SIFA ZA MWOMBAJI
1. Awe Mtanzania kwa kuzaliwa.
2. Awe na umri usiopungua miaka 18 na usiozidi miaka 25.
3. Awe amehitimu chuo mwaka wa masomo 2013/2014 tu.
4. Awe na tabia njema.
5. Asiwe na...
Kama wewe ni mdada mzuri unaejielewa, uwezo mzuri wa kuongea kiswahili na kingereza, uwezo wa kuongea vizuri wateja, elimu kuanzia kidato cha sita na una nafasi kuanzia october hadi november...
Wapendwa natafuta nafasi ya kufundisha masomo ya Chemistry na Biology, mwenye kujua shule yoyote ya private iliyopo Morogoro inayohitaji mwalimu wa masomo hayo naomba tuwasiliane.
Nafasi ya kazi ya muhasibu msaidizi
Sifa za muombaji:-
1.Awe Mwanamke na uzoefu usiopungua mwaka moja.
2.Umri Usiozidi miaka 35
3.Awe Diploma/degree ya uhasibu
4.Awe Na uwezo wa kufanya kazi...
Wakuu ningependa kupata kijani ambaye ana ufundi wa electronics.
Awe amemaliza form 4 au kama si hivyo awe anajua kiingereza.
wasiliana nami: wabuyaga58@gmail.com
Note: Awe anaishi sehemu za...
Nashukuru sana jamii forum kwa kuwa mstari wa mbele kuelimisha na kutatua matatizo mbalimbali big up guys.
Mimi shida yangu ni kuhusu kiwanda cha cement kipya cha huyu jamaa tajiri mnigeria...
Kama umesoma BA Economics UDSM na una GPA kwanzia upper second peleka CV yako na barua pale career centre pale UDBS, wanahitaji watu 10 kwa ajili ya ajira na 40 kwa ajili ya internship CRDB.
Habari zenu mm kijana elimu yangu ya kidato cha nne pia nimesomea ufundi wa umeme wa majumbani nna miaka 21 naomba kwa atakaeweza kunisaidia kupata kazi ata kama itakua tofauti na fani yangu...
<br>
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linatangaza usaili kwa vijana waliomaliza form IV 2013 na Form six 2014 waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2014 kuwa tarehe 23/09/2014 hadi...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linatangaza usaili kwa vijana waliomaliza form IV 2013 na Form six 2014 waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2014 kuwa tarehe 23/09/2014 hadi tarehe...
Habari wadau wa JF
Elimu yangu kidato cha nne, nimesoma coz za Computer, uzoefu ninaowakutosha sababu nimefanya kazi za stationary kwamiaka mitatu sasa, office niliokua nikifanya kazi boss wangu...
Kwa mwenye uzoefu (experience) plz naomba kujuzwa usaili kwa waombaji elimu ya juu huwa unafanyka baada ya muda gan tokea deadline ya kutuma maombi ambapo kwa mwaka huu ilkua31/8. Welcome...
TAISODE is a non- profit, non- governmental organization registered under the Non-Governmental Act No. 24 of 2002 on 16th June 2014 and issued with a Registration Certificate No. 00007244...
Wanajamvi kulingana soko la ajira kujaa sana nisaidieni.Kijana wangu amemaliza Diploma in nursing August mwaka huu.Kwa anayefahamu hospital ya mission iliyopo MOSHI,ARUSHA JIJINI au TANGA yenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.