Habari,
Kwa wale wanaohitaji unga wa ugali wa dona wawasiliane na mimi. Unga huu umetengenezwa kutokana na mahindi na ngano bila kukoboa ili kubakisha virutubisho vyake mhimu kwa afya, umeongezwa...
Hello Wanajamii! Bila shaka kila mtu anaendelea vizuri na kazi zake za kila siku na hatuna budi kushukuru kwa hilo. Tunapenda kupanga mambo yetu ya kimaisha na yanatakiwa yaende kama...
Wakuu naomba kufahamishwa kuhusu faida na pengine madhara anayoweza pata mtumiaji wa maziwa ya unga NIDO,kwa maana kunadaktari moja alimshauri mama mjamzito atumie kwa wingi na dokta mwingine...
1) In the first 10 minutes: 10 teaspoons of sugar hit your system. (100% of your recommended daily intake.) You dont immediately vomit from the overwhelming sweetness because phosphoric acid cuts...
MBINU ZA KUKABILIANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, KUPIZI HARAKA, NA KUSHINDWA KURUDIA RAUNDI YA PILI
Tunapozungumzia upungufu wa nguvu za kiume tunakuwa katika uwanja mpana...
Kimeta ni ugonjwa wa hatari unasababishwa na vimelea vya bacteria. Bakteria hawa hujulikana kama Bacillus anthracis, bacteria ambao wana uwezo wa kufanya mbengu. Mbegu hizi ni seli ambazo huweza...
-Citrus fruits
Food sucha as oranges and grapefruits are high in Vitamin C, which improve memory and performance.
-Eggs
Eggs are high in a memory buillding vitamin called choline.
-Fish (...
Khabari za saa hizi wanajamvi!
Kwanza shukran zangu za dhati kwa huduma na Ushauri tunazopata humu ndani kwa Kweli ni zenye faida chungu nzima kwa jamiii
Naomba Msaada plz niko na siku 3...
Wakuu mi ninatatizo moja,yani naweza kukaa ofisini jasho likajaa kwenye kwapa shati lote linalowa kwenye kwapa,na kuhusu nywele za kwapani najithd kuziondoa kila mara,sasa kama kuna mtu anjua hili...
Naomba kufahamu ni nini hasa kinasababisha wanawake (baadhi) kutokwa na utando mwingi sana wakati wa ku~do?
Mimi ni Mvulana na kitu hiki huwa kinaniboa sana tunapo~do kwani huwa unatoka mwingi...
Salam wakuu,
Kwa siku nyingi nimekua nikisikia kwamba viroba vina madhara kwa binadamu. Nikawa najiuliza inakua vipi wakati vimepitishwa na shirika la viwango tanzania? Wengine wanasema...
Waheshimiwa naomba ushauri wenu/jina la dawa. Niliugua chickenpox last yr lakini baada ya kupona nimebaki na scars ambazo zimeharibu sura ya ngozi yangu na zinatisha ukiona. Niko serious na jambo...
Huyu jamaa ni nouma ktk mambo ya upasuaji wa watoto walio ungana..amekua akialikwa nchi mbalimbali kusaidia upasuaji hasa Afrika kusini.Huyu jamaa ni mweusi kama sisi aliyetokea familia maskini...
nna rafik yang wa kike ana tatzo la kutOkwa na ute mweupe ktk sehem zake za siri! na hajawah kufanya mapenz ht mara moja wala hapat muwashO wala maumv yyte ktk sehem zake! je waweza kuwa ni ugonjwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.