Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Meza kubwa na kiti kisichozunguka Vizima havina shida yoyote Bei 120,000 (vyote kwa pamoja) eneo vilipo Tabata kwa mkuwa 0711707070.
0 Reactions
3 Replies
486 Views
Meza kubwa ya ofisini ipo Tabata kwa mkuwa Bei 60,000 Tu 0711707070
0 Reactions
0 Replies
344 Views
Kipyenga cha ufunguzi wa Ligi kuu ya Uingereza (EPL) kinapulizwa weekend hii kwa mchezo wa ngao ya jamii kati ya Man City vs Arsenal. Jipatie sasa King'amuzi cha Canal Plus ushuhudie mtanange huo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Imepote
0 Reactions
0 Replies
303 Views
OFFLINE ❌❌🥶
0 Reactions
0 Replies
433 Views
Je, wewe ni Mgeni au Mwenyeji na unahitaji nyumba ya kupanga Jijini Mbeya.? Je, wewe ni Mfanyabiashara/Mjasiriamali na unahitaji sehemu ya kufanyia biashara Jijini Mbeya.? Je, wewe ni...
4 Reactions
92 Replies
20K Views
Ardhi ya urithi ni ardhi ambayo inamilikiwa na mtu kupitia kurithi kutoka kwa wazazi, ndugu, au jamaa kwa njia ya urithi wa kiasili au kisheria. Hii ina maana kwamba umiliki wa ardhi unapita...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
External (TOSHIBA 1 TB )na pamoja ya SATA nauza kwa gharama ya 50,000 whatsapp; 255685068828
0 Reactions
1 Replies
489 Views
Mimi ni fundi friji na majiko ya gas mawasiliano 0696222711
0 Reactions
7 Replies
632 Views
Ndio its a fresh import hii Safari tembo mafuta Mbuzi kazi ni kwako.... Machine ni YA 2005 ina km 58,000 CC 1290 na imetoka Japan juzi tu bado inanukia Ki Japan Japan... Service yake haizi 100K...
1 Reactions
2 Replies
534 Views
Salaam, Nahitaji kontena la futi 20 lililotumika liwe Mkoa wa Dsm. Liwe katika hali nzuri (halivuji, halina kutu) Mwenye nalo njoo DM.
2 Reactions
1 Replies
353 Views
natafuta trekta swaraj 744 nyota moja used.bei ni maelewano kulingana na mwonekano. kama una access ya kuipata ni pm,au nicheki kwenye namba yangu 0754688254
1 Reactions
0 Replies
412 Views
Habari za wakati huu GTs, Naomba usaidizi ni wapi wanauza chicken wire kwa bei ya jumla. Nipatikana Mwanza
1 Reactions
3 Replies
673 Views
Hizo ni huduma zangu kwa mdau yeyote Tanzania, popote alipo Tanzania hii tunafanya nae hizi WRITEUPS. Hii inaambatana na ushauri kabla na baada ya kukabidhiwa writeup. Pia naweza fanya Fund...
0 Reactions
1 Replies
427 Views
• Direction: Maduka Mawili/Keko Furniture, Toroli Road • Survey: Surveyed • Workshop/Plot Area: 500 sqm • Document: Residence License • Price: TSH 150 million . ✓ panafaa zaidi kwa biashara ya...
0 Reactions
0 Replies
310 Views
Wakazi wa Kigamboni siku ya Jumapili waliweza kufurahia ladha za vyakula mbalimbali vya asili kupitia kampeni ya ‘Coca-Cola Kitaa Food Fest’ ambayo iliyofanyika Geza Ulole wilaya ya Kigamboni...
2 Reactions
4 Replies
489 Views
CHINI 3BEDROOMS JUU 2BEDROOMS SEBULE 2 ,JIKO DINING,STORE AND LAUNDRY PLOT SIZE 30X30M ESTIMATED COST MPAKA ROOFING (120M) CALL/WHATSAP +255624004650
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Matajiri hamjambo...... Nauza hereni zangu, mmiliki mimi....ni gram 1.4 nahitaji laki 3 tu ya fasta, ila ukiniongezea nitashukuru... Kaka zangu haya zawadi ya weekend mkawasapraizi muwapendao...
20 Reactions
71 Replies
3K Views
Kwenye vitabu ndiyo mahali unapokutana na watu wenye akili sana na mawazo chanya na tunduizi ambayo yanakufanya uelimike , ufurahi , ushangae na hata kuduwaa. Sasa kupitia uzi huu tukutane hapa...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Je, unataka simu bei chee? Je, una abudget ndogo na unataka simu? Je, unataka kufanya Top up au exchange? Nambie una budget ngapi tukupe simu kali ya budget yako. Exchange na Top up tunafanya...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…