Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana. Material: Cotton Bei ya Khanga: sh 20,000/= Bei ya jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga 3. Tunapatikana tabata kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya...
1 Reactions
1 Replies
165 Views
Hii Scania ipo UK inauzwa. Niya mwaka 2019. Ina kilomita 628K, auto gearbox. Catwork tody. Bei yake na kusafirishwa mpaka Dar Es Salaam ni Tshs 112m.
1 Reactions
5 Replies
544 Views
Nyumba inauzwa Kibaha kwa Mfipa Ina chumba seble Ina vyumba viwili milango ya nje Umeme na maji vipo Eneo ni 20×20 Imegusa barabara ya mtaa Bei million 9.8 0744757738 0784376888
1 Reactions
9 Replies
834 Views
Apartments For Sale in Msasani. Location: Kimweri Avenue. Floors available: 1st, 2nd, 3rd, 4th, 6th and 8th floors. There are 3 sizes; a) 82 square meters 1 bedroom including sitting room and...
3 Reactions
74 Replies
3K Views
Habari. Nina viwanja vinavyouzwa Kibaha kwa Mfipa jirani na chuo cha Mwalim Nyerere. Pia zipo nyumba zinazouzwa hapo hapo Kibaha kwa Mfipa. Unaweza wasiliana nami
2 Reactions
37 Replies
3K Views
HP OMEN gaming laptop core i7 11th gener Ram 16 ssd 521 4gb rtx 3050 price 2.2M tsh Free laptop bag Call or whatsap 0692562259 Location, kijitonyama Instagram @Mysetup_tz
0 Reactions
1 Replies
332 Views
Viwanja Vinauzwa. Vipo Kibaha maili moja karibu na nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa. Viwanja viko viwili ndani ya eneo moja, moja ina nyumba ya vyumba vitatu. Ukubwa wa Eneo: Sqm 1294 na cha pili Sqm...
1 Reactions
6 Replies
616 Views
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam. Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule. Sifa za Nyumba: *Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya finishing. *Iko mita chache kutoka barabara ya Goba...
1 Reactions
6 Replies
679 Views
Ndugu zangu nahitaji kazi nipo KIBAHA MAILI MOJA, Kazi nazoweza kufanya ni 1.Ulinzi 2. Kuhudumia wateja eneo lolote la biashara au bar 3. kazi zote za nguvu hata viwandani 4. kazi za hotelini...
2 Reactions
6 Replies
433 Views
Deleted
1 Reactions
6 Replies
446 Views
Nipo morogoro mjini, pikipiki ni sinoray bado mpya ina miezi 4 tangu inunuliwe documents zote zipo,kwa anahitaji tuwasiliane bei TSh.2200000
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Wanajamvi nauza pikipiki imetumika no .MC439 CUN aina HONLG ipo mbezi ya kimara. Bei 700,000 Njoo DM tuongee
2 Reactions
10 Replies
979 Views
Apartment mpya inauzwa Kariakoo Vyumba vitatu ya kulala Kimoja master Ina Furniture Ipo ghorofa ya Nane Jengo lina Lifti Jengo ni jipya Bei TSh. 280m Call/WhatsApp +255758 844 717
8 Reactions
54 Replies
3K Views
Hiini kwa wale wote wenye Biashara au kampuni na wanashindwa Kutumia Mfumo wa Nest Mafunzo Ya Kutumia Mfumo Wa Nest Na Kuomba Tender 👉 Wasiliana Nasi 0764 148 221
1 Reactions
0 Replies
593 Views
KM RESEARCH SOLUTION Research Support Services Your Partner in Academic and Professional Success Are you in need of expert assistance with academic and professional writing? Look no further! KM...
1 Reactions
0 Replies
372 Views
Back
Top Bottom