TAZAMA MAAJABU YA NGOMBE AINA YA FRISHIAN F1 HII NI SABABU TOSHA YA KUFANYA UFUGE KILICHO BORA
Hawa ni ng'ombe wa mziwa aina ya frisian hapo tumepost f1 na f2 wanapatikana Uwezo wao wa kutoa...
Design your investment building as we finish 2024
Hotel , apartments design
Give us your requirements
Free site visit in dar es salaam
Contact us for free consultation today
0742...
Habari Wadau wa Jukwa hili la Biashara.
Nichukue nafasi hii kuwakaribisha kwa Huduma za Printing, tunafanya huduma nyingi sana za Printing.
Printing inahusu.
1. Memories and Gifts
2. Business...
Tunafanya Printing.
1. PICHA MBAO
2. PICHA ZA FREMU YA KIOO
3. SAA yenye PICHA YAKO
Picha kwa ajili ya KUMBUKUMBU yako, Familia.
Picha kwa ajili ya ZAWADI kwa Umpendae
Picha kwa ajili MAPAMBO...
We are looking for committed PMP aspirants who really need to ace the PMP Exams. We mean those who are capable to register for PMP exams and pay $555 (if Non-PMI member) and $405 (PMI member).
We...
Habari wakuu
Naomba msaada wa lori linalosafirisha mizigo kutoka Masasi kwenda Dar.
Nina mizigo ninahama nahitaji kuisafirisha, anayejua hayo malori naomba msaada kwa sasa mimi nipo Dodoma.
Wakuu habari,
Ndugu yangu anauza gari aina ya suzuki lihana.
Gari inapatikana maeneo ya kimara Mwisho
cc 1490
Bei ni m6 inapungua kidogo
No 0715568585
Usajili no DHD
2WD
gari ni automatic
Hiki ndio kitabu kitakachokupa siri ya kukua kiuchumi,kibishara na mbinu za uwekezaji.
Bei ya Ofa ya sasa ni Elfu Tatu(3000) badala ya Elfu kumi bei yake ya kawaida.
Tunakutumia kwa njia ya...
Jamani kuna watu wanapiga simu wanaweka order za vifaranga mtu unatumia garama mwisho ukifika anazima simu naomba km huitaji kitu pita wenzenu hapa ndio tunapatia chakula na kulipa Kofi.
Pia...
Habari wadau. Nahitaji maziwa ya unga kiwango cha jumla. Yaani kama nipate mtu wa kiwandani ambaye ataweza nifaulishia wastani wa kilo 500 kila wiki.
Nani ana connection? [emoji848]