Kiwanda chafungwa Kenya, kwa sababu ya cheap Imports!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Na hapo bado Viongozi wa Kenya wanang'ang'ania kusign EPA na EU ambapo inafungua mpaka 80% EU manufactured goods kuwa exported to Kenya tax free!

Kama Sameer anafunga Kiwanda cha Matairi kwa sababu ya kushindwa kushindana na cheap imports ambazo ziko taxed hata hivyo, swali linakuja, Je ni viwanda vingapi vya Kenya vitaweza kucompete na tax free goods ktk highly productive and industrialized country kama Ujerumani, Ufaransa, Uholanzi &Co. baada ya kusign EPA kama tu hawawezi kushindana Uchina au India ambao products zao ziko taxed?

Kumbuka kwamba EU wana oversupply ya karibia kila kitu kuanzia maziwa, steel, mpaka magari na spare parts kwa maana nyingine ni kwamba hawana mahali pa kuuza Milk and milk products kwa sababu ya saturation ya market EU sasa kesho mkisema waexport Kenya na AM kwa ujumla tax free sisi viwanda vyetu vitawezaje kucompete?

Hongera Tanzania yetu kwa kujitoa na kujitenga na hili kundi la Mafia wa Kenya ambao hawajali maisha ya Mkenya wa kawaida!


Kenya Tire Factory Shut as Production Cheaper in China, India

Sameer Africa Ltd., a Kenyan manufacturer of automobile tires, is shuttering its factory in the capital, Nairobi, in preference for outsourcing production to China and India.

Cheap and subsidized tire imports have whittled Sameer’s market share for its flagship Yana brand to 25 percent from 62 percent in 2010, Edgar Imbamba, its company secretary, said in an e-mailed statement Thursday. Retail operations will remain in Kenya for distributions of brands including Summit and Bridgestone in neighboring Tanzania and Uganda.

Sameer will take a one-off impairment charge of 725 million shillings ($7.15 million) in respect to a plant, inventory and severance costs, which will lead a 25 percent decline in earnings this year, it said. The company’s half-year profit dipped 9 percent to 43.6 million shillings.

Kenyan companies are finding it difficult to compete in bulk manufacturing against Asian producers due to low labor productivity and high raw material costs, Aly-Khan Satchu, chief executive officer of Rich Management, said by phone.

Sameer may not be the only Kenyan company deciding to “throw in the manufacturing towel” as other producers are also struggling. Management at Sameer will probably seek to “unlock shareholder value” by selling land its factories are built on in Nairobi and Nakuru town, Satchu said.

“Sameer has struggled to have a proper production system,” said Eric Musau, a research analyst at Standard Investment Bank Ltd. “The market has become very competitive and Sameer doesn’t have the relevant technology to compete effectively.”
 
Back
Top Bottom