TIMU YA SAFARI TV SHOW.
Safari Tv Show kuptia TV 1 siku ya jumatatu saa 12:00 Jioni, marudio Jumanne saa 6:00 Mchana na alhamisi saa 6:00 Mchana. Tumeamua Kuzunguka nchi nzima na kuonesha kazi za...
Wakubwa salaams, naomba mwenye kujua wapi naweza kupata mbegu za nyanya aina ya F1 hapa dar es salaam anifahamishe. Ahsante.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Salaam; wapendwa nahitaji Vitunguu swaumu vya Arusha; Naomba msaada niunganishwe na wakulima walioko Arusha au kwenye Soko la jumla Arusha; kwa Dar naona bei imezidi sana; no yangu ni 0716 201695...
Wadau habari za kazi kwa wale wenyeji wa Iringa mjini natafuta nyumba ya kupanga inayojitegemea kwa umeme na maji yenye vyumba vitatu vya kulala kimoja kiwe master,choo cha public,sebule isiwe...
Habari vijana wenzangu
Mi ni mkulima maeneo ya shinyanga nilietafuta soko la mchele wngu kwa muda mrefu bila mafanikio. Nimelima kiasi cha zaid ya tan52 ninaomba muongozo kwa mwenye kujua masoko...
TAFUTA SHULE CENTER inamsaidia mzazi kwa kumtafutia shule nzuri ya sekondari au chuo kwa mtoto wake ndani ya Tanzania kuligana na mahitaji ya mzazi..
Pia inakupa taarifa zozote muhimu za shule...
BEST MICROSOFT EXCEL EXPERT 0718 75 95 85
Anything you need in microsoft excel, anything you can imagine, automatic data entry, bulk sms, excel programming, data security, automation of...
Haya hayaaa wakazi wa ARUSHA Gari hilo hapo kazi kwenu
Aina CR-V
Namba A
Ilipo;Mkoa wa ARUSHA
Mapungufu yake
1.Tairi za mbele zimeisha kidogo
2.bodi imepigwa na jua kidogo
3.system;automatic car...
Kwa wale wanaohitaji msaada wa typing Nina type kazi za aina zote. Bei ni 500/= kwa kila page.
Ninapatikana Kinondoni Mwananyamala.
Mawasiliano;
WatsApp & call 0754 895 321
Habari zenu wadau,
Ningependa kujua kuna ipi ya jirani zetu wakenya wanaitumia kwaajiili ya discussions mbali mbali kama sisi ambavyo tunaitumia jamiiforums hapa Tanzania.
Asanteni sana
Muuzaji bank inamdai anauza nyumba yote hadi tooth stick ili atoroke aende zake nje kusaka maisha
usitokwe povu bei mil 5 eneo uswahilini Manzese
utakipima mwenyewe hakijapimwa
full umeme...
Simu Tajwa Inauzwa Iko Vema Kwa Maana Imetumika Miezi Sita
Ina 8Gb
Battery 1500mAh
Lollipop 5.1
Mwenye Kuhitaji Nipo Kwa Namba
0715 - 45 70 61
Bei Ni 200000/-
Mpaka sasa imetembea 300000km na bado iko barabarani.bei yake ni 40million japo majadiliano yapo na kwa watu wa masafa marefu hapo ndo kwenyewe. maelezo zaidi tuwasiliane kupitia namba 0712672210/...
Habari za jioni wadau,
Jamani natafuta dispenser ya kuchanganyia juice yenye walau uwezo wa kuhifadhi lita 20 za juice, kama kuna mdau anajua wapi zinapatikana kwa bei chee ama mdau mwenye nayo...