Attention Property/Plot Owners!
We are in search of a plot to buy in the heart of Dar es Salaam. The plot should be between Ali Hassan Mwinyi road to New Bagamoyo road(up to Mwenge), Mwai...
Njia mbili kuu za kutafuta na kupata viwanja vinavyouzwa kwa bei nafuu ni kupitia madalali na mtandao wa watu sahihi.
Madalali wa ardhi na majengo.
Madalali wa ardhi ni watu wenye ujuzi wa...
Rationale solution tupo hapa kwa ajili yako.
Njoo tukuhudumie, tunatoa huduma za kuprint TSHIRT, KOFIA , NA VITAMBULISHO KWA BEI POA SANA.
TUPIGIE TUTAKUFATA POPOTE ULIPO,
BEI ZETU NI MAELEWANO...
TV USED lakini naweza sema ni zile USED FROM DUBAI japo ni FROM Tanzania
Tv ni NET and CLEAN safi sana, Uhakika Sana.
Njoo ichukue hiii utaipata kwa bei rafiki kabisa TV ni kama Mpya Ndugu yangu...
Nyumba inauzwa Tabata.
Mahali: Misewe B, Liwiti.
Sifa za nyumba:
•Ina vyumba vya kulala 3 na master 1.
•Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, jiko na stoo.
•Ina korido kubwa ya ndani na baraza...
Simu ndogo aina ya i 17 Pro 45,000 TZS.
Sifa za simu:
1. Inatumia laini mbili
2. Ina trey ya kuwekea laini
3. Betri yake ipo ndani kwa ndani
4. Ina pin ya kutolea laini
5. Inakaa na chaji muda...
Habari za usiku huu.
Samahani waungwana, nahitaji ist no d iwe haijarudiwa rangi, iwe kwenye hali nzuri kabisa na isiwe na shida yoyote. Offer yangu ni 8.5m napatikana dar.
FREMU MPYA ZA BIASHARA – KINYEREZI (Kwa Ditopile)
Fursa ya kipekee isiyopaswa kupitwa!
Tunakukaribisha kwenye eneo jipya lenye muonekano wa mtaa wa kisasa – mahali ambapo ndoto za biashara...
Habari wanajukwaa,
Mara nyingi naona watu wakihangaika kupata website kwa ajili ya biashara zao,taasisi au NGO's, Huwa ninawapatia jibu moja kwamba hakuna haja ya kuhangaika, zaidi ya kushika...
Hellow hope everyone is good. Leo nawaletea fursa ya kuwekeza dodoma. Hakuna uwekezaji mzuri kama wa ardhi maana kila siku inapanda thamani ukilinganisha na kuhifadhi fedha bank.
Dodoma ni mji...
Ndugu wana JF habari ya majukumu?
Napenda kutoa taarifa juu ya kusudio la kuuza kiwanja namba 10 D-centre Mwangaza lililopo Dodoma mara tu baada ya kukamilisha upatikanaji wa Hati ya eneo hilo...
Macho yangu yameona fursa ya biashara mkoa wa mwanza kufuatia wafanya biashara Weng wa mwanza kuagiza bidhaa kutoka DSM hvy nmeona nitafute partinership ya wafanya biashara kadhaa niwape mifumo...
Plots Available For Sale.
Location: Kigamboni Dege, Amani Gomvu area.
Descriptions:
*Plots located 23km from ferry, 800m from main road.
*There are 10 plots in the area.
*Each plot has title...
Habari, Kisali na seu marketing and entertainment tunatengeneza website za kwa makampuni, tahasisi na biashara mbalimbali tupo Goba, Dar es salaam tutakusaidia pia kuongoza website yako kwa mwaka...
Habari ndg zangu wana jamii, nimekuwepo hapa kitambo, kwa nafasi hii ya matangazo naendelea kutangaza kazi zangu zinazo husiana na masuala ya rangi.
Wasiliana nami kwa no 0766111212
Habari wadau miaka nyumba nilileta uzi kuwasha online radio,ambapo nilifanikiwa kuwa n kituo cha online radio ambacho ni kukubwa zaidi dunia nasema ivo kwa sababu kila nchi kunakituo cha Tz...