jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Bunge letu ni dhaifu sana!
Linatumiwa na sirikali kuuaminisha ulimwengu kanakwamba wananchi tunawakilishwa huku lenyewe likiisimamia serikali.
Udhaifu wa bunge letu hauondolewi kwa spika kufoka foka!!
Litakuwa madhubuti likiisimamia serikali kama makusudi yake kuwapo yanavyolitaka liwe.
****** anauthubutu gani kumng'akia Prof. Asad kwa udhaifu wa Bunge kushindwa kuiwajibisha sirikali inayotumia mabilioni ya shilingi za walipa kodi pasipo kuidhinishiwa na Bunge la wananchi?
Sirikali haifanyi biashara kwa namna ya moja kwa moja Sasa ni nini kimeitumbukiza kwenye biashara kwa kununua midege tena kwa hela ambazo hazikuidhinishwa na bunge?
Hata kama wanaolipwa ni watanzania wenzetu, fedha za manunuzi ya korosho ziliidhinishwa lini na bunge LETU (sio la ******)
Wananchi tunasema kwa kusisitiza kabisa.
Bunge letu halitutetei sisi wananchi.
Linashirikiana na muhimili mwingine kutunyonya..
****** akiongea na waandishi wa habari alidai muda hautoshi kuelezea mafanikio ya bunge analoliongoza sisi wananchi tunamuuliza kwani alipewa dakika ngapi kuwasilisha hoja yake?
Ifuatayo ni orodha ya mambo yanayotupa ujasiri wa kusema Bunge Letu Limedhoofu.
1.
2.
Linatumiwa na sirikali kuuaminisha ulimwengu kanakwamba wananchi tunawakilishwa huku lenyewe likiisimamia serikali.
Udhaifu wa bunge letu hauondolewi kwa spika kufoka foka!!
Litakuwa madhubuti likiisimamia serikali kama makusudi yake kuwapo yanavyolitaka liwe.
****** anauthubutu gani kumng'akia Prof. Asad kwa udhaifu wa Bunge kushindwa kuiwajibisha sirikali inayotumia mabilioni ya shilingi za walipa kodi pasipo kuidhinishiwa na Bunge la wananchi?
Sirikali haifanyi biashara kwa namna ya moja kwa moja Sasa ni nini kimeitumbukiza kwenye biashara kwa kununua midege tena kwa hela ambazo hazikuidhinishwa na bunge?
Hata kama wanaolipwa ni watanzania wenzetu, fedha za manunuzi ya korosho ziliidhinishwa lini na bunge LETU (sio la ******)
Wananchi tunasema kwa kusisitiza kabisa.
Bunge letu halitutetei sisi wananchi.
Linashirikiana na muhimili mwingine kutunyonya..
****** akiongea na waandishi wa habari alidai muda hautoshi kuelezea mafanikio ya bunge analoliongoza sisi wananchi tunamuuliza kwani alipewa dakika ngapi kuwasilisha hoja yake?
Ifuatayo ni orodha ya mambo yanayotupa ujasiri wa kusema Bunge Letu Limedhoofu.
1.
2.