Nitumie jukwaa hili kuwaalika na kuwakaribisha kwenye mkesha mkubwa ambao wewe na jamaa yako hamtausahau kwenye maisha yenu yote kama anavyosema Apostle Boniface Godwin Mwamposa wa huduma ya...
NAUZA NYUMBA ILIOKAMILIKA UNAINGIA NA BAG LAKO LA NGUO TUH.
INA ROOM 4 - 2 N MASTER BEDROOM
SEBLE
DINING
JIKO NA STORE
PUBLICTOILET
UKUBWA WA ENEO SQM 700
NYUMA KUNA NYUMBA NDOGO - CHUMBA...
Kama ilivyo humu jamii forum kuna Matajiri Sasa mimi kama dalali mzoefu
Kuna ndinga mpya imeingia Jana aina ya Tesla inauzwa nafikiri mnajua hii gari sio Kwa ajili ya masikini
Nimetoa tahadhari...
Tangu itoke dukani Ina miezi minne. Na imekuwa ikitumika nyumbani.
Haina hata mkwaruzo.
Haina kipengere chochote.
Ni milango miwili,
Inapooza na kugandisha
Bei 300,000
Contact : 0785214599
(...
Bei: TZS 33,111.39 (Original: TZS 57,089.89, punguzo la 42%)
Bonyeza na Nunua
Sifa kuu:
Muundo wa 2-in-1: Suruali za nje za kukimbia na suruali za ndani za compression kwa msaada wa ziada...
Nina kiwanda kidogo kinajishughulisha na ukamuaji wa mafuta ya Alizeti. Natafuta wateja wa mashudu ya alizeti. Nina tani tatu za alizeti kwasasa.
Kiwanda kipo arusha kwa anaye hitaji nicheki...
Hello unataka kufungua bakery au mgahawa/hotel mashine zote utazipata kwetu Pia utapewa ushauri bure kabisa tupo kariakoo mtaa wa masasi namba zetu 0774150519
nauza cherehani aina ya singer
kichwa cha cherehani
meza ya cherehani
kama utaitaji utapata na mota ndogo
mashine ina uwezo wa kushona nguo
vitambaa vya mpira
ngozi
HII CHEREHANI ILIKUWA...
Habari wakuu, nauza mfumo wa gas kwenye bajaj bei ni laki mbili..
Ila bado una deni la laki Saba na hamsini utaenda kumalizia mkopo wako.
Mazungumzo yapo
Wahi sasa
Karibuni sana Bei chee tunauza balo za mtumba grade 1 ukitaka nguo za kupoint zipo. Tuna balo za nguo aina zote.
Gauni za kike
Suruali za kike
Mabwanga
Skin and boyfriend jeans
Mashati
T-shirt...
https://www.jamiiforums.com/threads/nauza-maziwa-ya-ngombe-wa-kienyeji-na-ya-mbuzi.1865163/#post-52214680
Miaka ya nyuma nilikuwa nafanya biashara hii, lakini kwa sasa nimeachana nayo...
Salaam wakuu,
Naombeni ushauri ninune gari gani kwa milioni 6. Nahitaji gari yenye fuel efficiency nzuri, space ya kutosha hasa mbele (mimi mrefu) pamoja na upatatikanaji spare.
Nitashukuru pia...
Nawasalimu nyote kupitia jina kuu lipitalo majina yote duniani na mbinguni.
Kama kichwa cha Uzi kinavyo jieleza, nahitaji gari dogo lililotumika Kwa bajeti isiyozido ml. 6.6
Aina ya gari...