Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
0 Reactions
4 Replies
693 Views
Happy to join, Hope ntajifunza na kufurahia Zaid.I also need 2 learn from Senior members [emoji120][emoji120]
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Helo am new here, naomba muongozo wa jins gani naweza kupost bidhaa zangu za sofa cover kwa kitengo cha biashara, asanteni
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Nipo na furaha sana kukutana na jamii mpya ya JF hakika Mimi nimefurahi sana hii jamii na nilikuja Kwa shindano la stories of change Lakini JF imenivitia sana
2 Reactions
10 Replies
993 Views
Mimi ni mmoja wenu. Mnipokee kwa nguvu ya ajabu. Ili tufurahiane maana hii dunia tunaishi Mara moja tu.
1 Reactions
9 Replies
963 Views
Mimi ni mgeni nafurahi kuwa mmoja wenu, naomba kukaribishwa
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Nimejiunga nanyi great thinkers nipate mema mengi humu. Asanteni kwa kutangulia. Nawapenda.
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Salaam.. mnipatie orientation
1 Reactions
3 Replies
607 Views
Na Mimi ni mwenzenu kazi iendelee. Nawapenda bila sababu.
1 Reactions
10 Replies
811 Views
Habari! Shedy David from Chugastan hapa. Nami nasema hodi Jf. Hivi ni forum gani huwa inakua active sana humu niweke kambi huko?
0 Reactions
3 Replies
742 Views
Habari zenu naitwa jimmy January napenda kujoin na JF kwasababu nahitaji kujifunza mambo tofauti kama biashara nakadharika naomba mnipokee
4 Reactions
12 Replies
916 Views
Hi there, nime-join today
0 Reactions
9 Replies
576 Views
Habari naitwa iyola naishi mbezi Lois ni mgeni katika jukwaa la JF nipokeeni wapendwa ,dhumuni la kujoin JF NI kuangalia fursa za kazi , connection na kubadilishana mawazo Asanteni...
1 Reactions
8 Replies
790 Views
Habari naitwa iyola naishi mbezi Lois ni mgeni katika jukwaa la JF nipokeeni wapendwa ,dhumuni la kujoin JF NI kuangalia fursa za kazi , connection na kubadilishana mawazo Asanteni...
2 Reactions
6 Replies
764 Views
Habar wakubwa humu jf naomba mnikaribishe member mpya hapa the War machine
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Nimerudi tena jaman , it has been a while na Niko na hamu sana ya kusimulia story ya maisha yangu especially upande wa mahusiano, hope mtaipokea
3 Reactions
19 Replies
940 Views
I'm glad to be here, I'm a new member. Very young but I will be useful in here. I'm still a student in Arusha. I'm doing forex trading, programming (making phone and computer applications), I'm a...
0 Reactions
6 Replies
685 Views
Wakulungwa mgeni nahitaji kupata madini ya humu jf ,
1 Reactions
9 Replies
793 Views
Hello! Leo naomba mnikaribishe mdau mpya kwenye jukwaa hili linalowakutanisha watu mbalimbali kujadili mada mbalimbali. Natokea kanda ya kaskazini, jinsia yangu ni MWANAUME. Naamini kupitia hapa...
0 Reactions
10 Replies
971 Views
Jina langu naitwa Elikana Nikodemo Elikana, Kiukweli nafarijika sana napokuwa humu japo nilikuwa bado sijajiunga rasmi ila sasa nashukuru tupo pamoja...!! Ahsanteni sanaaaa Pia binafsi ningependa...
3 Reactions
10 Replies
837 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…