Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Maeneo Mbezi beach tangibovu kodi kwa mwezi ni 170,000/= ndani ya fence na gari inafika hadi hapo bila kusahau maji na umeme vipo. Maelezo zaidi 0715060183
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Peugeot 504 pick up ya 1992 inauzwa,iko katika very good condition kuanzia engine,body everything is in perfect condition,inatembea,na haina tatizo lolote!bei ni 3'300'000/= contacts:0713670026
0 Reactions
24 Replies
10K Views
Pata dagaa waliokaangwa kwa hali ya usafi na ubora kutoka Mwanza dagaa wenye vichwa wanapatikana kwa wauzaji na majumbani pia baada ya muda mtaletewa dagaa waliokaangwa na kukaushwa kwa viungo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Toyota Vitz inauzwa 3.5mln Gari iko vizuri engen haIjawahi kuguswa Ac inafanya kazi. Picha inakata ku upload humu jf,kuziona lbda nkutumie via whatsap, Gari liko dar, kwa mawasiliano zaidi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Vigezo kwanza awe na..... Umri-kuanziaa miaka 18-24 Elimu-kuanzia std 7 hadi form 4 Mkoa-Dar ~Ubungo salon Dar ~kimara Kaz za ndani Mshahara- Kazi za Ndani 50,000tsh -...
1 Reactions
25 Replies
8K Views
Nyumba inauzwa kigambo mikadi beach .ipo kwenye hali zuri.ina master 2.living rooms2 .sitting room.dinning room.studing room .kitchen .public toilet.fence na get .kwa taarifa zaidi contact...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari.. natafuta laptop ya kununua... nipo morogoro s.u.a.... kama unauzaa laptop naombaa nchek 0654766056 ammount yangu 300,000 naweza kukuongezeaaa 50,000 kulingania na uwezo wa hiyoo laptop
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa squaremiter 800 kinauzwa kipo kigamboni karibu na Dege ECo Village Bei ni Tshs 12,000,000/= Ni unserveyed Panafikika kwa gari Tuwasiliane kwa na 0765413120
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Galaxy s2 bei maelewano na haina Tatizo, nimehamia nokia kwa sasa.
0 Reactions
1 Replies
976 Views
tunachora ramani aina zote yani za kawaida na ghorofa.. Michoro inakua imekamilika yani kunakuwa na set of architectural and technical drawing... Gharama zetu ni nafuu sana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ziko mbili,ukihitaji tuwasiliane kwa 0756967894 Ukinunua moja au zote nakupa mabango pamoja na log book.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni samsung tablet 2/7.0 inaingia lain zote,internal ni 13gb
0 Reactions
10 Replies
1K Views
habar zenu mwenye Iphone 6 au Samsung S6 edge nahitaji nicheki tafadhali. Ahsante.
0 Reactions
0 Replies
553 Views
Simu yangu imelock icloud kama kuna fundi atakayeweza kutoa hii kitu anicheki 0757560345 piga ama whatsapp.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bei ni 35,000 TU Kuweka oda piga 0673856472 Size 41,42,43,44 Duka lipo. Sinza Makaburini njia ya kwenda Kanisa Katoliki. Dar es salaam: Gharama ya kuletewa ulipo ni 3000.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Intel(R) CPU N2840 @2.16GHZ 4.00GB (3.89GB usable) 64- bit operating System , x64-based processor wth window 8 Kwa 500k... Chek m #0718033066
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Imeshauzwa.
0 Reactions
0 Replies
633 Views
Ujasiriamali kwanza. Mfanyabiashara wa kuku au mtu yeyote anayehitaji kuku wa kienyeji naweza kumpatia, size utakayo wewe. Nipo Arusha. Kwa anahitaji aniPM au nipigie kwa simu namba; 0689531349
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…