Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Attention Property/Plot Owners! We are in search of a plot to buy in the heart of Dar es Salaam. The plot should be between Ali Hassan Mwinyi road to New Bagamoyo road(up to Mwenge), Mwai...
1 Reactions
1 Replies
222 Views
Njia mbili kuu za kutafuta na kupata viwanja vinavyouzwa kwa bei nafuu ni kupitia madalali na mtandao wa watu sahihi. Madalali wa ardhi na majengo. Madalali wa ardhi ni watu wenye ujuzi wa...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Rationale solution tupo hapa kwa ajili yako. Njoo tukuhudumie, tunatoa huduma za kuprint TSHIRT, KOFIA , NA VITAMBULISHO KWA BEI POA SANA. TUPIGIE TUTAKUFATA POPOTE ULIPO, BEI ZETU NI MAELEWANO...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
TV USED lakini naweza sema ni zile USED FROM DUBAI japo ni FROM Tanzania Tv ni NET and CLEAN safi sana, Uhakika Sana. Njoo ichukue hiii utaipata kwa bei rafiki kabisa TV ni kama Mpya Ndugu yangu...
4 Reactions
30 Replies
3K Views
Nyumba inauzwa Tabata. Mahali: Misewe B, Liwiti. Sifa za nyumba: •Ina vyumba vya kulala 3 na master 1. •Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, jiko na stoo. •Ina korido kubwa ya ndani na baraza...
0 Reactions
5 Replies
543 Views
Simu ndogo aina ya i 17 Pro 45,000 TZS. Sifa za simu: 1. Inatumia laini mbili 2. Ina trey ya kuwekea laini 3. Betri yake ipo ndani kwa ndani 4. Ina pin ya kutolea laini 5. Inakaa na chaji muda...
0 Reactions
2 Replies
570 Views
Habari za usiku huu. Samahani waungwana, nahitaji ist no d iwe haijarudiwa rangi, iwe kwenye hali nzuri kabisa na isiwe na shida yoyote. Offer yangu ni 8.5m napatikana dar.
2 Reactions
7 Replies
590 Views
Tv Used aina ya Samsung 32 inches HD inauzwa ipo Dar Airport area. Offer Tsh 300,000/=
0 Reactions
9 Replies
499 Views
FREMU MPYA ZA BIASHARA – KINYEREZI (Kwa Ditopile) Fursa ya kipekee isiyopaswa kupitwa! Tunakukaribisha kwenye eneo jipya lenye muonekano wa mtaa wa kisasa – mahali ambapo ndoto za biashara...
0 Reactions
0 Replies
199 Views
Habari wanajukwaa, Mara nyingi naona watu wakihangaika kupata website kwa ajili ya biashara zao,taasisi au NGO's, Huwa ninawapatia jibu moja kwamba hakuna haja ya kuhangaika, zaidi ya kushika...
6 Reactions
56 Replies
4K Views
Hellow hope everyone is good. Leo nawaletea fursa ya kuwekeza dodoma. Hakuna uwekezaji mzuri kama wa ardhi maana kila siku inapanda thamani ukilinganisha na kuhifadhi fedha bank. Dodoma ni mji...
6 Reactions
7 Replies
531 Views
Ndugu wana JF habari ya majukumu? Napenda kutoa taarifa juu ya kusudio la kuuza kiwanja namba 10 D-centre Mwangaza lililopo Dodoma mara tu baada ya kukamilisha upatikanaji wa Hati ya eneo hilo...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Macho yangu yameona fursa ya biashara mkoa wa mwanza kufuatia wafanya biashara Weng wa mwanza kuagiza bidhaa kutoka DSM hvy nmeona nitafute partinership ya wafanya biashara kadhaa niwape mifumo...
0 Reactions
0 Replies
259 Views
Agiza Nasi Tukuletee Mpaka Mlangoni Tuna Thamini Usingizi Wako Note:Tunauza Jumla Na Reja Reja Wasiliana Nasi +255 756 180 697 +255 710 116 270 @bilumagodoro Tunapatikana Ukonga,Banana
0 Reactions
2 Replies
335 Views
Nauza earbuds m10 kwa bei ya jumla bei ya kiwandani tsh 10,000 tu kuanzia pc 10 napatikana Mwanza ,0625193084
2 Reactions
0 Replies
309 Views
Plots Available For Sale. Location: Kigamboni Dege, Amani Gomvu area. Descriptions: *Plots located 23km from ferry, 800m from main road. *There are 10 plots in the area. *Each plot has title...
0 Reactions
0 Replies
254 Views
Habari, Kisali na seu marketing and entertainment tunatengeneza website za kwa makampuni, tahasisi na biashara mbalimbali tupo Goba, Dar es salaam tutakusaidia pia kuongoza website yako kwa mwaka...
0 Reactions
1 Replies
296 Views
Habari ndg zangu wana jamii, nimekuwepo hapa kitambo, kwa nafasi hii ya matangazo naendelea kutangaza kazi zangu zinazo husiana na masuala ya rangi. Wasiliana nami kwa no 0766111212
5 Reactions
284 Replies
32K Views
Habari wadau miaka nyumba nilileta uzi kuwasha online radio,ambapo nilifanikiwa kuwa n kituo cha online radio ambacho ni kukubwa zaidi dunia nasema ivo kwa sababu kila nchi kunakituo cha Tz...
5 Reactions
5 Replies
520 Views
Natafuta coaster au nim bus ya kukodi kwa ajiri ya biashara njia ya Mwanza to Chato, anae fahamu anijuze
1 Reactions
0 Replies
238 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…