Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nina madini Aina ya ruby lakini Ni caption natafuta mnunuzi
0 Reactions
1 Replies
439 Views
Wazee sina hiyana Nashukuru kwa mirejesho n kukuwa kwa network. Siwez kuwaacha nyuma hata kidogo... Tuko pamoja Raba hii hapo chini bei ya jumla ni elf 40 zinakaa pea 24, ukitaka kuanzia tano ni...
18 Reactions
135 Replies
36K Views
Gari la mizigo inauzwa. Imetengenezwa 1997. Engine Capacity 2700cc Tani. 2.5 Tatizo ni dogo, gari linahitaji Oil Pump tu. Bei Tsh 5.2million Maelewano Yapo. Gari lipo Tegeta Kibaoni.. Piga simu...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Hi wana JF Ninayo madin hayo hapo chin hivyo ningependa nipate mteja.. ●Green Gamet ●Rubi ●Blusafaya ●Eleczandareki ●Krictaberi ●Grinitomarini
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Kipindi nasoma Pharmacy hili somo lilinitesa sana hadi nilipata Sapu (Supplementary). Kwa hasira nikanunua hard copy ya Kitabu chake "Pharmaceutical calculations by Ansel 13th Edition" kwa sh...
2 Reactions
9 Replies
827 Views
Jiko ni jipya nimelitumia mizi2 tu.. na mtungi una gesi kidogo ya kuanzia. Ni dharura (nasafri mkoani kwa dharura) naomba elf70 tu! Kama upo serious hata ukipungukiwa kidogo ilimradi initoshe...
0 Reactions
6 Replies
687 Views
PC GAMES ZINAPATIKANA KUANZIA ZA ACTIONS, RACING, ADVENTURES, SIMULATIONS NA SPORTS. BEI YENTU NI NAFUU SANA KUANZIA 5K NA KUENDELEA 0710701361 🔥🔥🔥 TUNA GAMES KUBWA NA ZILE NDOGO KWA AJILI YA PC...
0 Reactions
2 Replies
640 Views
TIGO INTERNET UNLIMITED Bundle hizi tutaakuungia kwenye simu yako ya mkononi au kama una device yako ya internet. Tuma ujumbe Whatssap au piga simu 📞0765991551
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Laptop Inauzwa Ni SAMSUNG LAPTOP RAM 4 GB Processor 2.4GHz HDD 360GB Betri yake nzuri sana inakaa na chaji masaa 4 Bei ni 260,000 Location ni Dar es salaam, Mbezi mwisho. Mawasiliano...
0 Reactions
3 Replies
544 Views
Utapata logo kwa ajili ya matumizi yako binafsi, taasisi, biashara, kampuni n.k. kwa Tsh. 30,000/= Tu ndani ya siku 1 hapa hapa jf ama ukipenda whatsapp: 0767 402964. Logo utatumia kutengenezea...
0 Reactions
2 Replies
917 Views
CHRISTMAS SPECIAL🎁 Date: 25th, DEC 2024 The Horizon Beach 🏖️ Karibu kwenye safari ya kusimumua ya kutembelea fukwe za "The Horizon" ndani ya mji wa "Bagamoyo" ikiambatana na kusherehekea sikukuu...
1 Reactions
2 Replies
418 Views
WE DO DESIGN AND CONSTRUCTION SERVICES APPARTMENT VILLA EACH UNIT 2BEDROOM PLOT SIZE 20X30M CALL/WHATSAP +255624004650 VISIT OUR OFFICE SINZA PALESTINA
1 Reactions
5 Replies
943 Views
Wapendwa wapi ninaweza kupata shamba hata kama sio kubwa saana lakini maeneo hayo hapo niliyoyataja na je nitapata kwa bei gani.
0 Reactions
0 Replies
312 Views
Habari waungwana. Nina mzigo nahitaji kusafirisha kutoka Morogoro kuja Dodoma. Naomba mwenye kufahamu wanaosafirisha mizigo wanijulishe. Shukran
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Kiwanja kipo Kiegeya (Mkundi) Morogoro Kimepimwa na kina hati ( documents ) za malipo halali ya serikali na wizard ardhi Kinafikika kwa hali zote Ni kiwanja no 3775 Bei Tsh.2.5m Njoo Mazungumzo yapo
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Nina viwanja Chanika na Mbezi Beach Salasala. Kiwanja cha Mbezi beach kina thamani ya ml 30, na cha Chanika thamani ya 18m. Nataka gari aina ya rumion. Gari iwe imesimama. Nampa mtu kimoja kati ya...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Device name Dell Processor 11th Gen Intel(R) Core(TM) i5-11320H @ 3.20GHz 2.50 GHz Installed RAM 8,00 GB (7,74 GB usable) Device ID 3AB66106-97E6-4B71-83A9-AF26F47DD0D5 Product ID...
0 Reactions
0 Replies
396 Views
Nauza mbegu za majani ya n’gombe ,mbuzi na kondoo. Jihakikishie malisho na usalama wa chakula kwa mifugo yako. Panda malisho hata kama eneo lako ni dogo. Mbegu ni nzuri na inahimili ukame na...
0 Reactions
1 Replies
660 Views
Msaada waku naulizia wapi au makampuni Gani wanauza vyuma plate zakutengeneza matank ya mafuta petrol na diesel navyuma vya nguzo za conopy na vifaa vyake oringina msaada wenu Dee pond...
0 Reactions
2 Replies
476 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…