Inahitajika rav4 ya milango mitatu, namba yoyote hata iwe A, gari iwe nzima haijachezewa engen...kama unayo tuwasiliane
0715591141, bei ya kununua ni 5 milion.
Gari iwe dar
Kwa wadau waliopo Mtwara ninauza mashine 2 za kuoshea magari zinazotumia petrol, zimefanya kazi kwa miezi mitatu 3, kwa anayehitaji anipigie 0787 092 186. Bei ni 600,000/= kwa mashine moja.
Tunabuni na kuchora ramani aina zote yani kwa nyumba za kawaida na maghorofa...
Michoro inakuwa na set of architectural drawing na technical drawing...pia na 3D view..
gharama zetu ni nafuu...
Habari wadau wa JF. Kwa wadau mlioko pande za Iringa mjini, Chumba kinapangishwa maeneo ya semtema duka la mchele. Kodi kwa mwezi ni elfu thelathini (30). Choo ni cha nje, maji yanapatikana...
Je una nyama uzembe iwe tumboni, mikononi, miguuni n.k, je nguo yoyote unayovaa haikutoshi sababu ya nyama uzemebe?? Unapenda kuziondoa mwilini mwako?? Tutafute nasi tukupemaelekezo zaidi...