Natamani kubeba mimba niwe mwanaume wa kwanza Afrika

MILL8

JF-Expert Member
Aug 27, 2015
1,837
857
NImetoke kuvutiwa sana na ubebaji wa mimba kwa wanawake natamani vile vitumbo vinapo tangulia mbele najisikia furaha sana.

pia sichoki kuwaangalia wanawake wajawazito bilashaka wananipa furaha moyoni na machoni, nimefikia hatua nami kutaman nibebe mimba kama wao. moyo unanisukuma kufanya hivyo ili pia nivunje rekodi ya africa, nabado napambana ili siku moja nilete kiumbe duniani.
 
NImetoke kuvutiwa sana na ubebaji wa mimba kwa wanawake natamani vile vitumbo vinapo tangulia mbele najisikia furaha sana.

pia sichoki kuwaangalia wanawake wajawazito bilashaka wananipa furaha moyoni na machoni, nimefikia hatua nami kutaman nibebe mimba kama wao. moyo unanisukuma kufanya hivyo ili pia nivunje rekodi ya africa, nabado napambana ili siku moja nilete kiumbe duniani.
Nashindwa nikujibu nini mkuu.

Ramadhani hii, Mola akufanyie wepesi uwe na mwisho mwema
 
Aaahhh embu subiri kwanza , Yaan haya maandishi umeyanukuu sehemu, au ni maneno yanayotoka moyoni mwako na ukiwa na Akili ?au ni akili za asubuh kwa Tanzania ,na Akili za masaa ya Usiku nchi za watu?.

"Mwanamke Utazaa kwa Uchungu , Mwanamme utakula kwa jasho lako". Nadhan ungeendelea kupigana ktk jukumu lako hili , nasio kuingilia majukumu ya viumbe wengine .

Kama wanamme tena wakiafrika, tumeanza kua na mawazo haya , basi Yesu yu Karibu karudi.
 
Mkuu sijaku dhalilisha lakini naomba nijibu maswali yafuatayo;
1.ni kweli unatamani mimba je nani akupe hyo mimba!!?


2.wewe ni mwanaume inakuaje unakosoa uumbaji wa mungu

3.ina maana mungu alivyo kuumba ME alikuwa hana akili!!?


Stop the bullshit.
 
Hii ni dalili mbaya sana kwa kijana wa kiume, maana hapo umeshindwa tu kusema wazi kwamba unatamani kupumuliwa kisogoni huku ukiwa umepiga magoti na kifua umekilaza kwa mbele.
Yaani wewe unatamani hata ukuwe na matiti/manyonyo.....
Nawahurumia sana wazazi wako kwa hasara walio ipata kwa kukuzaa, na bora hata wangekupigaga nyeto tu ukapotelea bafuni na maji, kama sio chooni na kimba.
 
Back
Top Bottom