Habari,
Natafuta shamba la kununua maeneo ya kibaha (eka tano), sifa la shamba;
1. Liwe mbali na makazi ya watu (isiwe too much) kwakuwa nataka kufugia nguruwe
2. Liwe jirani na maji...
Heka 15 zinauzwa Kigamboni Mkamba mbele ya Mwasonga. Bei sh. 4,000,000/= kwa heka na mazungumzo yapo. Eneo liko tambarare halijai maji, mchanga wa ujenzi upo kwenye eneo na huduma za kijamii...
Habari wandugu
Onana nasi kwa huduma zifuatazo:
kwa habari ya mahitaji yako ya KUCHAPISHIWA:
Calendar, Diaries, Tshirt(Embroiders. Computarize, Screen printing) Mugs, Stickers, Posters...
Make : Toyota
Model : Altezza
Mileage : 91,729km
Engine size: 2,000cc
Gasoline : Petrol
Steering : Right Hand Drive ( R. H. D. )
Transmission : Manual
M/Year : 2002
Doors : 4
Seats : 5...
Wana jf
Mimi naishi Moshi mkoa wa kilimamjaro nahitaji chumba kimoja chenye choo ndani ila kisiwe uswahilini kiwe maeneo ya karibu na chuo cha ushirika
Watanzania wenzangu,kumiliki biashara/kampuni
(kwa maana ya limited company) na kujiajiri
ndiyo siri ya mafanikio kwa Tanzania ya
leo.Chukua hatua na ufungue kampuni yako na
ujiiunue kiuchumi...
Salaam alaykum wana jukwaa.. natafuta muuzaji wa lotion za bath and wash na body splashes zake pamoja na splashes za victoria secret kwa bei ya jumla.. kama yupo ani pm plz.. shukran