Nimekuwa JF kwa muda ila bado najihisi mgeni
Nimepita kwenye nyuzi mingi kidogo
Ila sasa sio shida nimepotea njia
Nikaribishen upya[emoji23][emoji23][emoji23]
Nioneshen mitaaa
Ya connection za...
Salamu wana JF.
Natumai mu wazima
Mimi ni kuku mgeni hivyo siwezi kosa kamba mguuni.
Naomba ukaribisho na kuelekezwa namna ya kuishi humu kwa umoja,furaha na upendo.
Hivyo naomba kuelekezwa...
Kwanza nianze kwa kuwasalimia wanachama wenzangu wa jukwaa hili
Mimi sio mgeni sana Nakumbuka nilijiunga na JF miaka kama 8 iliopita ila nilisahau neno siri langu.
Kwasasa mambo yapo kwenye...
Naitwa ye34nbe nimechukua muda wa miezi 2 kujiunga jf Kisha moderators walikuwa wananikataa anyway walinikubalia 4/11/2022 bila Mimi kujua anyway I'm here now nimejua hilo leo hii
Nimekuwa mfuatiliaji wa JF takribani miaka 8 bila kuwa member rasmi.
Nikinunua simu mpya,app ya Kwanza kudownload ni JF
Nkitaka kuingia mtandaoni kujua dunia inaendaje,cha kwanza kuchungulia ni...
Wadau mambo vipi,. Poleni na mihangaiko ya kila cku maana life liko tight kinoma.
Mimi hapa genius kipanga nimekuja jamiiforum kwa lengo kuu moja kutetea CCM na YANGA. Naomba ushirikiano wenu...