Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza Stand ya laptop ya aluminium Zimebaki 9 Bei 15,000 Temeke Dar es salaam Namba 0710-599-055
0 Reactions
1 Replies
345 Views
Neck fan kwaajili ya kukulete Hali ya ubaridi kipindi hichi cha joto.tucheki bei 18,000= tupigie simu 0762619116
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Nitumie jukwaa hili kuwaalika na kuwakaribisha kwenye mkesha mkubwa ambao wewe na jamaa yako hamtausahau kwenye maisha yenu yote kama anavyosema Apostle Boniface Godwin Mwamposa wa huduma ya...
42 Reactions
256 Replies
8K Views
NAUZA NYUMBA ILIOKAMILIKA UNAINGIA NA BAG LAKO LA NGUO TUH. INA ROOM 4 - 2 N MASTER BEDROOM SEBLE DINING JIKO NA STORE PUBLICTOILET UKUBWA WA ENEO SQM 700 NYUMA KUNA NYUMBA NDOGO - CHUMBA...
0 Reactions
8 Replies
555 Views
Ipo katika hali nzuri. Bei 13.5mil. kuiona tuwasiliane kwa simu 0784225000
0 Reactions
0 Replies
328 Views
Kama ilivyo humu jamii forum kuna Matajiri Sasa mimi kama dalali mzoefu Kuna ndinga mpya imeingia Jana aina ya Tesla inauzwa nafikiri mnajua hii gari sio Kwa ajili ya masikini Nimetoa tahadhari...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Tangu itoke dukani Ina miezi minne. Na imekuwa ikitumika nyumbani. Haina hata mkwaruzo. Haina kipengere chochote. Ni milango miwili, Inapooza na kugandisha Bei 300,000 Contact : 0785214599 (...
0 Reactions
2 Replies
474 Views
Habari wana jf .. Samsung s 8+ [emoji336] Storage GB 64[emoji736] Ram GB 4 [emoji91] Warranty 1 yrs[emoji736] Delivertly [emoji736] Bei 320000[emoji736] [emoji3513]0689169979 [emoji625]Location...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Bei: TZS 33,111.39 (Original: TZS 57,089.89, punguzo la 42%) Bonyeza na Nunua Sifa kuu: Muundo wa 2-in-1: Suruali za nje za kukimbia na suruali za ndani za compression kwa msaada wa ziada...
0 Reactions
0 Replies
384 Views
Jipatie vitenge kwa shilingi elfu 10 vya kushona na 25 kuvaa bei ya jumla maelewano kwa namba 0763358287 tupo Mbeya karibuni wana JF family
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakubwa, natafuta mahali panapatikana spea za Samsung S10,S9,. Shida ni kioo tu
1 Reactions
2 Replies
602 Views
Nina kiwanda kidogo kinajishughulisha na ukamuaji wa mafuta ya Alizeti. Natafuta wateja wa mashudu ya alizeti. Nina tani tatu za alizeti kwasasa. Kiwanda kipo arusha kwa anaye hitaji nicheki...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Hello unataka kufungua bakery au mgahawa/hotel mashine zote utazipata kwetu Pia utapewa ushauri bure kabisa tupo kariakoo mtaa wa masasi namba zetu 0774150519
1 Reactions
8 Replies
943 Views
nauza cherehani aina ya singer kichwa cha cherehani meza ya cherehani kama utaitaji utapata na mota ndogo mashine ina uwezo wa kushona nguo vitambaa vya mpira ngozi HII CHEREHANI ILIKUWA...
0 Reactions
1 Replies
523 Views
Habari wakuu, nauza mfumo wa gas kwenye bajaj bei ni laki mbili.. Ila bado una deni la laki Saba na hamsini utaenda kumalizia mkopo wako. Mazungumzo yapo Wahi sasa
2 Reactions
3 Replies
511 Views
Karibuni sana Bei chee tunauza balo za mtumba grade 1 ukitaka nguo za kupoint zipo. Tuna balo za nguo aina zote. Gauni za kike Suruali za kike Mabwanga Skin and boyfriend jeans Mashati T-shirt...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Katika kipindi hiki cha likizo, anatafutwa mwalimu anayefundisha darasa la pili (English Medium). Kwa mawasiliano zaidi, piga simu 0682405461
1 Reactions
2 Replies
419 Views
https://www.jamiiforums.com/threads/nauza-maziwa-ya-ngombe-wa-kienyeji-na-ya-mbuzi.1865163/#post-52214680 Miaka ya nyuma nilikuwa nafanya biashara hii, lakini kwa sasa nimeachana nayo...
6 Reactions
26 Replies
1K Views
Salaam wakuu, Naombeni ushauri ninune gari gani kwa milioni 6. Nahitaji gari yenye fuel efficiency nzuri, space ya kutosha hasa mbele (mimi mrefu) pamoja na upatatikanaji spare. Nitashukuru pia...
5 Reactions
68 Replies
16K Views
Nawasalimu nyote kupitia jina kuu lipitalo majina yote duniani na mbinguni. Kama kichwa cha Uzi kinavyo jieleza, nahitaji gari dogo lililotumika Kwa bajeti isiyozido ml. 6.6 Aina ya gari...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…