Miche ya migomba aina ya Kisukari, Bukoba, Mzuzu, Mkono wa Tembo, nk., inapatikana Goba, karibu na Shule ya Sekondari ya St. Joseph Millenieum.
Kwa maulizo piga namba ifuatayo: +255 754 367650...
Nauza shade kwa ajili car parking. Lina mita 4 kwa 6 linatosha kwa gari moja. Linafaa kwaa ajili ya kuzuia jua. nilinunua kubwa likabak. Nauza lote lak 3. Nicheck 0713401812
Jipatie modem hii kwa bei ya 20,000/= ufurahie internet yenye kasi ya 4G kutoka Airtel huku ukifurahia Facebook ya bure. Kwanini uangaike na internet zisizoeleweka?! Nichek sasa kupitia...
vyuma vya mazoezi: kuna dumbeli zake za kg 20- 2 na kilo 10-2. na benchi lake
benchi lake - 120,000/=
vyuma vyote- 80,000/=
benchi maalum la mazoezi ya mgongo 120,000/= mwisho 100,000/=
simu...
Kamera inauzwa, inauwezo wa HD, Megapix 6.3. Inarekodi video mwanana kabisa, inachukua picha za uhakika na kuaminika. Jipatie sasa ili ufurahie msimu huu wa sikukuu kwa kuchukua matukio mbalimbali...
New HUION H420 4" x 2.23" Professional Signature Graphics Tablets Digital Pen Tablets USB Art Drawing Tablets Black Ship from RU
Quickview
This graphics tablet is widely used by designer, artist...
Habari za mapambano wajasiliamali wenzangu.
Nimezalisha pilipili mbuzi zakutosha sana, kwa anaehitaji kwa matumizi mbalimbali kama vile chachandu, chill, kuuza kwa walaji wa kawaida wakiwemo...
habari wadau
nmepata shida na maatzo kidogo hivyo imenipasa niuze computer yangu music system yake bei ni rahisi sana 200000
ina ram 4g
hdd 110gb
pentium 4
naambatanisha na picha ya mali hizi...
Napenda kuwatangazia wateja/wanunuzi wa viazi mviringo kutoka pande zote za Tanzania na nje ya nchi kwamba ninauza viazi kwa bei nafuu sana.
KIASI AU UKUBWA WA ENEO
Viazi bado viko shambani yaani...
Habari, kwa wale wapenzi wa games ninazo play stations 2 pieces 2 zikiwa chipped kwa maana ya kuwa hutahitaji kutumia cd Ila utapata flash yenye games 10 zikiwemo FIFA nk.
Ukitaka kutumia cd hiyo...
Ni photocopy mashine iliopo katika hali nzuri..na inafanya kazi vizuri kabisa na mimi ndo mmiliki.
Ipo dar,bei ni mil 1,250,000 maongezi yapo.wahi chap tufanye biashara.
0719950447 kwa wanaohitaji tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.