Eneo linauzwa lenye ukubwa wa heka moja linauzwa lipo kitanga wilaya ya kisarawe lina mabanda ya kufugia mifugo mbalimbali kama [emoji230] ng'ombe, [emoji238] mbuzi, kuku [emoji215] bata na kuna...
[emoji95]JE WAJUA?
Nguvu ya laki 8 tu,unamiliki kiwanja chenye ukubwa wa futi 50*40 viwanja vipo tambarare kabisa na vina barabara za mitaa.
[emoji3534]Tupo Vikindu na Vianzi
[emoji95](Ukubwa...
Shamba la korosho lenye ukubwa wa hekari kumi na lenye mikorosho 300 ambapo mikorosho hiyo ni ya miaka mitatu na ipo tayari kwa kuanza kuvunwa, lipo ndani ya jiji la Dodoma, lipo mita 500 kutoka...
Shamba liko kijiji cha Kwala (Serikali inapojenga bandari ya nchi kavu na reli ya standard gauge(SGR) bei ni laki 8 kwa Kila Heka 1, zipo Heka 12 kijiji kimepimwa hivyo ukihitaji hati ya kimila...
Nawasalimia wanajamvi.
Pole na majukumu naomba nijielekeze kwenye mada mzee mmoja tunaefahamiana akanifuata kunitaarifu kuwa anauza shamba lake na ametafuta wanunuzi kwa mwaka sasa hafanikiwi...
Enwo la ekari 4. lilipo ni kigamboni ulongoni, jirani na kiwanda cha Afya maji na maziwa (camel) au na dar es salaam zoo.. au walipotaka jenga show room ya magari ya dar nzima... karibu sana ...
Eneo la ekari 4. lilipo ni kigamboni ulongoni, jirani na kiwanda cha Afya maji na maziwa (camel) au na dar es salaam zoo.. au walipotaka jenga show room ya magari ya dar nzima... karibuni sana ...
DODOMA LANDLORD COMPANY(DLC)
TUNAKULETEA HIZI HAPA APARTMENT NZURI ZINAUZWA.
[emoji1485]mahali:-MICHESE DODOMA MJINI. MKABALA NA RELI YA SGR.
[emoji1485]NYUMBA ZA KWANZA BAADA YA RESERVED ROAD...
Heloo wakuu habari
Ninauza kiwanja kina ukubwa wa sqm 540(20X 27) kipo bunju B mtaa wa kihenzile .ni umbali wa dk 8 kutoka barabara kuu ya bagamoyo.,kipo eneo zuri jirani kabisa na club ya simba...
Asalaam alaikum
Nawatangazia kua nina kiwanja nauza ambacho kina sifa zifuatazo
. Kiwanja kipo maneno ya Kigamboni maeneo ya puna
. Kutoka barabara kuu ni meter 50
. Kiwanja kimepimwa na tayari...
-kiwanja kipo kigamboni ,mjimwema kibugumo
-umbali kutoka main road ( barabara kuu ya rami ni 800 meter. ( kituo shule ya msingi kibugumo karibu na ofisi ya mkuu wa wilaya na mkurugenzi...
Beach plot imekatwa Viwanja kigamboni mita 15 au 20 kutoka Daraja la Nyerere. Narudia Tena mita 15 kutoka DARAJANI. Vipo vya 4 Milion na 6.5 Milion.
Vipo Viwanja 25 10 vishauzwa bado 15.
Karibu...
Habari Wadau, Nauza Plot yangu yenye ukubwa wa 1000SQM, Plot iko Salasala Buzilili Street, Plot ina good view ya Indian Ocean (boti ya Zanzibar inaonekana vizor kabisa), Plot in a access ya...
Trust Solution Company ltd,Tunatoa huduma ya uuzaji wa viwanja kwa size ya square meter Kigamboni Buyuni na mwembe mdogo kwa bei nafuu na unaweza kulipia kwa awamu.
Nicheki kwa no 0620801183...
MOSHI!! MOSHI!!! MOSHI!!
Shamba Heka 6 kwaajili ya kilimo na makaziLinauzwaa Moshi,
Location; Newland, nyuma ya mashamba ya TPC
Shamba ni heka 6 liko sehemu moja, kuna nyumba ya room 3 za...
Info:
kiwanja kipo Igoma, mtaa wa Kilimo A.
0713096076
Umeme upo karibu na Beacon
Size ni hatua 35 kwa 25 za mtu mzima (sijapima Kwa mita tafadhali)
Beacon zimewekwa na kishapimwa zamani sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.