MILIAGE 89000
Cc 1290
BEI YA KUUZWA 9 MILION..MAONGEZI KIDOGO YAPO
GARI HAIDAIWI,IKO FULL KILA IDARA
KWA MTU AMBAYE ATAVUTIWA NAYO KUIONA NA KUFANYA BIASHARA TUWASILIANE KUPITIA # HII..0715591141DSM..
habari za muda huu waungwana.
kuna jamaa yangu amekuwa akiniuliza kama kuna mtu nayemfahamu mwenye maji mekundu(mercury) yenyewe anahitaji bei poa. Sasa mwenye hiyo kitu anicheki pm.
Hallow wadau naomba kujua mahali zinapouzwa mashine ya popcorn hii inayotumia baiskeli pamoja na jiko la gesi.. Naomba kujua bei yake na mahali zilipo nipo dar... Asanteni
Msaada,
Nahitaji kukodisha gari kati ya haya kwa siku moja, BMW au range rover sport kwa ajili ya harusi. Aliye na access anipe gharama yake na contact .
Habari Wanajamii,
Viwanja vinauzwa maeneo ya Salasala karibu na sehemu inayoitwa mwisho wa lami. Ni hatua chache kutoka hapo mwisho wa lami na nimeorodhesha Plots zinazouzwa na ukubwa wake hapo...
CCTV security 4 Camera Package
2 indoor,2 outdoor,4 channel DVR,adapters for camera,coaxial cable with Pins and 1 TB hard drive @ Tsh 850,000 only
Piga 0688726110
Wana JF....Habarini
Mimi nataka kuwa mkulima mzuri wa mhogo na nataka kuuza unga wa mhogo ulio mweupe kama unga wa ngano (Kivunde).....Nipeni sasa soko lake ikiwezekana na bei ya kila mahali ili...
Nauza gari Mercedes Benz
Zile benz ndogo kama Vitz
Bei Tsh 4'500'000/= tu
Haina udalali
Rangi ya Blue
ipo ktk hali nzuri
Ikiwa unahitaji tuwasiliane kwenye PM
Kwa majadiliano kwenye public...
Natafuta Apartment yenye vyumba viwili vizuri maeneo ya center town Daressalaam,kama vile kariakoo au maeneo ya karibu sana kufika kariakoo au posta kodi isizidi laki 4 kwa mwezi!,napendelea...
Miliage 89000
CC 1290
Bei 9 milion .... maongezi kidogo sana yapo .....
Kama utapendezewa na chombo hiki tuwasiliane kupitia # 0715591141 DSM
Changamka
Eneo linauzwa mbezi beach barabara ya white sand jirani na shule ya English medium ya Elite eneo lina fance na nyumba ya nyumba vitatu Umeme na maji tayari limepimwa na lina hati ukubwa 4500sq m...
Ni kazi isiyiyotumia nguvu, mda mwingi wala gharama, na ni kazi pia hapo hapo unaweza kuifanya kama sehemu ya huduma zako muhimu.
usijali. bofya link hapo chini na pia kuna mawasiliano utayapata...
Chumba kimoja self-contain kinapangishwa. Kiko Bunju A, karibu na shule. kinafaa Bachelor, Spinster or young couple wasio na familia. Rent in Tzs 120,000 per month water and electricity inclusive...