Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

To all women in business, it is time for the next move. The Dar Business Women's Club brings you the "WOMEN ON THE MOVE" event to be held in August 23rd, 2014 at Malkia's Mikocheni. The aim of...
0 Reactions
0 Replies
935 Views
Due to so many enquiries about our services which range from greenhouse farming,poultry and quails, rabbits and dairy goats,drip irrigation installation to value addition on farm products,making...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Imekuwa ni kawaida kwa watu wengi kutambua pesa kama mtaji wa kila kitu katika biashara , lakini katika ulimwengu wa biashara iko tofauti pesa sio mtaji bali pesa ni kiasidizi cha mtaji . Leo...
3 Reactions
13 Replies
7K Views
habarini wana ndugu... naomba msaada wenu..kwa pale nyegezi SAUT university ni biashara gani iko poa kuanzisha kwa eneo kama ile. japo kuna competitors wengi hasa kwa upande wa vyakula ntajikita...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nataka kujiingiza rasmi kwenye kilimo cha miparachichi,nanuia kufanya research yake lkn nimeleta wazo hl kwenu kwani mnaweza kunipa elimu yake na kwa manufaa ya wengine.Shortly nipo Kilolo-Iringa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana j ninaproduct zangu ambazo ni man made na zimesambaa sana maeneo mengi tanzania Descriptions: 1:pochi za kiume >za kushona na kufuma(ukiziona zilizotobolewa na kupitishwa uzi ni part of the...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Deleted
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau vipi kwema wote kwa walio arusha kama unahitaji kiwanja au shamba nicheki ila kuna kuwanja pia maeneo ya boma saira karibu na masai camp mita 27 kwa 21 pia natafuta kiwanja ambacho kipo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wakuu naomba kupatiwa elimu kuhusu mambo ya VIKOBA. nawaomba kuwasilisha.
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Heshima kwenu wadau. Naandika kama mwakilishi wa vijana graduates tuloamua kuwa na firm ya kuzalisha maji ya kopo nje ya dar. naomba kuuliza kwenu mahali panapotengenezwa chupa za maji mbali na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi.natafuta soko la viungo vya chai km mdalasini wa unga na mchaichai wa unga.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wana ndugu kwa wale entrepreneur kuna youtube nimeona itakuwa helpful...kuna episode ya kwanza mpaka ya sita,niliona katika pita pita yangu youtube kuhusiana na business plans..its very good ep...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza tray tupu za mayai tsh 350. Piga 0714 045 080.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naamini kuna wajasiriamali wengi tu wapo humu JF ambao wanajishughulisha na kutengeneza logo.kama wewe ni mmojawapo naomba tuwasiliane
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani nahtaji kasuku wa kununua ila wawe wale wakubwa kama wanaopatikana congo au brazili...kama kuna mwenyenao aniPM
0 Reactions
2 Replies
2K Views
hello friends.... plz assist me with business ideas that ranges from 2-5million that wil meet daily peoples demand...and incase of starting up a mini supermarket wat wil be the initial capital...
0 Reactions
1 Replies
836 Views
Habari wandugu, Naomba kuuliza wana jukwaa hili, Hivi ikitokea ukapewa shillingi za kitanzania milioni 100 ukaambiwa uzifanyie biashara. Je ni biashara gani utafanya?
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Nahitaji papai kutoka shamba kwa bei ya jumla na isiwe mbali sana na jiji la Dar es salaam.Aweke namba zake hapa.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habar wana jf. Kwa wale wanaohitaji mayai ya kuku wa kisasa, tuna uwezo wa kutoa tray had 20 kwa siku au 100 kwa wiki. Bei ni tsh 6500. Maongez yapo. Karibun sana.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, Nimekua nikipitia jukwaa hili mara kwa mara, na ukweli hili jukwaa limenishawishi sana kua mkulima. Nimeshanunua Ardhi sehemu mbalimbali, iliyobaki ni kuanza tu kilimo. Sasa basi...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…