Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Maelezo zaidi yameibuka kuhusu watu saba waliofariki katika ajali ya helikopta karibu na Mlima Ololokwe, Samburu, huku ikibainika kuwa Mkuu wa Ujasusi wa Ecuador Michele Sensi-Contugi na mkewe...
0 Reactions
0 Replies
18 Views
Safari iliyotarajiwa kuwa ya kufurahia mandhari ya kaskazini mwa Kenya imegeuka kuwa janga baada ya watu saba, watalii sita na rubani, kufariki katika ajali ya helikopta karibu na Mlima Ololokwe...
1 Reactions
0 Replies
17 Views
Mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro amesema hatakuwa tayari kushirikiana na viongozi waliomtukana au kumdhalilisha aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua, hata kama wataamua kuondoka UDA na kujiunga na...
0 Reactions
0 Replies
12 Views
Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua ameweka dau la Sh1 milioni, akisema yuko tayari kutoa fedha hizo iwapo Rais William Ruto atafanikiwa kupata angalau asilimia 30 ya kura za Luo Nyanza katika...
1 Reactions
1 Replies
22 Views
Now some of individuals brag a lot about Nairobi quality facilties without knowing Zanzibar Island has relative the same quality facilities. It's time to make this known.
6 Reactions
346 Replies
18K Views
Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama na Ujasusi ya Ecuador (CIES), Michele Sensi-Contugi, pamoja na mkewe Stephany Hollihan, ni miongoni mwa watu saba walipoteza maisha kufuatia ajali ya helikopta...
1 Reactions
1 Replies
222 Views
Waziri wa Elimu Julius Ogamba amefafanua kuwa shule hazipaswi kuwataka wanafunzi kuripoti shuleni kabla ya saa 1:15 asubuhi (7:15am), akirejea kanuni za elimu zinazoweka muda wa kuripoti na kuanza...
1 Reactions
2 Replies
117 Views
Mvutano umeibuka Machakos baada ya Gavana Wavinya Ndeti kujibu madai ya aliyekuwa gavana wa kaunti hiyo na sasa Waziri wa Kazi, Alfred Mutua, kuhusu hali ya Machakos People’s Park. Mutua alikosoa...
0 Reactions
0 Replies
26 Views
Kila mara eneo la Luo Nyanza linapokabiliwa na masuala ya uwajibikaji, wale tunaowaita viongozi wetu huwa wepesi wa kuvitupia lawama serikali zilizopita au serikali iliyopo madarakani. Uhuru...
0 Reactions
0 Replies
8 Views
Rais William Ruto amempigia simu Mkurugenzi Mtendaji wa Karen Hospital, Juliet Gikonyo, kutaka kujua iwapo hospitali hiyo inapokea malipo kutoka kwa Social Health Authority (SHA). Katika...
0 Reactions
0 Replies
28 Views
Katibu wa Baraza la Mawaziri na aliyekuwa Gavana wa Machakos, Alfred Mutua, ameonyesha kushtushwa na hali ya Machakos People’s Park baada ya kutembelea eneo hilo. Hifadhi hiyo iliwahi kutajwa...
0 Reactions
0 Replies
31 Views
Huduma ya Polisi nchini imezindua mfumo mpya wa mawasiliano unaolenga kuimarisha namna inavyowasiliana na wananchi na kutoa taarifa rasmi kwa umma. Hatua hiyo imekuja wakati ambapo imani ya...
0 Reactions
0 Replies
19 Views
Soko maarufu la Gikomba jijini Nairobi liko katika hatua mpya ya mabadiliko makubwa, huku majengo matatu ya kisasa yenye ghorofa kadhaa yakianza kuchukua sura. Mradi huo unalenga kubadilisha soko...
0 Reactions
0 Replies
11 Views
Gazeti la Nation linaripoti kuwa Kamanda mstaafu wa GSU, Ranson Lolmodooni, aliibiwa nyumbani kwake Kitengela siku ya Jumapili, huku washambuliaji hao wakidondosha maelfu ya noti za shilingi 1,000...
0 Reactions
2 Replies
56 Views
Aliyekuwa Waziri wa Usalama wa Ndani, Fred Matiang’i, ameibua madai mazito kuhusu usalama wa viongozi wa upinzani na mazingira ya kisiasa nchini, akidai kuwa baadhi yao wamekuwa wakikumbwa na...
0 Reactions
1 Replies
48 Views
EACC imewakamata washukiwa tisa, wakiwemo maafisa waandamizi wa Hazina ya Kitaifa, katika uchunguzi wa madai ya ubadhirifu na utoaji wa fedha kwa njia ya udanganyifu wenye thamani ya KSh1.569...
0 Reactions
1 Replies
30 Views
Kwa miaka mitano iliyopita, mwananchi wa Kenya ameshuhudia gharama ya maisha ikibadilika kwa kasi. Kuanzia sokoni hadi kituo cha matatu, kiasi cha pesa kinachohitajika kukidhi mahitaji ya kila...
0 Reactions
0 Replies
26 Views
Starting from upcoming Msalato International Airport
25 Reactions
2K Replies
142K Views
Tume ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano(NCIC) imemwita rasmi Mheshimiwa Peter Kaluma, Mbunge wa Eneo Bunge la Homa Bay Town, kufika mbele yake siku ya Jumatano, tarehe 19 Agosti 2026, kufuatia...
0 Reactions
0 Replies
16 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…