Habari za asubuhi, wakuu nauza laptop HP Zbook, mtambo wa kazi, kwa wale wenzangu pro wa media(graphics, animations, video editing)mnaujua huu mtambo.
Bei ni 2M. Mteja serious anicheki pm
Hello my lovely customers.
Asanteni kwa kunisapoti sana ,kipindi naanza hadi sasa nilipofika
Sasa Cake zetu tutazipata Mbeya mjini na viunga vyake vyote.
Karibu kwa ajili ya Oda,cake za matukio...
Habari ndugu zangu,
Natafuta Masoko ya Mkaa na Mbao...Na bei zikoje. Nachana mbao za mti wa Mtondoo na Mkurungu kwa saizi zote kulingana na mahitaji ya mteja.
Nina uwezo wa kusuply gunia 200...
PLOT FOR SALE MBWENI
Plot safi kabisa hii hapa Inauzwa
Iko Mbweni mpiji inagusa lami
Ni sqm 1000
📌🗒Ina Hati safi kabisa
📌Ni pazuri sanaa Kuna nyumba pia kama unavyoiona kwenye picha hapo
📌Plot...
Wadau wa JamiiForums,
Habari za jioni. Ninaomba msaada wenu.
Ninatafuta nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili (2 bedrooms) eneo la Mbezi Beach Chini. Bajeti yangu ni kati ya Tsh 500,000 hadi Tsh...
Natumai Mu wazima wa afya..
Tunafanya Skimming bora na ya viwango vya juu kwa gharama nafuu..
Kazi ya Rangi ni kupendezesha, sasa unapokosea Skimming Jengo haliwezi kupendeza kamwe hata urudie...
Sababu: ni kutopata muda wa kutosha kuisimamia kutokana na kubanwa na majukumu mengine mbali na eneo la biashara
Eneo: Km 30 kutoka mji wa Mafinga - Iringa
Huduma za uwakala wa benki: CRDB, NMB...
Karibu platnum credit kupata huduma ya mkopo wa kuagiza gari toka Japan Kwa mkopo wa 55%ya gaharama za gari mpaka linakufikia.
Pia tunatoa mikopo ya Hadi 45% Kwa kununua gari yadi pia tunatoa...
Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana.
Material: Cotton
Bei ya Khanga: sh 20,000/=
Bei ya jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga 3.
Tunapatikana tabata kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya...
Poleni na majukumu wana JF
Uzi huu si wa kuomba msaada Bali ni wa kutoa shukrani za zati kwa wana jf kama mnakumbuka nilishawai kutoa uzi mbali mbali kuwauliza ni sehemu ipi naweza Pata ps4 ya...
1.HISENSE SMART TV NCH 55 INAMWEZ FULL DOCUMENT BEI 950k
2.Fridge ( Hisense) . Bei Laki550
3. Show Case Tsh200k, Radio Tsh 190
Mawasiliano :- WhatsApp 0769463336