu,kimoja self
Ina sitting& dinning room
Ina kitchen na Public toilet
Nyumba imeisha bado kufanya finishing
tu kama utakavyohitaji wewe...
Nakodisha Frame 3 za biashara Katoro-Geita.Zipo Barabara ya CCM (Mkabala na Kituo Cha Afya Katoro),zinatazamq Rami.Ukubwa:Mbili zina Ujazo wa Meta za Mraba 26.5 na Moja ina Ujazo wa meta za Mraba...
Ninahitaji satellite dish ila liwe na brand name tofauti na DSTV, AZAM, ZUKU AU STAR TIMES.
Yani nahitaji liwe la matumizi ya zile FTA Channels.
Kama mtu analo jipya au lililotumika ila lipo...
Tunapenda kukutaarifu ya kuwa zile mashine za kupukuchulia mahindi tayari zimeshafika ofisini kwetu.
(Maize sheller machine)
✓Inauwezo wa kupukuchua (GUNIA 25 KWA SAA)
✓Inapukuchua magunzi saize...
⚠️⚠️Je unatafuta vifaa vifuatavyo kwa ajili ya Laptop,Desktop,Tablet au Simu Yako?⚠️⚠️📌📌
☑️Laptop Adapter ( Laptop & Macbook)
☑️Ram ya Laptop na Desktop ( DDR2,DDR3,DDR4 & DDR5)
☑️Laptop &...
Kama unahitaji huduma zifuatazo nichek 0747787410 kufungua akaunt za biashara mtandaoni, kufanya matangazo mitandaoni, kurekebsha akaunt zenye matatizo na madeni, kusajil jina la biashara, lesen...
Nauza gari yangu aina ya Subaru Forester(Non turbo) ya mwaka 2011.
Bei 15m.
Gari ipo Dar es Salaam, haina tatizo lolote.
Kwa maelezo zaidi tuwasiliane: 0752357722
Basi linauzwa
Scania F310
Namba DP
Siti 52
Giabox ya gia sita
Changamoto
Matairi
kufunga cylinder head(ilifunguliwa ili kubadilisha gasket)
kuweka busta
Bei Tzsh 39,000,000/=
Ipo Dar...
Habari Wakuu,
Nina Matank ya Maji 15 nauza, ni haya meupe yanayokujaga na bidhaa za viwandani kisha baada ya kushusha mzigo yanabadilishwa kutumika kama ma-tenk ya kuhifadhia au kusafirishia maji...