Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

Wakuu Ni Wiki 2 Sasa Koo Langu Liko Ambushed Kwa Fangasi Msaada Kwa Wale Wahanga Na Wazoefu Wa Yale Mambo!...... Mnatumiaga Mbinu Gani Kurecover?
1 Reactions
54 Replies
29K Views
Nina tatizo la maziwa kuwaka moto,nimehangaika hospital lakini sijapata nafuu
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu wadau. Jumamosi majuzi mwanangu alilazwa hospitali kwa shida ya maleria akiwa na kilo 13. Akadungwa sindano za kwinini akawa mzima tukaruhusiwa lakini daktari akasema anywe kwinini ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
naomba mnisaidie dawa kama kuna uwezekano kifua kinabana.
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Low-grade liquid silicone injections as a penile enhancement procedure: Is bigger better? Introduction Penis size has been a source of anxiety for men throughout history, and still...
0 Reactions
20 Replies
12K Views
Na Gladness Mallya Msanii bonge wa filamu Bongo ambaye hivi karibuni alieleza kusumbuliwa na tumbo chini ya kitovu (chango), Efrancyia Mangii ameshauriwa kufanya jitihada za kuzaa ili kuepukana...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Za asubuhi jamani. Please nahitaji gyno. Kama kuna mtu anafahamu tafadhali naomba ni pm. Nimeshindwa kuweka tatizo hapa.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Redirect
Ndugu zangu habari za jioni? Naombeni dawa ya kutibu miguu yangu inapelekea hadi kiuno kuuma na mwili kuchoka, takribani miaka kumi sasa, nimeenda kila hospital bila mafanikio. Mzizi Mkavu na...
1 Reactions
Replies
Views
Nimekua na tatizo la kutokua na hamu ya kula chakula kwa miaka mingi. Mbali na ushauri wa kutumia dawa mbalimbali (za hospitali na za kienyeji) tatizo bado limeendelea! Kwa kuwa nina uwezo wa...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wakuu nilileta post hapa jana ya mtoto mzazi alikosea akaoverdose amoxylin capsule. Ana miaka 8. Walimchemshia maziwa na alipokunywa ghafla shingo ikaanza kukakamaa na ikawa inafanya hivyo kila...
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Yote ni Matokeo ya tabia yangu ya kupenda rambaramba..mwishowe nikaangukia balaa... koo langu likawa ambushed hata kuarestiwa na wale wadudu lakini nikaamua kumwambia Dk wangu MziziMkavu, nae...
4 Reactions
25 Replies
8K Views
Habari wana jamii,ninamtoto wa ndugu yangu yupo nyumbani ambaye mama yake alifariki wiki mbili baada ya kujfungua sasa amitmiza mwaka na nusu tatizo ni kwamba shingo haikazi mpaka sasa,hatembei...
0 Reactions
22 Replies
16K Views
Ni aina ya vitu vinavyomtokea anaeashiria kunenepa kama mamchirizi flani nayoyaulizia mimi ni meusi je yana dawa?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimejaribu kugoogle,kusoma articles tofauti nimeona kuna maelezo tofauti kuhusu window period kati ya wiki 8 hadi miezi 3 na kati ya wiki 8 hadi miezi 6. Wataalam ipi ndo sahihi nataka kufunga...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Niliamka na kujisikia mwili wote kama umekakamaa na maumivu ya kichwa kwa mbaali. Nikajishauri niende hospitali haraka. Daktari akataka nipimwe damu na mkojo. Damu ilipatikana isipokuwa mkojo...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari! Naamini wote mu wazima wa afya mimi kuna kitu kinanitatiza sana ya Uume wangu unatabia ya kusimasima ovyo hata sometime njiani jogoo linaweza wika kwa kwel ni muda kidogo sijala ile kitu...
0 Reactions
3 Replies
931 Views
WAHENGA wetu walitufundisha msemo unaosema; "Kila kizuri hakikosi kasoro". Ndiyo kusema kila jambo lina pande mbili, faida na hasara. Kwa watu wenye akili timamu wanachokifanya ni kujua hasara...
0 Reactions
2 Replies
23K Views
Wadau,mtoto wangu ana miezi 6 kasoro hvi,week iliyopta tulienda kumpima kliniki,ana kilo 9.5....nesi akasema uzito huo ni mkubwa sana ulilinganisha na umri wake. naomba mniambie inasababishwa...
0 Reactions
2 Replies
15K Views
Habari wana JF Sijui kama hili litakuwa jukwaa husika naomba mniwie radhi kama itakuwa vinginevyo. Wanajamii ningeomba msaada kwa wale wenye uzoefu au ambao wanauelewa juu ya watoto, mwanangu wa...
0 Reactions
31 Replies
13K Views
Habari zenu wanajf wote!Maumivu chini ya kitovu/tumbo la chini ni tatzo linalowasumbua wanawake wengisana,chanzo cha maumivu hayo ni pamoja na maambuki ya magonjwambalimbili kama vile UTI...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Back
Top Bottom