Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Anaeuza acetone kuanzia lita moja tuwasiliane 0717550291
0 Reactions
0 Replies
683 Views
MILIAGE 89000 Cc 1290 BEI YA KUUZWA 9 MILION..MAONGEZI KIDOGO YAPO GARI HAIDAIWI,IKO FULL KILA IDARA KWA MTU AMBAYE ATAVUTIWA NAYO KUIONA NA KUFANYA BIASHARA TUWASILIANE KUPITIA # HII..0715591141DSM..
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Wapendwa mwenye kujua bei tusaidiane
1 Reactions
15 Replies
7K Views
sony experia c3 ipo vizuri kabisa bei 380000 ram 1gb storage 8gb os lolpop
0 Reactions
2 Replies
564 Views
habari za muda huu waungwana. kuna jamaa yangu amekuwa akiniuliza kama kuna mtu nayemfahamu mwenye maji mekundu(mercury) yenyewe anahitaji bei poa. Sasa mwenye hiyo kitu anicheki pm.
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Hallow wadau naomba kujua mahali zinapouzwa mashine ya popcorn hii inayotumia baiskeli pamoja na jiko la gesi.. Naomba kujua bei yake na mahali zilipo nipo dar... Asanteni
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Msaada, Nahitaji kukodisha gari kati ya haya kwa siku moja, BMW au range rover sport kwa ajili ya harusi. Aliye na access anipe gharama yake na contact .
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari Wanajamii, Viwanja vinauzwa maeneo ya Salasala karibu na sehemu inayoitwa mwisho wa lami. Ni hatua chache kutoka hapo mwisho wa lami na nimeorodhesha Plots zinazouzwa na ukubwa wake hapo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
CCTV security 4 Camera Package 2 indoor,2 outdoor,4 channel DVR,adapters for camera,coaxial cable with Pins and 1 TB hard drive @ Tsh 850,000 only Piga 0688726110
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF....Habarini Mimi nataka kuwa mkulima mzuri wa mhogo na nataka kuuza unga wa mhogo ulio mweupe kama unga wa ngano (Kivunde).....Nipeni sasa soko lake ikiwezekana na bei ya kila mahali ili...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nauza gari Mercedes Benz Zile benz ndogo kama Vitz Bei Tsh 4'500'000/= tu Haina udalali Rangi ya Blue ipo ktk hali nzuri Ikiwa unahitaji tuwasiliane kwenye PM Kwa majadiliano kwenye public...
0 Reactions
27 Replies
13K Views
Godsod poutry solution wanakuletea vifaranga wa Malawi ,Israel, kenbro tupo moshi mailisita 0689350805,0621699422
2 Reactions
3 Replies
816 Views
White almost new On sale Serious bayer nicheki 0757865489
0 Reactions
9 Replies
923 Views
Natafuta Apartment yenye vyumba viwili vizuri maeneo ya center town Daressalaam,kama vile kariakoo au maeneo ya karibu sana kufika kariakoo au posta kodi isizidi laki 4 kwa mwezi!,napendelea...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Miliage 89000 CC 1290 Bei 9 milion .... maongezi kidogo sana yapo ..... Kama utapendezewa na chombo hiki tuwasiliane kupitia # 0715591141 DSM Changamka
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Eneo linauzwa mbezi beach barabara ya white sand jirani na shule ya English medium ya Elite eneo lina fance na nyumba ya nyumba vitatu Umeme na maji tayari limepimwa na lina hati ukubwa 4500sq m...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni kazi isiyiyotumia nguvu, mda mwingi wala gharama, na ni kazi pia hapo hapo unaweza kuifanya kama sehemu ya huduma zako muhimu. usijali. bofya link hapo chini na pia kuna mawasiliano utayapata...
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Naitaji wireless keyboard ya Dell Plzz inbox me 0719210905
0 Reactions
0 Replies
347 Views
Chumba kimoja self-contain kinapangishwa. Kiko Bunju A, karibu na shule. kinafaa Bachelor, Spinster or young couple wasio na familia. Rent in Tzs 120,000 per month water and electricity inclusive...
0 Reactions
2 Replies
893 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…