Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Bidhaa halisi za ngozi kutoka kiwanda cha WOP (Woiso Original Leather Products) kinachozalisha bidhaa hasa viatu vya ngozi, kimepigiwa kura ya kuwa wazalishaji wa viatu bora vya ngozi duniani...
3 Reactions
19 Replies
9K Views
Habari zenu wakuu, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu Mwenye nayo/kujua yalipo kwa sasa /yanako patikana tafadhali sogea PM tufanye biashara NB: Nilipewa taarifa ya kwamba naweza...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari. Samahani lakini natafuta eneo la bei nafuu nitakaoweza kufanya kilimo. Je ni mikoa gani ninaoweza kupata hata ekari 1 kwa laki moja au mbili?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hondohondo builder tume kuja kumpunguzia gharama mjenzi kwa kumkodishia mbao za linta na mkanda wa nyumba kwa ghara nafuu badala ya kununua mbao moja kwa gharama kubwa sisi tuta kukodishia kwa bei...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Za mchana wana JF. Natafuta gari iwe namba D, ama:- Carina Premio New Model Spacio New Model Ist Nicheki Whatsapp kwenye 0759888018
0 Reactions
0 Replies
978 Views
Mikocheni B ,ni chumba sebule na choo. Kodi 200000/= kwa mwezi, malipo kwa mwaka miezi 10 napokea mawasiliano zaidi 0766979955/0653678399
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Shamba la heka 20 linauzwa Njombe,kando kabisa ya barabara ya Songea.Lina miti ya mbao aina ya Pines yenye miaka minne.Bei ni sh Milioni moja kwa heka.Lipo eneo zuri na linafikika kwa urahisi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nauza samsung galaxy s2 110k bei ya ofa bado ipo vizuri na bei ni fixed nicheki 0784922230. . Kama huna 110 usijisumbue
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Waungwana natumaini hamjambo! Nimefanikiwa kwenye zoezi la Rosella wine na Jumapili tumeionja na marafiki zangu imekkuwa safi sana. Changamoto nilokutana nayo ni kukosa chombo cha kupimia alcohol...
1 Reactions
5 Replies
929 Views
Kwa yoyote anayemfahamu mwanafunzi Wa form 6 aliyemaliza mwaka huu kuna hii fursa ya Scholarship ya Mo dewji foundation. Nimejaribu kupitia kwa haraka nimeona utalipiwa ada na meals and...
0 Reactions
1 Replies
805 Views
salaam wakuu, kwa wale wafanyabiashara wa simu ,bonny electronics tunawaletea bei za jumla ambazo hutazipata kokote kule hapa mjini, simu tulizonazo ni samsung s2@155,000 samsung s3@245,000...
0 Reactions
34 Replies
9K Views
1000watts Smart Full HD Up-scaling Premium content Wireless Audio Streaming via Bluetooth USB Direct Recording & Playback 3D Playback LG Apps Wired(Ethernet) External HDD Playback PRICE...
0 Reactions
1 Replies
693 Views
BRAND NEW HOUSE, 3 BDRMS, 3 BATHROOMS, CLOSE TO MAIN ROAD- MOROGORO ROAD, SO VERY CLOSE TO MWENDO-KASI PUBLIC BUSES. RENT 500,000/MONTH (NEGOTIABLE) PAYABLE ONE YEAR IN ADVANCE. RELIABLE WATER...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari... Jamani nina viwanja na shamba maeneo ya mkuranga nauza kwa bei nafuu,, au kama kuna madalali wanaweza kunisaidia naitaji msaada wenu pia mawasiliano 0716927850
0 Reactions
6 Replies
892 Views
Kuna viwanja vinauzwa,vipo kuanzia ft 40 kwa 50,50 kwa 50,50 kwa 60,60 kwa 60,60 kwa 80,80 kwa 100,viwanja vinauzwa kwq bei nafuu sana kuanzia 1.5 na kuendelea,vinapatikana vikindu uzuri ni kwamba...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nyumba ina uwanja wa sqm 1200. Ina vyumba vi 4 na kila chumba kina makabati mpaka jikoni nyumba ipo ndani ya uzio wa ukuta kama inavyoonekana kwenye ukuta. Nyumba ina hati. Bei yake 150m. For...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
WEWE TU USHINDWE KUMILIKI SMART PHONE YA KIJANJA. Tecno L8 mpya haijafunguliwa full box battery =5050mAh(uwezo wa kukaa na charge 1 week bila kuwasha DATA na 3days DATA ON) camera=8.0 to 2.0mp...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
....Kiwanja kinauzwa Kigamboni Kibada Square metres 1000 Fully documented yaani kina hati kamili... Ni kizuri sana. Bei million 25. Ni pm kwa maelezo zaidi
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Imefahamika kuwa katika jamii yetu ya Tanzania wapo akina mama, dada, kaka na wengine ambao wamekuwa katika hali ngumu sana na kutokuwa na chochote ili kuanzisha biashara yoyote ndogo na ili...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Wakuu nimekwama nauza TV yng nahitaji laki tisa
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…