Maelezo zaidi yameibuka kuhusu watu saba waliofariki katika ajali ya helikopta karibu na Mlima Ololokwe, Samburu, huku ikibainika kuwa Mkuu wa Ujasusi wa Ecuador Michele Sensi-Contugi na mkewe...
Safari iliyotarajiwa kuwa ya kufurahia mandhari ya kaskazini mwa Kenya imegeuka kuwa janga baada ya watu saba, watalii sita na rubani, kufariki katika ajali ya helikopta karibu na Mlima Ololokwe...
Mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro amesema hatakuwa tayari kushirikiana na viongozi waliomtukana au kumdhalilisha aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, hata kama wataamua kuondoka UDA na kujiunga na...
Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua ameweka dau la Sh1 milioni, akisema yuko tayari kutoa fedha hizo iwapo Rais William Ruto atafanikiwa kupata angalau asilimia 30 ya kura za Luo Nyanza katika...
Now some of individuals brag a lot about Nairobi quality facilties without knowing Zanzibar Island has relative the same quality facilities. It's time to make this known.
Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama na Ujasusi ya Ecuador (CIES), Michele Sensi-Contugi, pamoja na mkewe Stephany Hollihan, ni miongoni mwa watu saba walipoteza maisha kufuatia ajali ya helikopta...
Waziri wa Elimu Julius Ogamba amefafanua kuwa shule hazipaswi kuwataka wanafunzi kuripoti shuleni kabla ya saa 1:15 asubuhi (7:15am), akirejea kanuni za elimu zinazoweka muda wa kuripoti na kuanza...
Mvutano umeibuka Machakos baada ya Gavana Wavinya Ndeti kujibu madai ya aliyekuwa gavana wa kaunti hiyo na sasa Waziri wa Kazi, Alfred Mutua, kuhusu hali ya Machakos People’s Park.
Mutua alikosoa...
Kila mara eneo la Luo Nyanza linapokabiliwa na masuala ya uwajibikaji, wale tunaowaita viongozi wetu huwa wepesi wa kuvitupia lawama serikali zilizopita au serikali iliyopo madarakani.
Uhuru...
Rais William Ruto amempigia simu Mkurugenzi Mtendaji wa Karen Hospital, Juliet Gikonyo, kutaka kujua iwapo hospitali hiyo inapokea malipo kutoka kwa Social Health Authority (SHA).
Katika...
Katibu wa Baraza la Mawaziri na aliyekuwa Gavana wa Machakos, Alfred Mutua, ameonyesha kushtushwa na hali ya Machakos People’s Park baada ya kutembelea eneo hilo.
Hifadhi hiyo iliwahi kutajwa...
Huduma ya Polisi nchini imezindua mfumo mpya wa mawasiliano unaolenga kuimarisha namna inavyowasiliana na wananchi na kutoa taarifa rasmi kwa umma. Hatua hiyo imekuja wakati ambapo imani ya...
Soko maarufu la Gikomba jijini Nairobi liko katika hatua mpya ya mabadiliko makubwa, huku majengo matatu ya kisasa yenye ghorofa kadhaa yakianza kuchukua sura. Mradi huo unalenga kubadilisha soko...
Gazeti la Nation linaripoti kuwa Kamanda mstaafu wa GSU, Ranson Lolmodooni, aliibiwa nyumbani kwake Kitengela siku ya Jumapili, huku washambuliaji hao wakidondosha maelfu ya noti za shilingi 1,000...
Aliyekuwa Waziri wa Usalama wa Ndani, Fred Matiang’i, ameibua madai mazito kuhusu usalama wa viongozi wa upinzani na mazingira ya kisiasa nchini, akidai kuwa baadhi yao wamekuwa wakikumbwa na...
EACC imewakamata washukiwa tisa, wakiwemo maafisa waandamizi wa Hazina ya Kitaifa, katika uchunguzi wa madai ya ubadhirifu na utoaji wa fedha kwa njia ya udanganyifu wenye thamani ya KSh1.569...
Kwa miaka mitano iliyopita, mwananchi wa Kenya ameshuhudia gharama ya maisha ikibadilika kwa kasi. Kuanzia sokoni hadi kituo cha matatu, kiasi cha pesa kinachohitajika kukidhi mahitaji ya kila...
Tume ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano(NCIC) imemwita rasmi Mheshimiwa Peter Kaluma, Mbunge wa Eneo Bunge la Homa Bay Town, kufika mbele yake siku ya Jumatano, tarehe 19 Agosti 2026, kufuatia...