Habari za humu ndani, mimi ni mgeni hivyo naomba ushirikiano wenu.
Nimekuwa nikifatilia JF kipindi kirefu bila kujiunga, ila leo nimeamua kwa akili zangu mwenyewe kujiunga ili;
1. Nikosoe pale...
Kichwa cha habari hapo juu chahusika mimi nilikua na akauti ila ikavurugika nikashindwa kuirudisha sasa nimerudi kwa akaunt mpya naomba ushirikiano wenu