mambo vp ndugu...nataka kuanza biashara ya ufugaji kuku wa kienyeji kama kuna mtu ana experience na hii kitu anajuze jinsi ya kuwakinga kuku katika magonjwa dawa zipi za kutumia
Tunauza mayai na vifaranga vya kware kwa bei nafuu sana kwa ambaye anatamani kujua jinsi ya kufuga, bei ya mayai na vifaranga na mengineo tunapatikana tabata changombe na kwa mawasiliano zaidi...
Naomba mwongozo wa ufugaji wa nguruwe kwani nina kijieneo changu huko zingiziwa nje kidogo ya jiji la dar ambacho nilitaka nikitumie kwa kufuga ama kuku wa kienyeji au nguruwe
Naomba mwongozo wa ufugaji wa nguruwe kwani nina kijieneo changu huko zingiziwa nje kidogo ya jiji la dar ambacho nilitaka nikitumie kwa kufuga ama kuku wa kienyeji au nguruwe
Waungwana,
Mimi ni mlemavu wa miguu uliotokana na kuumia vibaya mgongo, natumia Wheelchair na ninaishi uswahilini maeneo ya ndani ndani, Natamani kufanya biashara yenye faida na isiyoitaji mtaji...
Waungwana numetoa ofa hiyo kwa mwenye uhutaj anichek fasta ninamadume ya kware30 nataka kuyatoa fasta mwenye uhitaj anichek fasta tufanye biz au anipe majike 20 nimpe madume 27 fasta
Je una mayai lakini huna mashine ya kutotoresha na unaishi maeneo ya kanda ya ziwa hasa karibu na kahama. Huduma hii inapatikana njoo na mayai ili upate kutotoreshewa. Hii ni kwa ajili ya watu...
Habari za muda wana JF,Mimi ni mjasiriamali mdogo sana wa kuku wa kienyeji..Ila kwa sasa nategemea kukua kibiashara na kuanza kufuga kuku wa mayai na hivyo ninahitaji kujenga mabanda ya kuku wa...
Tafadhali kwa yeyote ambaye anajua location ya BBone electronics nimekutana nalo kwenye online shoping website moja but nataka siku moja nilitembelee hili duka, Thanks.
Nataka kupeleka material ya pp na pet Naona wachina wanaitana tu na kujazana kwetu wakati nasi tunaweza kufanya na tuna uzoefu wa kutosha kupata malighafi.
Waungwana mwenye Kware weng majike na anashida ya madume kwa ajili ya mbegu tubadilishane maana ninamadume meng had majike hawana raha hapatuli bandan, hata10 nitawafata kokote ulipo dar hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.